Mabatia atuambie kwanza ,kwa nini aliuza chama kwa mafisadi??Mkuu una maana kuwa kichwa kizuri katika siasa lazima uwe na cheo kikubwa??
Is that how you think??
Mabatia atuambie kwanza ,kwa nini aliuza chama kwa mafisadi??Mkuu una maana kuwa kichwa kizuri katika siasa lazima uwe na cheo kikubwa??
Is that how you think??
NI MWIKO KUMKOSOA MKUU NA CHAMA CHAKE"Nina miaka 25 niko kwenye siasa.Wakati tunapambana kwa ajili ya Watanzania miaka hiyo yote hatukuwahi kuwa na posho.Kipindi hicho kina Tulia walikuwa shule ya msingi"
Source: Mh Mbati, James
Mbatia kasema ukweli huyo tulia ni juzi kaingia kwenye siasa na bado hajazifahamu vizuri siasa
Kwahiyo kwako wewe unaibu spika ndiyo mafanikio kisiasa?huyo aibu spika hajawahi hata kupata kura 10 kutoka kwa watanzania wenye nchi yao zaidi ya kupata vyeo vya kupendelewaMbatia Angekuwa kichwa chama chake kingekuwa na mbunge mmoja tu ambaye ni yeye?
Miaka 25 yuko kwenye siasa bado mbunge hajawa hata makamu wa Raisi au waziri mkuu au naibu spika?.Ni aibu.Tulia kaanza juzi tu leo naibu spika wa bunge.Yeye Mbatia miaka 25 Hajui hata unaibu spika unafananaje anangoja Tulia amwonyeshe kidole kuwa haya babu uliyekaa kwenye siasa miaka 25 chama chako kikiwa na mbunge mmoja ongea!
Aliyempeleka Tulia pale ni nani? Unadhani wabunge wa CCM wote wanamuunga mkono Tulia? Acha ulikaza
None sense!Inabadilisha nini? Dada Tulia (PhD) ndiye Naibu Spika wa Bunge la JMTZ, Mbatia ni nani? kwanza hata amshukuru Raisi Kikwete kwa kumpa Ubunge wa viti maalumu kama Lucy kamata vinginevyo leo hii angekuwa anabeba mikoba ya fisadi Lowasa au Mbowe!
Mbatia kasema ukweli huyo tulia ni juzi kaingia kwenye siasa na bado hajazifahamu vizuri siasa
Kwani unaijua vizuri historia ya mama yake na huyo mbunge dogo wa Morogoro?Yule mbunge dogo WA morogoro wabunge Wanawake WA kuteuliwa aliwaitaje vileee
Mkuu una maana kuwa kichwa kizuri katika siasa lazima uwe na cheo kikubwa??
Is that how you think??
Mbatia Angekuwa kichwa chama chake kingekuwa na mbunge mmoja tu ambaye ni yeye?
Miaka 25 yuko kwenye siasa bado mbunge hajawa hata makamu wa Raisi au waziri mkuu au naibu spika?.Ni aibu.Tulia kaanza juzi tu leo naibu spika wa bunge.Yeye Mbatia miaka 25 Hajui hata unaibu spika unafananaje anangoja Tulia amwonyeshe kidole kuwa haya babu uliyekaa kwenye siasa miaka 25 chama chako kikiwa na mbunge mmoja ongea!
Kufanikiwa sio lazima uende ngazi za juu unaweza kubebwa na mbereko kama Tulia na usiwe msaada kwa wananchi, unaweza kuwa Mbunge ukawasaidia wananchi katika mambo mbalimbali, kwahyo kupata cheo sio mafanikio ya wengi,Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!
Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina!
Halafu uongezee wewe na Mbatia nani ana afadhali ya maisha kwa sasa, Kijana ni vema ukauficha upuuzi wako wa kutetea visivyofaa kwa kuwa tu mmeahidiwa kupewa vyeo eti kwa kupambana kwenye mitandao ya kijamiiNafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!
Wewe nawe kwa kuongea ukwel,changanya na uongo kama wenzio wa kususaNafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina nani hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!
hapa ishu si cheo mh.mbatia tunaona mchango wake kitaifa linapokuja suala la namba 3/4 ni sawa lakini umeifanyia nini nchi yako ,taifa lako ,mbatia anajenga hoja ya msingi kuwa suala si posho taifa kwanza .endapo suala ni cheo mbatia aliteuliwa pia ubunge lakini hakukubadili msimamo wake alisimamie taifa lisiangamie suala la elimu .unapotanguliza taifa una hofu ya mungu historia isije kukuhukumuNafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!
Nascia IQ yake ni less than 17%Akili yako inakusaidia kuvuka barabara tu,zaidi ya hapo labda kwenda msalani.