PakavuNateleza
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 1,106
- 1,297
- Thread starter
- #41
Benki kuu ili delay miezi mitatu ili government machineries zifanye due diligence kwamba kujiridhisha na transactions hizi.Lakini kwa sababu watu wakitaka kula waliona BOT inawachelewesha tuu.