Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,996
- 7,366
Waziri mkuu,makamu wa raisi,CDF,IGP hao ni wakristoMe nawashangaa waimba kwaya,unaweza vipi kuwaamini wanaume ambao hawajaoa na wapo tuh maisha yao kama waseja??
Hawana dhamana hao wahuni
Waziri mkuu,makamu wa raisi,CDF,IGP hao ni wakristoMe nawashangaa waimba kwaya,unaweza vipi kuwaamini wanaume ambao hawajaoa na wapo tuh maisha yao kama waseja??
Hawana dhamana hao wahuni
Bora huyo muhagama alivyotemwaBashungwa bora alivyotolewa .wizara ya mambo ya ndani ni lawama
Aisee ni maajabu sana.Biteko ni Mnyarwanda acheni ujuaji
Apumzike tu.Bora huyo muhagama alivyotemwa
Prof Mbarawa?Watanganyika wametemwa wengi.Hakuna mzenj hata mmoja ambae alikuwepo kwenye baraza lililopita katemwa .Wazenj wote wamerudi.Na kina Wanu wameongeza idadi ya wazenj
Ubunge sio nafasi ya maamuzi?Ripoti ya jeshi kuwa kuna watu si raia na wanepewa nafasi kubwa za maamuzi hukuiona?
Ni Waziri wa miundo mbinu na usafirishahi.Wazenj wote wamerudi na wengine wameongezekaProf Mbarawa?
Sipendi kusoma au kuchangia kwenye mada hizi za kipuuzi puuzi za kushangilia HARAMU. Lakini maandishi yako haya yamevuta macho yangu.Yaani,
Ni mshangao kwa walio wengi. Ila, we saw it coming.
Matumizi yake ili kuhakikisha Majaliwa hana nguvu sana yameisha.
Siasa hizi! Na mseme kuna maridhiano?
Jamaa alikuwa anatembea na convoy kama ya magari 40 hivi,haya maisha jamaniiiiMfuate ukamliwaze
He was used as a 🧻Yaani,
Ni mshangao kwa walio wengi. Ila, we saw it coming.
Matumizi yake ili kuhakikisha Majaliwa hana nguvu sana yameisha.
Siasa hizi! Na mseme kuna maridhiano?
What about his performance? Africa hatukujigawa wenyewe bali tuligawanywa na wakoloni kwa maslahi yao that's why tabia zetu zinafanana sana. I wish Africa ingekuwa nchi moja, but hii ni ngumu coz wakoloni walifanikiwa kutugawanya kwa misingi ya lugha, utamaduni na dini.Biteko ni Mnyarwanda acheni ujuaji
Kwahiyo alipoteuliwa naibu waziri mkuu alikua Mtanzania ila ghafla tu kuanzia leo amegeuka mnyarwanda? Duh hii kaliMkuu kasome Katiba vizuri, usilete ufundi wa kujenga hoja hapa. Kuna baadhi ya nafasi ambazo Katiba inakataza mtu ambaye wazazi wake hawana asili ya Tanzania, kuzishika zikiwemo hizo za maamuzi (Waziri Mkuu, Makamu wa Rais na Rais).
Lakini katiba haizuii kwa raia yeyote kuwa mbunge au waziri wa kawaida.
Tubishane kwa hoja.
Chawa kazini. Huku thubutu kunyanyua mdomo kabla.Ripoti ya jeshi kuwa kuna watu si raia na wanepewa nafasi kubwa za maamuzi hukuiona?
Acha warudi benchi akili ziwakae sawaJamaa alikuwa anatembea na convoy kama ya magari 40 hivi,haya maisha jamaniiii
Alikuwa hawara yako hivyo sasa una wasiwasi kuwa zile Chenji zake hutoziona tena?Katupwa jamani roho imeniuma sana
Siasa za majitaka; walizianza kwa Dr Salim, TZ ikakosa Mtu bora kuwa Rais.Wakati akiwa mbunge, waziri nishati na NWM hakuwa mnyarwanda?