Chama Cha Kijamii
Member
- Jan 29, 2012
- 39
- 38
Wana jamvi,baada ya kuweka tamko lililotolewa siku ya tarehe 27/01/2012 juu ya ujio wa CCK na wachangiaji wengi kuomba kupata nakala ya katiba ya Chama Cha Kijamii (CCK),kwa heshima na taadhima leo nawapeni katiba hii ambayo kwa kila hali inadai mabadiliko ya haja ya kijamii na kiuchumi katika nchi yetu,naomba kuwasilisha.