PostGE2025 Dotto Biteko atemwa rasmi na Rais Samia

PostGE2025 Dotto Biteko atemwa rasmi na Rais Samia

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Atarudi tu kabla ya 2030! Kuna mbio za urais kwenye hii panga pangua!
 
Watanganyika wametemwa wengi.Hakuna mzenj hata mmoja ambae alikuwepo kwenye baraza lililopita katemwa .Wazenj wote wamerudi.Na kina Wanu wameongeza idadi ya wazenj
Wewe sema tuh waislam,na udini wenu wa kikatoliki huo

Waambieni watoe waraka mwingine basi
 
Back
Top Bottom