Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Dokta Slaa lazima utamtetea Kigoda kwa sababu nyote ni madokta wa kimagumashi, wewe si umepewa PHD na Papa?mmakonde,
Lets be fair. Una hakika kuwa Muhimbili haina AMO's? Unasemaje kuwa Hospitali nyingi za wilaya Tanzania zilikuwa chini ya AMO's ( for lack of MD's) na wamefanya kazi nzuri sana. Wakati wote hao wameitwa madaktari. Je unafahamu kuwa WHO imetambua kada hiyo, na imekubaliwa kuwa hata na specialization, mathalan AMO (opthalmology)n.k. Nadhani unahitaji kutuwekea details zaidi ili Jamvi hili likuelewe vizuri.