Dowans: Another Richmond in making?

Dowans: Another Richmond in making?

bodi ya shirika la umma inataka kununua mitambo, inaamua kutuma wabunge. unaona ni sawa kabisa........ nakushangaa. Rashidi aliwakatalia. Wamekasirika kukosa katrip.

Sio sawa! Lakini SIO SAWA na wewe kutuingiza kwenye Jinamizi la DOWANS! ACHA KABISA!!
 
Ogah,
Unashangaa nini. True colours za mwungana zinaonekana waziwazi. Dowans ni Rostum na Rostum ana ushawishi mkubwa sana katika well being ya mwungwana. It is that simple. Dowans is to Kikwete what Netgroup solutions was to Mkapa.
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Makubaliano makuu yaliyofikiwa katika mkutano wa tathmini ya utendaji wa Serikali uliofanyika Ikulu, Dar es Salaam, leo, Jumanne, Machi 3, 2009 kati ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete na uongozi wa Wizara ya Nishati na Madini na taasisi zake:

(a) Kwamba sekta ya madini isimamiwe kikamilifu kwa kuhakikisha kuwa wenye leseni za kutafuta na kuchimba madini wanazitumia kwa masharti yaliyoombewa, na kuwa wasiozitumia leseni hizo kwa kuzingatia masharti ya leseni hizo wanyang'nywe leseni hizo badala ya kuzitumia kuendesha ulanguzi tu.

(b) Kwamba zichukuliwe hatua za haraka kukomesha kabisa wizi wa mafuta ya transfoma ambao unasababisha hasara kubwa kwa taifa na kuruvuga mtandao wa kusambaza umeme kwa wananchi.

(c) Kwamba Kamishna wa Madini Nchini, kwa kutumia madaraka na mamlaka yake kisheria, achukue hatua mara moja kukomesha uchimbaji wa kokoto katika maeneo yasiyostahili, na hasa katika eneo la Kunduchi/Tegeta, Dar es Salaam ambako tayari Serikali ilikwishakupiga marufuku uchimbaji wa kokoto, lakini baadhi ya wachimbaji wamerudi katika eneo hilo kuendesha uchimbaji.

(d) Kwamba ziongezwe juhudi katika uzalishaji wa umeme nchini kwa sababu programu ya taifa ya uzalishaji umeme bado iko nyuma na bado liko pengo kubwa kati ya mahitaji halisi ya umeme nchini na umeme unaozalishwa kwa sasa.

(e) Kwamba dhana ya tenda na Sheria ya Manunuzi isiruhusiwe kuwa kikwazo katika miradi mikubwa mikubwa ya miundombinu ya nishati, hasa ile ambako wawekezaji wanajitokeza wenyewe kuwekeza katika maeneo ambako taifa linahitaji uwekezaji mkubwa na wa haraka na ambako nchi inaonekana ilichelewa kuwekeza.

(f) Kwamba kasi iongezwe katika kuhakikisha kuwa maeneo yaliyoahidiwa umeme yanapatiwa umeme bila ucheleweshaji usiokuwa na sababu.

Imetolewa na:

Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.

03 Machi, 2009



.............DAMN IT!!!!!!
 
Jamani mimi sijaelewa, hao wawekezaji wanaojitokeza wenyewe anaowasema Mh. Rais ni wepi? TANESCO ambayo inategemea kuchota hela kutoka serikalini ili kununua hiyo mitambo?
 
Kikwete hajui atendalo ,yumo tu na yeye aseme ,jamani hebu wekeni CV ya Kikwete tujikumbushe isije kuwa tunapigishana makelele tu ,kumbe hamna kitu ,maana hata invyoonekana hana washauri na hana wa kumshauri anakoelekea ndio huko ,siku ishapita.
Ila ile ya upigaji kura mwisho !! ila sijui kama ndio ukarasa wa mwanzo au ndio wa Mwisho ,tuombe Mungu amsaidie au amhurumie.

Ushindi wa dhuluma wa Sultani CCM hautawafikisha mahala zaidi ya hasara.
 
Why govt doesn`t need to buy Dowans turbines

-Figures prove such a deal much more expensive than importing brand-new turbines from abroad

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam
THE state-run Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO) has continued to come under scathing attack for its dubious plan to buy used power generation turbines from the controversial Dowans Tanzania Limited company.

Industry experts say the move is 'ill-advised' because the government can always buy similar but brand-new - turbines directly from a number of reputable manufacturers at a fraction of the would-be cost of buying the used Dowans power plant in Dar es Salaam.

Some of the well-known suppliers of power generation sets to different governments around the world include Wartsila, Aggreko, General Electric, and Kawasaki Gas Turbines, to name but a few.

It has also been learnt that a Tanzanian delegation actually visited the Kawasaki Gas Turbines company in the United States towards the end of 2007 to establish first-hand the true cost of such turbines.

Based on presentations made by the US company, the government would be be able to purchase 100MW power generation turbines for a cost of just $42m (approx. 58bn/-), plus shipping costs.

But surprisingly, TANESCO is pushing to buy the used Dowans machinery at an estimated cost of at least $60m (approx. 84bn/-).


Promoters of the dubious deal have also been claiming that it would cost up to $90m (approx. 126bn/-) to import similar 100MW power turbines.

According to one informed government source who preferred not to be named: ''If you do the maths, you will see that TANESCO wants to spend close to 30bn/- more on buying the used power turbines from Dowans, than it would actually spend if it opted to buy brand-new generators directly from manufacturers and without using middlemen.''

The source continued: ''This whole deal smacks of corruption...Why is TANESCO pushing for this ill-advised purchase of the Dowans machinery, apparently with the help of some very vocal politicians?''


Apart from the fact that the move being vigorously pursued by TANESCO and the Ministry of Energy and Minerals to buy the Dowans plant would amount to a contravention of the current procurement law, experts now say the plan does not make financial sense.

''The higher-ups at TANESCO and its parent ministry are not exercising sound financial judgment in relentlessly pushing for this Dowans deal,'' said another industry source.

It has been alleged that the power turbines at the Dowans plant in Ubungo, Dar es Salaam were refurbished and not brand-new when initially installed.

''The Dowans turbines are at least 20 years old, and were simply overhauled before being set up at Ubungo. It would be scandalous for the government to buy such machinery,'' said the source.


The issue has generated much public debate countrywide, even leading to a high-profile clash of opinions between notable local politicians.

Over the weekend, the vice-chairman of the parliamentary committee for energy and minerals, Dr Harrison Mwakyembe, openly expressed doubts over the sincerity of the latest TANESCO bid to justify a government purchase of the Dowans turbines.

The bid came in the form of a public statement from TANESCO Managing Director Dr Idris Rashidi, who said the speedy purchase of the Dowans plant was crucial to curb a looming possibility of available power demand in the country outstripping supply in the short-term future.

The TANESCO boss said peak time demand for power currently stands at 787 MW, while only 595 MW is actually available on the national power grid, with a forecast of demand rising to 1,331 MW by 2014.

He asserted that the state-run power utility needs to add at least 105 MW to the national grid each year to keep up with this rising demand.

Rashidi's statement came in the wake of an ominous increase in extended power blackouts at odd hours in Dar es Salaam and other parts of the country, a phenomenon which in itself has yet to be properly explained by TANESCO.

However, Dr Mwakyembe retorted that the statement appeared little more than ''a trick being played by the TANESCO management to hoodwink everybody.''

He said the TANESCO boss seemed engaged in an attempt to skirt around the fact that both the TANESCO board of directors and the Bunge energy and minerals committee have already vetoed the idea of buying the Dowans machinery, as well as the reality that such a deal is prohibited under the current national procurement law.

Dr Mwakyembe is the legislator for Kyela Constituency on a ruling CCM ticket.
 
Jamani,

Nataka kutathmini niwe upande gani kuhusu ununuzi wa mitambo... bila influence ya mitambo ni ya nani?

Naomba kuambiwa faida na hasara za kununua au kutonunua mitambo hiyo... ninachomba kwenye uchambuzi huo... muondoe issue ya umiliki wa mitambo.
 
Jamani,

Nataka kutathmini niwe upande gani kuhusu ununuzi wa mitambo... bila influence ya mitambo ni ya nani?

Naomba kuambiwa faida na hasara za kununua au kutonunua mitambo hiyo... ninachomba kwenye uchambuzi huo... muondoe issue ya umiliki wa mitambo.
=====

Sababu ni moja kubwa: Ni lazima waiuzie TANESCO? Mbona wanalazimisha inunuliwe na TANESCO?
 
Why govt doesn`t need to buy Dowans turbines

-Figures prove such a deal much more expensive than importing brand-new turbines from abroad

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam
THE state-run Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO) has continued to come under scathing attack for its dubious plan to buy used power generation turbines from the controversial Dowans Tanzania Limited company.

Industry experts say the move is ’ill-advised’ because the government can always buy similar but brand-new - turbines directly from a number of reputable manufacturers at a fraction of the would-be cost of buying the used Dowans power plant in Dar es Salaam.

Some of the well-known suppliers of power generation sets to different governments around the world include Wartsila, Aggreko, General Electric, and Kawasaki Gas Turbines, to name but a few.

It has also been learnt that a Tanzanian delegation actually visited the Kawasaki Gas Turbines company in the United States towards the end of 2007 to establish first-hand the true cost of such turbines.

Based on presentations made by the US company, the government would be be able to purchase 100MW power generation turbines for a cost of just $42m (approx. 58bn/-), plus shipping costs.

But surprisingly, TANESCO is pushing to buy the used Dowans machinery at an estimated cost of at least $60m (approx. 84bn/-).


Promoters of the dubious deal have also been claiming that it would cost up to $90m (approx. 126bn/-) to import similar 100MW power turbines.

According to one informed government source who preferred not to be named: ’’If you do the maths, you will see that TANESCO wants to spend close to 30bn/- more on buying the used power turbines from Dowans, than it would actually spend if it opted to buy brand-new generators directly from manufacturers and without using middlemen.’’

The source continued: ’’This whole deal smacks of corruption...Why is TANESCO pushing for this ill-advised purchase of the Dowans machinery, apparently with the help of some very vocal politicians?’’


Apart from the fact that the move being vigorously pursued by TANESCO and the Ministry of Energy and Minerals to buy the Dowans plant would amount to a contravention of the current procurement law, experts now say the plan does not make financial sense.

’’The higher-ups at TANESCO and its parent ministry are not exercising sound financial judgment in relentlessly pushing for this Dowans deal,’’ said another industry source.

It has been alleged that the power turbines at the Dowans plant in Ubungo, Dar es Salaam were refurbished and not brand-new when initially installed.

’’The Dowans turbines are at least 20 years old, and were simply overhauled before being set up at Ubungo. It would be scandalous for the government to buy such machinery,’’ said the source.


The issue has generated much public debate countrywide, even leading to a high-profile clash of opinions between notable local politicians.

Over the weekend, the vice-chairman of the parliamentary committee for energy and minerals, Dr Harrison Mwakyembe, openly expressed doubts over the sincerity of the latest TANESCO bid to justify a government purchase of the Dowans turbines.

The bid came in the form of a public statement from TANESCO Managing Director Dr Idris Rashidi, who said the speedy purchase of the Dowans plant was crucial to curb a looming possibility of available power demand in the country outstripping supply in the short-term future.

The TANESCO boss said peak time demand for power currently stands at 787 MW, while only 595 MW is actually available on the national power grid, with a forecast of demand rising to 1,331 MW by 2014.

He asserted that the state-run power utility needs to add at least 105 MW to the national grid each year to keep up with this rising demand.

Rashidi’s statement came in the wake of an ominous increase in extended power blackouts at odd hours in Dar es Salaam and other parts of the country, a phenomenon which in itself has yet to be properly explained by TANESCO.

However, Dr Mwakyembe retorted that the statement appeared little more than ’’a trick being played by the TANESCO management to hoodwink everybody.’’

He said the TANESCO boss seemed engaged in an attempt to skirt around the fact that both the TANESCO board of directors and the Bunge energy and minerals committee have already vetoed the idea of buying the Dowans machinery, as well as the reality that such a deal is prohibited under the current national procurement law.

Dr Mwakyembe is the legislator for Kyela Constituency on a ruling CCM ticket.

Hizi analysis za kuandika kwenye vyumba vya habari.... tunapotosha taifa wakuu...
 
Kwani hiyo Tanesco inaongozwa na nani ambaye anaendesha mambo tu anavyotaka bila kuulizwa? Tanesco si inatakiwa iwe na mipango mifupi na mirefu jamani kama shirika? Visingizio vyote hivi oh nchi itakuwa gizani, nk. nk. kwa nini shirika halina mipango na mwendeshaji mkuu hawajibishwi?? Tunajua wanunue wasinunue giza lipo na litaendelea kuwepo. Ingekuwa kweli wakinunua hiyo mitambo ya kifisadi umeme utakuwa reliable potelea mbali hata mimi ningekubali kuibiwa. Unfortunately ni wizi mtupu.

Kinachostaajabisha ni kwa vipi inamwingia mtu akilini kwamba tunaweza sasa kujenga urafiki na Richmond/Dowans!!! Ndio maana haitashangaza kusikia Lowasa amerudi kugombea uraisi nchi hii, mtaona. Mungu atupe uzima.
 
But Sir,wat about that 'tununue mitambo ya Dowans yaishe&free Gire' or I didnt get the tone right!?
 
=====

Sababu ni moja kubwa: Ni lazima waiuzie TANESCO? Mbona wanalazimisha inunuliwe na TANESCO?

TANESCO inataka kununua turbines zile kwa sababu ina upungufu wa umeme... capacity iko already chini.... anytime mtambo wowote ukiwa unahitilafu taifa linaingia kwenye mgao... is that what you want...

Kuweni wazalendo na nchi yenu... think big.

Kuagiza na kufunga mitambo mipya inachukua sio chini ya mwaka kama sikosei... sasa angalieni athari za kukosa umeme na athari za kununua mitambo.... ili akili zenu zifanye kazi kwanza ondoeni mawazo ya mtambo ni wa nani.
 
Sitta ulikuwa wapi siku zote, siku hizi unajifanya unaonge sana au kwa sabababu mtandao umekutenga ????????????

Sitta anauchungu na Nchi hii baada ya kuona manyang'au wanaitokomeza.Sasa kama JK ni mmoja wa nyang'au wengine wasisaidie nchi isiangamie.Big up Sitta tuko nyuma yako,mpamba kuirudisha CCM kwenye mstari ili CCM mtandao,maslahi na mpasuko wajiondoe wakaunde vyama vyao na kutuachia CCM tunayoijua iliyoasisi taifa letu.Maneno ya JK ya kuwakejeli Kitine,Warioba na Butiku yatamgarimu tu mbele ya safari kwani wazee hawa wanamshauri kupitia jopo lao lakini hasikii yupo tu katika mstari wa kifisadi.Uteuzi wake wa Viongozi wa Serikali na Mahakama sasa ndio tunang'amua ina malengo fulani mbele ya safari,hivyo tuwe makini 2010 ili tuutokomeze ukoma huu wa kifisadi.
 
But Sir,wat about that 'tununue mitambo ya Dowans yaishe&free Gire' or I didnt get the tone right!?

duh.. nilisema "mwachieni Gire, nunueni mitambo ya Dowans". NIlisema hivyo kwa sababu haya mazungumzo tunayoendelea nayo hayana maana uamuzi ulishachukuliwa kununua mitambo ya Dowans..

Ndiyo maana nikasema kwanini tuendelee kuzungushana, si wanunue tu wamuachie Gire ili hili la Richmond na Dowans lifikie mwisho wake kuliko huu mchezo wa kidali po tunaoucheza?
 
Mwanakijiji, nitadiscuss zaidi kwenye ile topic nyingine ya Dowans, lakini points zako ni nzuri lakini umeshindwa kuonyesha hasa Nguvu za kununua Dowans zinatoka wapi. Kumbuka serikali hata iseme vipi kuna sehemu iko accountable (Bungeni), sasa huko ndiko Zitto ametumiwa ili kutumaliza wananchi, kwa hiyo kwenye ili sakata mkombozi ni bunge, sasa tuangalie bunge tutalitumia vipi wakati baadhi ya nguvu tulizokuwa tunazitegemea awali kununuliwa/kuwablackmailed/au hata sijui niseme vipi.
 
Tutaendelea kungoja miaka mitano mitano mpaka kufa kwetu bila mabadiliko yoyote. Mafisadi wako madarakani wanafanya wanachotaka maana wanajua nchi hii ni ya majuha, wapiga maneno mengi bila vitendo hawawezi kuwafanya lolote. Tukitaka mabadiliko lazima tuwe na nguvu za kuingia barabarani kupinga vitendo hivi vya kidhalimu. TUANDAMANE tupige kelele wajue tunajua ujinga wanaoufanya. Bila hivyo tutawaongea tu na wao wataiba tu. basi!
 
Jamani,

Nataka kutathmini niwe upande gani kuhusu ununuzi wa mitambo... bila influence ya mitambo ni ya nani?

Naomba kuambiwa faida na hasara za kununua au kutonunua mitambo hiyo... ninachomba kwenye uchambuzi huo... muondoe issue ya umiliki wa mitambo.

Kasheshe..

Faida ya kununua ni kuongeza umeme kwenye gridi ya taifa. Faida hii inaweza kupatikana kwa kuunganisha gridi yetu na umeme wa Zambia, kununua majenereta mengine kutoka kwa watu wengine, na hata kwa kiasi kikubwa kufanyia matengenezo vyanzo vyetu vya umeme vilivyopo sasa ambavyo kutokana na uchakavu wake vinapoteza megawatts nyingi tu. Faida hiyo pia inaweza kupatikana kama tukiamua kujenga bwawa moja tu la Stielgers na kuachana na hivi vijenereta vya kila mwaka na kukodisha mitambo. Stielgers peke yake (yaani tukiamua kufunga kidatu, mtera, nyumba ya mungu, pangani, kihansi, n.k) inauwezo wa kutoa umeme mara nne ya mabwawa hayo yote kwa pamoja!

Hasara.. hasara ya kununua mitambo hii ni kulipa kampuni ya kitapeli mabilioni ya fedha za walipa kodi wa Tanzania; hasara nyingine ni kuzawadia kampuni ambayo tayari imeonesha si ya kuaminika; hasara ni kuwalipa watu ambao Dr. Idris aliliambia taifa kuwa wanatokea Costa Rica (wakati wanatokea Uarabuni) na ya kuwa mtaji wao ni dola mia moja tu! Hasara yetu ni...
 
Govt: We`ll not dictate to Tanesco on Dowans

2009-03-04 13:56:21
By Njonanje Samwel

The government has said it will not intervene or give instructions to the Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) regarding the much talked about plan to buy Dowans power plant.

The state-run power firm is therefore free to do what it feels is best to avert the looming power crisis, blamed on the ever increasing power demands in the country.

A government spokesperson gave the stance in an interview with The Guardian on Monday in reaction to ongoing debate over whether Tanesco should buy the Dowans power generating plant in Dar es Salaam or not.
Energy and Minerals spokesperson, Aloyce Tesha, was emphatic that the government has no plan to `chip in` over the issue apparently because that "is not its duty.``

After about a week of exchange of words between Tanesco and parliamentary committees overseeing the giant utility company, this paper had sought the government position on the matter.

The ministry spin doctor said: ``The ministry is only charged with policy issues.

We have nothing to do with the issue because Tanesco is an autonomous government institution with full mandate to run its day-to-day activities such as procurement of the debated plants,`` he said.

The ministry spokesperson pointed out that the Tanesco Director General is appointed by the President and is required to report to the firm`s board of directors and not to the ministry.

``For that reason, the ministry can neither revoke the appointment nor intervene in a matter which is outside ministerial duties.

Let the matter be explained by the respective authority, which in this case is Tanesco management,`` he explained.

What the ministry can do, said Tesha, is just overseeing whether the procurement of the generators and other equipment is in line with what he described as ``policy issues.``

Tanesco`s Director General, Dr Idris Rashid said in a statement last Saturday that the institution saw no other solution to the looming power demand than purchasing generators, and apparently a simplified option is acquiring the used Dowans Holdings Company gas propelled turbines.

According to Dr Rashid, ‘fast-track' purchase of the Dowans generators was becoming increasingly crucial because the country is on the verge of a looming power deficit precipitated by ever increasing demand.


He said the utility firm needs at least 105 extra megawatts of power for its national grid each year to curb the peak time demand which now stands at 787 megawatts, with the forecast of 1,331 megawatts by 2014. The available power supplied through the national grid is 595 megawatts only.

However, Tanesco and the government stance is contradicting a statement the two institutions issued in October last year, in which they categorically refuted claims of a move to buy power generators from Dowans.

They were reacting to reports that Tanesco had sought permission from the ministry to take part in the procurement process of Dowans` 35 MW gas turbines lying idle at Ubungo in Dar es Salaam.

The Tanesco-Dowans ill-fated wedding ended in August, last year with Tanesco claiming that the contract between the two parties was unbearable, and that it no longer needed the plant because the company was generating adequate power from its own sources.


Dowans and Tanesco entered into the contract after Richmond Development Company LLC failed to generate 100mw as stipulated in the June 23, 2006 agreement, which was signed after hydropower generation dams ran dry following a prolonged drought.

Before the contract was revoked, Dowans had been pocketing a windfall 183m/-a day through a dubious power generation deal that sparked a hot debate in Parliament and streets.

The move to purchase Dowans gas turbines has been vehemently opposed by several Members of Parliament, including Kyela legislator Dr Harrison Mwakyembe and his Nzega counterpart, Lucas Selelii.

The lawmakers were key players in a parliamentary select Committee formed last year to probe the Richmond Development Company LLC scandal, leading to the resignation of the former Premier Edward Lowassa along with two senior cabinet ministers, Nazir Karamagi and Dr. Ibrahim Msabaha.

Mwakyembe, who is also the Vice-Chairman of the Parliamentary Committee on Energy, said buying the Dowans plant would violate Public Procurement procedures which restrict government institutions from purchasing used items.


Opposing the deal, Lucas Selelii said regardless of their old age, the plants were being sold at high prices and therefore any move to buy them would cost the nation highly.

Meanwhile, President Jakaya Kikwete yesterday ordered the Ministry of Energy and Minerals to increase power production efforts to bridge the demand gap and avert the looming shortage.

He said this during talks with officials of the ministry at the State House in Dar es Salaam. The meeting was part of his routine audience with officials of various public institutions.

``The national programme for production of electricity is lagging behind and still there is a big gap between the actual demand of electricity and what is being generated,`` said Kikwete.

The president ordered the officials to increase the pace of implementation to ensure that areas which had been promised to receive electricity are provided immediately without unnecessary delays.

The president told the ministry to take immediate action to stop transformer oil theft which causes great loss to the nation. ``This distorts the whole distribution system of electricity to the public,`` said Kikwete.

Additionally, the President directed the ministry to supervise the mineral sector effectively by ensuring that people with licenses to search and carry out mining of minerals use them in accordance with the conditions spelled out in the license.

He also told the officials that the Public procurement act should not be a roadblock to big energy infrastructure projects particularly those in which investors are involved and where the nation is in need.

SOURCE: Guardian
 
Jamani,

Nataka kutathmini niwe upande gani kuhusu ununuzi wa mitambo... bila influence ya mitambo ni ya nani?

Naomba kuambiwa faida na hasara za kununua au kutonunua mitambo hiyo... ninachomba kwenye uchambuzi huo... muondoe issue ya umiliki wa mitambo.

Faida ya kutonunua mitambo hiyo:-
-tutapata nafasi ya kununua mitambo mipya yenye guarantee
-tutaepusha ya Richmond,Rada na Ndege ya Rais
-tutaepuka kununua mitambo mtumba kwa bei ya juu wakati mipya ni bei chee
-itatupa nafasi ya kutaifisha mitambo hiyo iliyotumika kutapeli baada ya kesi kumalizika
-tutanunua mitambo mipya yenye mkataba wa manunuzi
-itazuia Serikali kukumbwa na kashfa ya utapeli

Hasara ya kununua mitambo hiyo:-
-haina guarantee
-ni mitambo mtumba/chakavu
-ni mitambo ya utapeli
-wenye mitambo ni matapeli
-hakuna wa kuingia naye kwani wamiliki hawafahamiki

WENYE ZAIDI WAONGEZE
 
Back
Top Bottom