Unamaanisha nini "BAHATI MBAYA"Sasa hivi Mbatia analialia ooo natukanwa sana matusi makubwa lkn navumilia.
Naona linalo muuma zaidi ni kudhaniwa kuwa jamaa ni bahati mbaya
In God we Trust
Chadema na Mbatia ni wamoja!
Taifa limejaa matakataka kila KonaNimesikiliza mahojiano kati ya Mwenyekiti wa Taifa wa NCCR Mageuzi Na mwandishi wa Habari ,katika mazungumzo hayo Mbatia kasema.
1.Watu wakiendelea kumsakama Kwa kumuita msaliti,atamwaga siri zote za UKAWA Na nani alikuwa anasaidia UKAWA.
2.Analalamika kuwa UKAWA ulisababisha Idadi ya Wabunge kutoka NCCR Mageuzi kuporomoka kutoka watano mpaka mmoja,Na pia hata ile nafasi moja ya Mbunge wa Afrika Mashariki wakaipoteza.
3.Analalamika pia hata Makao Makuu ya UKAWA hayakuwa NCCR.
Baada ya kumsikiliza Mbatia nimejiuliza maswali mengi
1.Kwa nini Mh Mbatia analalamika leo kuhusu UKAWA?
2.Mbatia anahofia nini kueleza nia ovu ya UKAWA Kama kweli analitakia heri taifa hili?
3.Je Mbeya ni Jimbo la Mbatia? Na je, ni jimboni kwa mbunge wa NCCR au? Kama sivyo je, kauli iliyotolewa kwamba kila mbunge afanye shughuli za siasa jimboni kwake haikumhusu Mbatia?
4.Kama ina mhusu imekuwaje kwenda kutoa hamasa Mbeya? Je, tayari Kampein zimeshaanza kwa vyama vyote na Mbatia kaona kwa kuanza kueleza sera za chama chake ni Mbeya?
Kama Mbatia ana mapenzi Na nchi yake,anahofia nini kueleza hayo mabaya ya UKAWA?
In God we Trust
Amepata ubatizo wa moto pale MagogoniNimesikiliza mahojiano kati ya Mwenyekiti wa Taifa wa NCCR Mageuzi Na mwandishi wa Habari ,katika mazungumzo hayo Mbatia kasema.
1.Watu wakiendelea kumsakama Kwa kumuita msaliti,atamwaga siri zote za UKAWA Na nani alikuwa anasaidia UKAWA.
2.Analalamika kuwa UKAWA ulisababisha Idadi ya Wabunge kutoka NCCR Mageuzi kuporomoka kutoka watano mpaka mmoja,Na pia hata ile nafasi moja ya Mbunge wa Afrika Mashariki wakaipoteza.
3.Analalamika pia hata Makao Makuu ya UKAWA hayakuwa NCCR.
Baada ya kumsikiliza Mbatia nimejiuliza maswali mengi
1.Kwa nini Mh Mbatia analalamika leo kuhusu UKAWA?
2.Mbatia anahofia nini kueleza nia ovu ya UKAWA Kama kweli analitakia heri taifa hili?
3.Je Mbeya ni Jimbo la Mbatia? Na je, ni jimboni kwa mbunge wa NCCR au? Kama sivyo je, kauli iliyotolewa kwamba kila mbunge afanye shughuli za siasa jimboni kwake haikumhusu Mbatia?
4.Kama ina mhusu imekuwaje kwenda kutoa hamasa Mbeya? Je, tayari Kampein zimeshaanza kwa vyama vyote na Mbatia kaona kwa kuanza kueleza sera za chama chake ni Mbeya?
Kama Mbatia ana mapenzi Na nchi yake,anahofia nini kueleza hayo mabaya ya UKAWA?
In God we Trust
Taifa limejaa matakataka kila Kona
Amkeni wananchi kataeni huu ujinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni wamoja chadema wangeitwa pia ikulu,Magu anajua Mbowe hanunuliki
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda wakati huo wapinzani walikuwa hawamjui ila sisi tuliokuwa ccm Mbatia tulikuwa tunamjua kama shushushu pandikiziKwa nn alihusishwa ukawa?
Hakuna aliye sahau mkuuMnasahau haraka nyie jamani. huyu jamaa uchaguzi Fulani aligombea pale jimbo la kawe na akalipiwa na haohao jamaa zake kuonyeshwa mubashara na tbc
Hata kule ukawa alikuwa anazuga tu
Na ninahisi wapinzani wa kweli kule ni wachache. Wengi wao ni mamluki akiwepo huyo mbatia
Nakumbuka nikiwa mtoto primary nikifanya kosa na dadangu akaniona basi nakuwa mnyonge kwake ili asinisemee..
Kila nimejaribu kupinga anachoniambia anasema ..unabishaa eee NTAKWENDA KUKUSEMA KWA BABA, narudi kuwa mpole na naishi maisha magumu mno.
Mheshimiwa Mbatia na yeye anatumia Technique ile ile...ATASEMA KILA KITU kama atasakamwa!!
Nimesikiliza mahojiano kati ya Mwenyekiti wa Taifa wa NCCR Mageuzi Na mwandishi wa Habari ,katika mazungumzo hayo Mbatia kasema.
1. Watu wakiendelea kumsakama Kwa kumuita msaliti,atamwaga siri zote za UKAWA Na nani alikuwa anasaidia UKAWA.
2. Analalamika kuwa UKAWA ulisababisha Idadi ya Wabunge kutoka NCCR Mageuzi kuporomoka kutoka watano mpaka mmoja,Na pia hata ile nafasi moja ya Mbunge wa Afrika Mashariki wakaipoteza.
3. Analalamika pia hata Makao Makuu ya UKAWA hayakuwa NCCR.
Baada ya kumsikiliza Mbatia nimejiuliza maswali mengi
1. Kwa nini Mh Mbatia analalamika leo kuhusu UKAWA?
2. Mbatia anahofia nini kueleza nia ovu ya UKAWA Kama kweli analitakia heri taifa hili?
3. Je Mbeya ni Jimbo la Mbatia? Na je, ni jimboni kwa mbunge wa NCCR au? Kama sivyo je, kauli iliyotolewa kwamba kila mbunge afanye shughuli za siasa jimboni kwake haikumhusu Mbatia?
4. Kama ina mhusu imekuwaje kwenda kutoa hamasa Mbeya? Je, tayari Kampein zimeshaanza kwa vyama vyote na Mbatia kaona kwa kuanza kueleza sera za chama chake ni Mbeya?
Kama Mbatia ana mapenzi Na nchi yake, anahofia nini kueleza hayo mabaya ya UKAWA?
In God we Trust
Labda sema shushushu asiejitambua, kwani wale wa marekani wanaofikia hatua ya kueleza anayofanya Trump sio wabobevu au wajinga? Hakuna shushushu wa mtu au wa Rais ni wa Taifa. Usalama wa Taifa.Mbatia ni Shushushu mbobezi na wanaccm wengi wanamjua
Mpinzani gani ilifikia kuteuliwa na raisi wa awamu ya nne