MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,700
- 71,114
Yuda eskarioti alikuwa mbunge wa kuteuliwa na ikulu
Unaingia lamgoni na akili swafiii, ila ukiisha kunywa joisi tu, kwisha habari yako. Ndo maana Freeman kakachaKwa hiyo wachawi wote wa gambosh wamepewa makazi magogoni haha aisee!!
Mwanaume anayekubali kupewa ubunge wa viti maalum hastahili heshima yoyote
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbatia hakuanza kufika bei leo. Ameanza zamani sana. Umesahau kipindi cha JK alikuwa mbunge wa viti maalum toka Magogoni huku akiwa uoinzani?Naanza kukosa imani na wachaga nao wameanza kufika Bei kirahisi hv
Mkuu Mbatia ni MSALITI TU akane akubali na hizo siri za Ukawa kwani yeye alikuwa wapi si alikuwa ndani ya Ukawa? Hakuna anayetishika ataendelea kuitwa MSALITI na Historia itasema.Nimesikiliza mahojiano kati ya Mwenyekiti wa Taifa wa NCCR Mageuzi Na mwandishi wa Habari ,katika mazungumzo hayo Mbatia kasema.
1.Watu wakiendelea kumsakama Kwa kumuita msaliti,atamwaga siri zote za UKAWA Na nani alikuwa anasaidia UKAWA.
2.Analalamika kuwa UKAWA ulisababisha Idadi ya Wabunge kutoka NCCR Mageuzi kuporomoka kutoka watano mpaka mmoja,Na pia hata ile nafasi moja ya Mbunge wa Afrika Mashariki wakaipoteza.
3.Analalamika pia hata Makao Makuu ya UKAWA hayakuwa NCCR.
Baada ya kumsikiliza Mbatia nimejiuliza maswali mengi
1.Kwa nini Mh Mbatia analalamika leo kuhusu UKAWA?
2.Mbatia anahofia nini kueleza nia ovu ya UKAWA Kama kweli analitakia heri taifa hili?
3.Je Mbeya ni Jimbo la Mbatia? Na je, ni jimboni kwa mbunge wa NCCR au? Kama sivyo je, kauli iliyotolewa kwamba kila mbunge afanye shughuli za siasa jimboni kwake haikumhusu Mbatia?
4.Kama ina mhusu imekuwaje kwenda kutoa hamasa Mbeya? Je, tayari Kampein zimeshaanza kwa vyama vyote na Mbatia kaona kwa kuanza kueleza sera za chama chake ni Mbeya?
Kama Mbatia ana mapenzi Na nchi yake,anahofia nini kueleza hayo mabaya ya UKAWA?
In God we Trust
Mbatia hakuanza kufika bei leo. Ameanza zamani sana. Umesahau kipindi cha JK alikuwa mbunge wa viti maalum toka Magogoni huku akiwa uoinzani?
Leo nasikia tena hata mkutani mkuu wa ACT Wazalendo umedhaminiwa na bwana mkubwa na utarushwa live na ile tv ya Ccm. Wakati chama halali cha upinzani walicho shindwabkuweka mamluki wake wakivuruge, kilipo fanya uchaguzi Mkuku alikodisha Tv na vyombo vyote vya habari kapeleka kule mkoa pendwa kuonekana yeye akifungua mahakama nk.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Mbatia ni MSALITI TU akane akubali na hizo siri za Ukawa kwani yeye alikuwa wapi si alikuwa ndani ya Ukawa? Hakuna anayetishika ataendelea kuitwa MSALITI na Historia itasema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu ukijikuta ni baba 'ako unaweza appeal uzaliwe upya!Sijawahi kumuona mwanaume anajilizaliza na kujikondesha kama huyu mtu
In God we Trust
Naanza kukosa imani na wachaga nao wameanza kufika Bei kirahisi hv