Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Kwahiyo leo hii mbatia ni mbunge wa viti maalum?Inabadilisha nini? Dada Tulia (PhD) ndiye Naibu Spika wa Bunge la JMTZ, Mbatia ni nani? kwanza hata amshukuru Raisi Kikwete kwa kumpa Ubunge wa viti maalumu kama Lucy kamata vinginevyo leo hii angekuwa anabeba mikoba ya fisadi Lowasa au Mbowe!