Dotto Bulendu amchambua James Mbatia

Dotto Bulendu amchambua James Mbatia

Kwa maana nyingine hana tofauti na Tulia?

In God we Trust
Yawezekana akawa pia spika wa bunge lijalo... maana twaziishi ahadi...
Amini nawaambieni mhimili wa bunge unaenda kuangamia tutabaki na bunge jina... tutashuhudia mikiki na mikambi ya farasi anayekufa bunge la mwisho baada ya hapo itabaki historia!!
 
Mungu tusaidie
Yawezekana akawa pia spika wa bunge lijalo... maana twaziishi ahadi...
Amini nawaambieni mhimili wa bunge unaenda kuangamia tutabaki na bunge jina... tutashuhudia mikiki na mikambi ya farasi anayekufa bunge la mwisho baada ya hapo itabaki historia!!

In God we Trust
 
Eti Anatishia Atamwaga Siri Nje Amwage Tu Ili Kazi Aliyotumwa Iwe Tamu
 
Nimesikiliza mahojiano kati ya Mwenyekiti wa Taifa wa NCCR Mageuzi Na mwandishi wa Habari ,katika mazungumzo hayo Mbatia kasema.

1. Watu wakiendelea kumsakama Kwa kumuita msaliti,atamwaga siri zote za UKAWA Na nani alikuwa anasaidia UKAWA.

2. Analalamika kuwa UKAWA ulisababisha Idadi ya Wabunge kutoka NCCR Mageuzi kuporomoka kutoka watano mpaka mmoja,Na pia hata ile nafasi moja ya Mbunge wa Afrika Mashariki wakaipoteza.

3. Analalamika pia hata Makao Makuu ya UKAWA hayakuwa NCCR.

Baada ya kumsikiliza Mbatia nimejiuliza maswali mengi

1. Kwa nini Mh Mbatia analalamika leo kuhusu UKAWA?

2. Mbatia anahofia nini kueleza nia ovu ya UKAWA Kama kweli analitakia heri taifa hili?

3. Je Mbeya ni Jimbo la Mbatia? Na je, ni jimboni kwa mbunge wa NCCR au? Kama sivyo je, kauli iliyotolewa kwamba kila mbunge afanye shughuli za siasa jimboni kwake haikumhusu Mbatia?

4. Kama ina mhusu imekuwaje kwenda kutoa hamasa Mbeya? Je, tayari Kampein zimeshaanza kwa vyama vyote na Mbatia kaona kwa kuanza kueleza sera za chama chake ni Mbeya?

Kama Mbatia ana mapenzi Na nchi yake, anahofia nini kueleza hayo mabaya ya UKAWA?

In God we Trust
Mbatia anapitia kipindi kigumu sana
 
Takukuru iwachunguze na kuwahoji wabunge na madiwani walio hamia ccm. Wana kesi ya kujibu ya kupokea rushwa toka ccm. Kwa mujibu wa sheria zetu mtoa rushwa na mpokea rushwa wote ni wakosaji.serikali iwape takukuru fedha za kuwawezesha kuwahoji wahusika wote na serikali iwachukulie hatua wote watakaobainika

Hahahahaha, kesi ya ngedere unampelekea nyani. Chingwenje chituli mlivagu vanga asali
 
Back
Top Bottom