'Dr' Aisha Kigoda

mmakonde

JF-Expert Member
Dec 26, 2009
965
66
Kwa nini media zetu bado zinamwita huyu Naibu Waziri Dr wakati sio?
Huyu ana mediocre Assistant Medical Officer(AMO),ambayo kwenye nyingine hawezi hata kushika mgonjwa1Hata Muhimbili wanajua,ndio maana huwezi kupata AMO au Medical assistant hapo!
 
Kwa nini media zetu bado zinamwita huyu Naibu Waziri Dr wakati sio?
Huyu ana mediocre Assistant Medical Officer(AMO),ambayo kwenye nyingine hawezi hata kushika mgonjwa1Hata Muhimbili wanajua,ndio maana huwezi kupata AMO au Medical assistant hapo!
mmakonde,
Lets be fair. Una hakika kuwa Muhimbili haina AMO's? Unasemaje kuwa Hospitali nyingi za wilaya Tanzania zilikuwa chini ya AMO's ( for lack of MD's) na wamefanya kazi nzuri sana. Wakati wote hao wameitwa madaktari. Je unafahamu kuwa WHO imetambua kada hiyo, na imekubaliwa kuwa hata na specialization, mathalan AMO (opthalmology)n.k. Nadhani unahitaji kutuwekea details zaidi ili Jamvi hili likuelewe vizuri.
 
mmakonde,
Lets be fair. Una hakika kuwa Muhimbili haina AMO's? Unasemaje kuwa Hospitali nyingi za wilaya Tanzania zilikuwa chini ya AMO's ( for lack of MD's) na wamefanya kazi nzuri sana. Wakati wote hao wameitwa madaktari. Je unafahamu kuwa WHO imetambua kada hiyo, na imekubaliwa kuwa hata na specialization, mathalan AMO (opthalmology)n.k. Nadhani unahitaji kutuwekea details zaidi ili Jamvi hili likuelewe vizuri.

Heshima mbele mkuu. He could be wrong in some of the details but I think the real question is....is an AMO qualified to be called a doctor or use the title of "Dr."?
 
Heshima mbele mkuu. He could be wrong in some of the details but I think the real question is....is an AMO qualified to be called a doctor or use the title of "Dr."?

And who is a 'Dr'???...Haya mambo yanachanganya kweli,kwetu kjijini Tinde tushazoea hata Clinical Officer(wa zahanati ya kijiji) twamuita 'Dokta',pia Medical assistants(wa vituo vya afya) n.k...Wapenda lugha ya Kiswahili huwaita matabibu...Tabibu ni nani sasa???,napata tabu hapa,wajuvi nielewesheni hapa
 
And who is a 'Dr'???...Haya mambo yanachanganya kweli,kwetu kjijini Tinde tushazoea hata Clinical Officer(wa zahanati ya kijiji) twamuita 'Dokta',pia Medical assistants(wa vituo vya afya) n.k...Wapenda lugha ya Kiswahili huwaita matabibu...Tabibu ni nani sasa???,napata tabu hapa,wajuvi nielewesheni hapa


Dokta is a person who practise as a general practitioner or a consultant physician and surgeons....a dentist is not a dokta....or a pharmacist is not a dokta either....
 
Dokta is a person who practise as a general practitioner or a consultant physician and surgeons....a dentist is not a dokta....or a pharmacist is not a dokta either....

Nashukuru shem..Sisi kule kjijini tushazoea kuwaita wale maclinical officer madokta,na si vijijini tu,hata ukienda hospitali za wilaya na mikoa utakuta Medical Assistants na AMOs wanaitwa madokta...Btw kwa wajuvi wa lugha ya Kiswahili,hivi kuna tofauti gani kati ya Tabibu na Mganga???
 
Hebu mtukumbushe historia ya hawa AMO kwa hapa kwetu walianzia wapi. Na Dr Slaa unaweza kutupa refference ili tukajifunze mahali ambapo WHO wameitambua hii kada ili kujifunza zaidi? am interested
 
Kwa nini media zetu bado zinamwita huyu Naibu Waziri Dr wakati sio?
Huyu ana mediocre Assistant Medical Officer(AMO),ambayo kwenye nyingine hawezi hata kushika mgonjwa1Hata Muhimbili wanajua,ndio maana huwezi kupata AMO au Medical assistant hapo!

Mkuu huyu mama nilivyosikia ana certificate au diploma ya radiology na siyo AMO.Kama una uhakika ni AMO siwezi nikakubishia.Pale muhimbili kila mtu anaitwa dokta,hata wale auxiliary nurses.Na wengine wanajitambulisha hivyo mitaani.Nakumbuka kuna dada mtaani kwetu bongo alikuwa msukuma wagonjwa muhimbili siku hizo niko high school,eti nae mtaani alikuwa anajiita dokta.
Lakini baadaye alikuja kuaibika.
 
Ndugu zangu, hatuwezi hata siku moja kumwita mtu daktari espacially in healthcare field wakati hujakwenda shule kusomea hiyo taaluma ukaitwa daktari. Nakubaliana na Dr Slaa kwamba wapo ma AMO wengi wazuri tu ambao wameachiwa zahanati na wanaziendesha vizuri tu because of lack of qualified professionals(ie:MDs). Lakini asalani tusiwapandishe vyeo hawa watu na kuwaita madaktari, this is simply wrong. Na kama inafikia mtu katika hadhi ya uwaziri anaitwa au anajiita daktari na watu tunamwangalia tu, then there's something wrong in our society. Ndio maana hatuwathamini na kuwalipa madaktari wetu vizuri na kuwapa heshima wanayostahili, haiwezeki asomaye Muhimbili miaka 7 na yule wa kibaha wakawa katika hadhi sawa, one is an MD and the other is a Medical assistant. period.
 
Ndugu zangu, hatuwezi hata siku moja kumwita mtu daktari espacially in healthcare field wakati hujakwenda shule kusomea hiyo taaluma ukaitwa daktari. Nakubaliana na Dr Slaa kwamba wapo ma AMO wengi wazuri tu ambao wameachiwa zahanati na wanaziendesha vizuri tu because of lack of qualified professionals(ie:MDs). Lakini asalani tusiwapandishe vyeo hawa watu na kuwaita madaktari, this is simply wrong. Na kama inafikia mtu katika hadhi ya uwaziri anaitwa au anajiita daktari na watu tunamwangalia tu, then there's something wrong in our society. Ndio maana hatuwathamini na kuwalipa madaktari wetu vizuri na kuwapa heshima wanayostahili, haiwezeki asomaye Muhimbili miaka 7 na yule wa kibaha wakawa katika hadhi sawa, one is an MD and the other is a Medical assistant. period.

Yale yale ya "Advanced Diploma ni sawa na degree" wapi na wapi? Diploma ni diploma na degree ni degree bana. Itabaki kuwa hivyo. Kwanza hata entry qualification za kuingia diploma ni far different from those that make one start his/her M.D classes. Leo tuwaone wote sawa kwanini? tutakua tunatenda haki kweli? are we motivating the medical profession or discouraging those that aspire to become MDs?
 
Yale yale ya Advanced Diploma ni sawa na degree, wapi na wapi? Diploma ni diploma na digree ni degree bana. Itabaki kuwa hivyo. Kwanza hata entry qualification za kuingia diploma ni far different than those that makes one start his/her M.D classes. Leo tuwaone wote sawa kwanini? tutakua tunatenda haki kweli?
Then Asha Kidogo should publicly tell us where, when did she acquire her doctorate!Au recantation!
 
kwa nini media zetu bado zinamwita huyu naibu waziri dr wakati sio?
Huyu ana mediocre assistant medical officer(amo),ambayo kwenye nyingine hawezi hata kushika mgonjwa1hata muhimbili wanajua,ndio maana huwezi kupata amo au medical assistant hapo!
media zetu si unazijua kwa uvivu wa kufikiri?
 
media zetu si unazijua kwa uvivu wa kufikiri?
Hazianzi media kuwaita. Tunaanza sisi na wao wenyewe wanajitambulisha hivo. Muhimu hapa ni kuwa professional boards kisheria kama walivyo wahasibu na NBAA yao au wahandisi na ERB yao ambazo zitatuambia na anastahili kuitwa "Dr". Kwa sasa madaktari, wanasheria, waandishi wa habari, wachumi,.... hawana boards kama hizi. Matokeo yake kuna kina "dr" Manyuki, dr Remmy Ongara, dr Kifimbo, dr Nchimbi, dr Mary Nagu,.....
 
Kwa nini media zetu bado zinamwita huyu Naibu Waziri Dr wakati sio?
Huyu ana mediocre Assistant Medical Officer(AMO),ambayo kwenye nyingine hawezi hata kushika mgonjwa1Hata Muhimbili wanajua,ndio maana huwezi kupata AMO au Medical assistant hapo!


Kwanza nikushukuru kwa kunifumbua macho, mimi nilidhani Dr.Aisha Kigoda ni PHD holder kumbe ni AMO??? hastahili kamwe kuitwa Dr. Lakini kwa watu wa kawaida kwenye jamii yetu hata NURSE ni DR. lakini kwa wasomi ni matusi ya nguoni
 
Suala la Aisha Kigoda kuwa Dr au Kutokuwa Dr, ambaye anaweza kutujulisha zaidi ni Associations ya Watabitu "Chama cha Ma Dr. " They have their ethics and regulations/bylaws as engineers or lawyers
 
Kusema AMO ni dr ni sawa na kusema katekista au muijilisti ni Askofu! Incompatibles!
 
Dr Slaa,unazungumzia Tanzania AMO kufanya kazi nzuri wilayani!!!!!!!!
Wanaotibiwa ni walala hoi,ambao hawana haki na miili yao tena
 
Hazianzi media kuwaita. Tunaanza sisi na wao wenyewe wanajitambulisha hivo. Muhimu hapa ni kuwa professional boards kisheria kama walivyo wahasibu na NBAA yao au wahandisi na ERB yao ambazo zitatuambia na anastahili kuitwa "Dr". Kwa sasa madaktari, wanasheria, waandishi wa habari, wachumi,.... hawana boards kama hizi. Matokeo yake kuna kina "dr" Manyuki, dr Remmy Ongara, dr Kifimbo, dr Nchimbi, dr Mary Nagu,.....


List ni ndefu mkuu, ngoja niiiendeleze kidogo..Dr. Nchimbi, Dr. David Mathayo, Professor J, Professor Maji Marefu, Dr. Lwakatare, Dr. Cheni.....aisee mpaka sisi tulio Nachingwea akija Professor J na Professor Issah Shivji tunawaweka wote kwenye kundi moja!! Hii ni hatari kwa jamii yetu kwa kila mtu kujitundikia cheo hasicho stahili.

Naomba tusilaumu media zetu, tulaumu wahusika. Muhusika kama anaitwa Dr. au Professor na yeye anajua kwamba hastahili kuitwa hivyo kwa nini asikatae na kuweka wazi kwamba yeye si Dr. au prof?
 
Back
Top Bottom