Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,521
- 6,517
Labda asifiwe PHD, lakini kwenye siasa kamebebwa sana
Uyu n kilaza kwaio kazn yake n kukurupuka na kutetea ata kama n ujinga umeletwa na chama tawala, kahama kabisa kwenye Mada, asante kwa kumuelewesha blazaHee! Kwani Mbatia kasema hiyo miaka 25 alikuwa anapambana kwa ajili ya mafanikio yake yeye binafsi??? Embu rudia kupasoma tena...
Asante kwa kumuelewesha uyo kilazaMnachokisema ni sawa na kusema Yanga anachukua makombe kila siku wakati Arsenal haichukui kule EPL hivyo Yanga ni bora kuliko Arsenal.. Mbatia angekuwa CCM kwa miaka yote hiyo angeshakuwa waziri siku nyingi sana hata Uspika kama angeutaka angeweza kuwa.. Yule shemeji yake wa kiukoo yule Marehemu si alikuwaga na cheo kikubwa tu huko chamani mpaka serikalini
Jk ndo alimpa kura vunjo? af kama kafika apo kwa ajili ya Jk lkn sio tulia, sawa tu.Mbatia awe mkweli, amefika hapo alipo kwa mbeleko ya CCM chini ya JK, au amesahu?
Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia (PhD) ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!
Kidumu kidumu chama cha mapinduziiiiii. Ulikuwa operation gani au kambi gani na mwaka gani kati ya 75-82 kama ni baada ya 80s usichangie sababu Political Science yako ni kubwa kuliko yangu au ni ndogo sana. Tz ya Magufuli anayoiota ni ile sisi watangulizi wake tuliyoipitia. Hairudi kwamwe.Mbatia Angekuwa kichwa chama chake kingekuwa na mbunge mmoja tu ambaye ni yeye?
Miaka 25 yuko kwenye siasa bado mbunge hajawa hata makamu wa Raisi au waziri mkuu au naibu spika?.Ni aibu.Tulia kaanza juzi tu leo naibu spika wa bunge.Yeye Mbatia miaka 25 Hajui hata unaibu spika unafananaje anangoja Tulia amwonyeshe kidole kuwa haya babu uliyekaa kwenye siasa miaka 25 chama chako kikiwa na mbunge mmoja ongea!
Ubunge wa kuchaguliwa ama kuteuliwa vyote hali moja. Muulizeni mbatia bunge lililopita alichaguliwa na nani, tusibeze kwa kuwa mteule safari hii ni Tulia na siyo Mbatia. Kuwa na muda wa miaka 25 kwenye siasa haiwezi kuwa kila kitu cha kuwafanya wengine wasiwepo kwenye politiki.Nadhani una mtindio wa ubongo, yaani mbunge tena wa kuchaguliwa na kura za wananchi bado unamuita msaga lami?
Aliyempeleka Tulia pale ni kama yule aliyempeleka Mbatia bungeni katika bunge lililopita. Hata wabunge wa upinzani haiwezekani wote wawe wanaunga mkono amri iliyotolewa na mbowe ya kumgomea dk. Tulia. Mkumbo unaotumiwa ccm ni sawa na mkumbo unaotumiwa CDM.Aliyempeleka Tulia pale ni nani? Unadhani wabunge wa CCM wote wanamuunga mkono Tulia?
Mbatia ni mbunge wa kuchaguliwa na wana wa kiraracha na kambwaga wakala wenuSiasa
Ubunge wa kuchaguliwa ama kuteuliwa vyote hali moja. Muulizeni mbatia bunge lililopita alichaguliwa na nani, tusibeze kwa kuwa mteule safari hii ni Tulia na siyo Mbatia. Kuwa na muda wa miaka 25 kwenye siasa haiwezi kuwa kila kitu cha kuwafanya wengine wasiwepo kwenye politiki.
Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia (PhD) ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!
Na we unaona umeongea pointNafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia (PhD) ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!
Go back to school kama PhD holder wa kitanzania ni sawa na form four leaver wa Kenya
Vizur nadhan ameelewaHahahah lkn best lawyers wa Kenya na Uganda wamesoma UDSM, kwa kifupi sehemu kubwa ya ma elite wa Kenya na Uganda wamesoma (Wanasheria) TZ kama ulikuwa haujui tafuta famous lawyer yoyote unayemjua Kenya au Uganda halafu muulize kasoma wapi?!
Watu kama Amos Wako ambaye ndiye alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Kenya na aliyesimamia Katiba mpya ya nchi hiyo amesoma UDSM!
Jibu swali, bunge lililopita alikuwa anawakilisha jimbo lipi? Au hajui kama alikuwa mbunge?.Mbatia ni mbunge wa kuchaguliwa na wana wa kiraracha na kambwaga wakala wenu
Jamani Mbatia kajisemea yaliyo moyoni mwake. Hebu isomeni tena hiyo sentensi yake muone ina mafunzo gani kwa wasomi kama Tulia na kwetu sie mafundi wa kukosoa tuuuu na kuweka mbele zaidi ushabiki wa vyama kuliko utaifa!"Nina miaka 25 niko kwenye siasa.Wakati tunapambana kwa ajili ya Watanzania miaka hiyo yote hatukuwahi kuwa na posho.Kipindi hicho kina Tulia walikuwa shule ya msingi"
Source: Mh Mbati, James
Kuelewa mantiki ni kazi sana..Hapo ndo mwisho wako wa kuwaza?Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia (PhD) ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!
Hahahahalikuwa hajui hata kutumia poda
uso wenyewe ukipakwa poda inadunda!alikuwa hajui hata kutumia poda