Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Unapewa unaibu waziri mkuu badala ya kufanya kazi wewe unaishia kuwa motivesheni speaker tu.Yaani,
Ni mshangao kwa walio wengi. Ila, we saw it coming.
Matumizi yake ili kuhakikisha Majaliwa hana nguvu sana yameisha.
Siasa hizi! Na mseme kuna maridhiano?