Dongo la Mbatia kwa Dr. Tulia!

Dongo la Mbatia kwa Dr. Tulia!

Tulia
Mwaka huu anawakilisha jimbo la vunjo
Tulia naye atawakilisha jimbo lolote huko kwao uchaguzi ujao. Kama ilivyokuwa kwa mbatia kipindi kilichopita huruma ya rais na saa hizi kachaguliwa huko kwao.
 
Tulia

Tulia naye atawakilisha jimbo lolote huko kwao uchaguzi ujao. Kama ilivyokuwa kwa mbatia kipindi kilichopita huruma ya rais na saa hizi kachaguliwa huko kwao.
Hilo sahau kabisa
 
Hilo sahau kabisa
Kama wewe ndo mwenye uwezo wa kuzuia asichaguliwe basi ataendelea kuteuliwa kama anavyoendelea kuteuliwa Suzana Lyimo tangu 1995 ama 2000 au yule mwingine mtoto wa Ndesamburo miaka yote yuko bungeni kwa kuteuliwa, sembuse Dr. Tulia ambaye hata mwaka hana.
 
Inabadilisha nini? Dada Tulia (PhD) ndiye Naibu Spika wa Bunge la JMTZ, Mbatia ni nani? kwanza hata amshukuru Raisi Kikwete kwa kumpa Ubunge wa viti maalumu kama Lucy kamata vinginevyo leo hii angekuwa anabeba mikoba ya fisadi Lowasa au Mbowe!
Tunashukuru kwa hilo na wapiga kura walimuamini wakampa kura akawa mbunge wa Vunjo badala ya Mrema. Ukweli ni kwamba Mbatia hakusign cheque toka chukua chako mapema ili agombee ila wananchi waliamua wenyewe.
Barbarosa mshauri mwenyekiti wa CCM avunje vyama abaki na CCM ili muenxeshe nchi kivyema. Nimeona vyma vyote haviwezi kujiendesha sababu havina pesa, havina uhuru na havina ulinzi hivyo it is too early kwa kuwa na vyama vya upinzani hawajiwezi heri watawaliwe mpaka pale akija mtume wa kuruhusu demokrasia.
 
Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia (PhD) ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!

Mbatia Angekuwa kichwa chama chake kingekuwa na mbunge mmoja tu ambaye ni yeye?
Miaka 25 yuko kwenye siasa bado mbunge hajawa hata makamu wa Raisi au waziri mkuu au naibu spika?.Ni aibu.Tulia kaanza juzi tu leo naibu spika wa bunge.Yeye Mbatia miaka 25 Hajui hata unaibu spika unafananaje anangoja Tulia amwonyeshe kidole kuwa haya babu uliyekaa kwenye siasa miaka 25 chama chako kikiwa na mbunge mmoja ongea!
Mnajivunia cheo cha voda fasta? Cheo cha kupewa mezani...
 
Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia (PhD) ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!

Kwa CCM kila kitu kinawezekana ,Nchi anaweza pewa yeyote yule ilimuradi akubaliwe na wanene ktk NEC....
 
tatizo huyo Nasari hafuati kanuni , sheria na taratibu sasa yeye Tulia afanye nini jamani?!?!?!
Ulifuatilia kilichotokea au umehadithiwa? Unadhani kwa nini wabunge wote pamoja na wa ccm waliamua kutoka?
 
"Nina miaka 25 niko kwenye siasa.Wakati tunapambana kwa ajili ya Watanzania miaka hiyo yote hatukuwahi kuwa na posho.Kipindi hicho kina Tulia walikuwa shule ya msingi"

Source: Mh Mbati, James
Yaani avatar + ID yako ninejumlisha nikagawanya kuhusu hiyo avatar nikapata jibu.

Mbatia ni noma
 
Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia (PhD) ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!
Kunguni wewe kwani hujui kuwa yeye anatoka Jimboni na mwenzake kateuliwa na Rais,dont you see the difference?Hata wewe Rais akitaka uwe naibu spika si unakuwa?Acha kuchokoza watu wewe na usije ukaongea utumbo kama huu mbele za watu utajikuta ushasukumiwa ngumi hata kabla hujamaliza bila hata kuulizwa,acha kabisa mawazo mgando kiasi hiki.
 
Kama wewe ndo mwenye uwezo wa kuzuia asichaguliwe basi ataendelea kuteuliwa kama anavyoendelea kuteuliwa Suzana Lyimo tangu 1995 ama 2000 au yule mwingine mtoto wa Ndesamburo miaka yote yuko bungeni kwa kuteuliwa, sembuse Dr. Tulia ambaye hata mwaka hana.
Tuna mpango wa kufuta viti vya rais
 
Mbatia Angekuwa kichwa chama chake kingekuwa na mbunge mmoja tu ambaye ni yeye?
Miaka 25 yuko kwenye siasa bado mbunge hajawa hata makamu wa Raisi au waziri mkuu au naibu spika?.Ni aibu.Tulia kaanza juzi tu leo naibu spika wa bunge.Yeye Mbatia miaka 25 Hajui hata unaibu spika unafananaje anangoja Tulia amwonyeshe kidole kuwa haya babu uliyekaa kwenye siasa miaka 25 chama chako kikiwa na mbunge mmoja ongea!
Kwani kichwa Tulia amegombea kupitia jimbo gani?
 
Back
Top Bottom