Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 6,411
- 8,912
Hii ndiyo sababu ya ziara ya Zambia? Habari ndiyo hiyo EU kupitia Global Gateway inajenga infrastructure ya kufa mtu kuunganisha nchi za Dr.Kongo na Zambia na Bandari ya Lobito Angola, and guess what Angola hajakodisha Bandari zake hivyo ni profit kwa kwenda mbele, dpworld yenu atasafrisha nini marobota ya pamba?
Soma mwenyewe hapo chini, ni habari ndefu, Namibia kuwa hub kubwa ya uwekezaji wa EU
Soma mwenyewe hapo chini, ni habari ndefu, Namibia kuwa hub kubwa ya uwekezaji wa EU