PostGE2025 Dotto Biteko atemwa rasmi na Rais Samia

PostGE2025 Dotto Biteko atemwa rasmi na Rais Samia

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Rejea ripoti ya tpdf na nafasi kubwa za maamuzi kupewa wageni

wageni wanaruhusiwa kuwa wabunge? Muwe mnatumia akili muda mwingine badala ya makalio. Bora mseme ametemwa tu sio mambo ya uraia wa nje.

Kama ni mrwamba mvueni hata ubunge. Mliposema wanaofanya vurugu ni wageni mnalichafua zaidi jeshi lenu la mchongo kuliko kusaidia.
 
Mkuu
Wageni wanaruhusiwa kuwa wabunge maana bado ni mbunge? TZ inakubali uraia pacha?
Wageni wanaruhusiwa kuwa wabunge maana bado ni mbunge? TZ inakubali uraia pacha?
Wageni wanaruhusiwa kuwa wabunge maana bado ni mbunge? TZ inakubali uraia pacha?
Mkuu kuna nafasi za maamuzi ? Unazijua kwa asili yake hawezi kuwa Waziri ama waziri Mkuu
 
Mkuu mambo mengine mie sijui unanisakama bure tu.
Amani tu mwana!. Tunajaribu kutafakari ubinafsi ubaguzi na aina flani ya unyanyapaa kwa baadhi ya watu wenye muonekano fulani na kutoa hukumu hata bila kuwa na ushahidi. Tanzania hii imevurugwa sana.... Tunatakiwa kuanza upya kama taifa.
 
Mkuu



Mkuu kuna nafasi za maamuzi ? Unazijua kwa asili yake hawezi kuwa Waziri ama waziri Mkuu

Alipokuwa WN na NWM hakufanyiwa vetting? Hakuwa na maamuzi huko?

TZ haina uraia pacha wala hairuhusu mgeni kuwa hata balozi wa nyumba kumi let alone kuwa mbunge au waziri. Mbona hatenguliwi?

Wote waliotemwa ni raia wa nje?

Amir Jamal the best ever waziri wa fedha nchi hii toka imepata uhuru alikua na asili ya India ila alifanya makubwa kuliko wamatumbi asilia.

USA na Ulaya huko wanawekwa watu waliozaliwa nje kabisa na bado wanaperform ila kwenye hizi shithole countries mtu anatemwa kisa tu ana asili ya sehemu fulani. Shithole country ni shithole country hakika.

Hao wenye asili wamewafikisha wapi kama nchi bado ni shithole kiasi hiki?

Lastly, sijawahi kuelewa hii inferiority complex mitanganyika mliyonayo against Rwanda. Mkisikia RW tu mnaloa wakati ni kanchi kadogo kama mkoa tu na imezidiwa kila kitu na bongo hadi pisi kali. Yes, hadi pisi tumewazidi. Ila wabongo mkisikia RW tu mnaloa hapo hapo, kwa kipi hasa?
 
Kwa ilivyo sasa yupo mtu anajivunia kuteuliwa?
 
Yaani,

Ni mshangao kwa walio wengi. Ila, we saw it coming.

Matumizi yake ili kuhakikisha Majaliwa hana nguvu sana yameisha.

Siasa hizi! Na mseme kuna maridhiano?

Dotto hakushiriki kwenye kumsaidia kuwaua watanganyika.
 
Is an honor kutochaguliwa kwenye hili baraza fake lililojaa damu za wananchi, guarantee hao wote career zao zimeisha na wote watahusishwa na mauaji yaliyotokea, mimi ningekataa na kusepa haraka sana
 
Alipokuwa WN na NWM hakufanyiwa vetting? Hakuwa na maamuzi huko?

TZ haina uraia pacha wala hairuhusu mgeni kuwa hata balozi wa nyumba kumi let alone kuwa mbunge au waziri. Mbona hatenguliwi?

Wote waliotemwa ni raia wa nje?

Amir Jamal the best ever waziri wa fedha nchi hii toka imepata uhuru alikua na asili ya India ila alifanya makubwa kuliko wamatumbi asilia.

USA na Ulaya huko wanawekwa watu waliozaliwa nje kabisa na bado wanaperform ila kwenye hizi shithole countries mtu anatemwa kisa tu ana asili ya sehemu fulani. Shithole country ni shithole country hakika.

Hao wenye asili wamewafikisha wapi kama nchi bado ni shithole kiasi hiki?

Lastly, sijawahi kuelewa hii inferiority complex mitanganyika mliyonayo against Rwanda. Mkisikia RW tu mnaloa wakati ni kanchi kadogo kama mkoa tu na imezidiwa kila kitu na bongo hadi pisi kali. Yes, hadi pisi tumewazidi. Ila wabongo mkisikia RW tu mnaloa hapo hapo, kwa kipi hasa?
Mkuu kasome Katiba vizuri, usilete ufundi wa kujenga hoja hapa. Kuna baadhi ya nafasi ambazo Katiba inakataza mtu ambaye wazazi wake hawana asili ya Tanzania, kuzishika zikiwemo hizo za maamuzi (Waziri Mkuu, Makamu wa Rais na Rais).
Lakini katiba haizuii kwa raia yeyote kuwa mbunge au waziri wa kawaida.
Tubishane kwa hoja.
 
Back
Top Bottom