Waliosaliti wote Mageuzi ya 2015 wanafahamika kiongozi, kwa kuruhusu fisadi awe mgombea uraisi.Mbatia asitafute kisingizio yeye ni msaliti tu,uzuri chadema wakishasema we msaliti hata uje na hoja zipi huaminiki tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini si unajua jamaa ni dizaini flani hivi?Sijawahi kumuona mwanaume anajilizaliza na kujikondesha kama huyu mtu
In God we Trust
Waliosaliti wote Mageuzi ya 2015 wanafahamika kiongozi, kwa kuruhusu fisadi awe mgombea uraisi.
Baba endeleza huo wanaouita usaliti mpaka mwanao nimalize masters yangu kwanza, ukileta za kuleta, hao wanaokushabikia hawatanisomesha siku ukilikosa jimbo, si unajua maisha ya uingereza yalivyo.
Mafisadi wote wanafahamika nchi hii, pale watu waliporuhusu fisadi agombee uraisi ndio kaburi lilichimbwa, na juzi nimesikia bwana mkubwa akisema Kama Membe atakuwa tayari kujiunga CDM basi anamkaribisha, hajifunzi kwa yaliyopita.Fisadi yupi huyo?
Yule aliye rudi ccm juzi akapokelewa kama mfalme?
Wewe kama ni mwana ccm basi unamvunjia heshima mwenye chama chake
In God we Trust
Mafisadi wote wanafahamika nchi hii, pale watu waliporuhusu fisadi agombee uraisi ndio kaburi lilichimbwa, na juzi nimesikia bwana mkubwa akisema Kama Membe atakuwa tayari kujiunga CDM basi anamkaribisha, hajifunzi kwa yaliyopita.
View attachment 1379585
Huyu ndiye Mbatia wa 2020
Mageuzi yakweli yalisalitiwa 2015 kwa kuruhusu fisadi awe mgombea uraisi.View attachment 1379585
Huyu ndiye Mbatia wa 2020
ana madhara kwa upinzaniNimesikiliza mahojiano kati ya Mwenyekiti wa Taifa wa NCCR Mageuzi Na mwandishi wa Habari ,katika mazungumzo hayo Mbatia kasema.
1.Watu wakiendelea kumsakama Kwa kumuita msaliti,atamwaga siri zote za UKAWA Na nani alikuwa anasaidia UKAWA.
2.Analalamika kuwa UKAWA ulisababisha Idadi ya Wabunge kutoka NCCR Mageuzi kuporomoka kutoka watano mpaka mmoja,Na pia hata ile nafasi moja ya Mbunge wa Afrika Mashariki wakaipoteza.
3.Analalamika pia hata Makao Makuu ya UKAWA hayakuwa NCCR.
Baada ya kumsikiliza Mbatia nimejiuliza maswali mengi
1.Kwa nini Mh Mbatia analalamika leo kuhusu UKAWA?
2.Mbatia anahofia nini kueleza nia ovu ya UKAWA Kama kweli analitakia heri taifa hili?
3.Je Mbeya ni Jimbo la Mbatia? Na je, ni jimboni kwa mbunge wa NCCR au? Kama sivyo je, kauli iliyotolewa kwamba kila mbunge afanye shughuli za siasa jimboni kwake haikumhusu Mbatia?
4.Kama ina mhusu imekuwaje kwenda kutoa hamasa Mbeya? Je, tayari Kampein zimeshaanza kwa vyama vyote na Mbatia kaona kwa kuanza kueleza sera za chama chake ni Mbeya?
Kama Mbatia ana mapenzi Na nchi yake,anahofia nini kueleza hayo mabaya ya UKAWA?
In God we Trust
Mbatia ni Shushushu mbobezi na wanaccm wengi wanamjua
Mpinzani gani ilifikia kuteuliwa na raisi wa awamu ya nne