Dongo la Mbatia kwa Dr. Tulia!

Dongo la Mbatia kwa Dr. Tulia!

Yeye ubunge wa kupewa hajui wenzake walivyo upata kwa mbinde.
Unaamuru Nasari atolewe nje na polisi kama mwizi? Uchungu aliopitia Nasari hadi kuwa Mbunge yeye haujui na hatujui yeye kaupata vipi ule ubunge na unaibu wa haraka haraka
Muulize Mbatia awamu iliyopita aliupataje ubunge alipoteuliwa na Kikwete
 
Mbatia ana matatizo sana,aliona bora aue chama ili mradi abebwe na ukawa apate ubunge
 
Jamani mbona hamlielewi hili '' Laziama atende kazi zake kwa matakwa ya yule aliyemfikisha hapo'' . Unapokuwa mteule wa rais halafu ukawa dhaifu na mwenye kuhofia uteuzi wako haya tunayoyaona kwake ni dhahiri kuwa ameshindwa kutambua kuwa pamoja na kuteuliwa anatakiwa kubalance na kutambua kuwa hata kama yeye ni mteule lkn uteule wake ni kwa mujibu wa katiba ya nchi inayompa mamlaka kutekeleza majukumu yake bila kujikosha. Anatakiwa aige aliyoyafanya J.Mbatia wakati wa awamu ya nne.
 
Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia (PhD) ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!
Kwa Mfano wewe Mumeo ni wa ngapi ki Mamlaka ?
 
Ukweli mtupu huyu Tulia ni mtoto mdogo sn ndyo maana imekuwa rahisi kwake kufanya kazi kwa maelekezo kutoka kwa watawala
 
Jamani mbona hamlielewi hili '' Laziama atende kazi zake kwa matakwa ya yule aliyemfikisha hapo'' . Unapokuwa mteule wa rais halafu ukawa dhaifu na mwenye kuhofia uteuzi wako haya tunayoyaona kwake ni dhahiri kuwa ameshindwa kutambua kuwa pamoja na kuteuliwa anatakiwa kubalance na kutambua kuwa hata kama yeye ni mteule lkn uteule wake ni kwa mujibu wa katiba ya nchi inayompa mamlaka kutekeleza majukumu yake bila kujikosha. Anatakiwa aige aliyoyafanya J.Mbatia wakati wa awamu ya nne.
Mbatia ni bonge la mbunge anatakiwa awe ni wa kuigwa
 
Kunguni wewe kwani hujui kuwa yeye anatoka Jimboni na mwenzake kateuliwa na Rais,dont you see the difference?Hata wewe Rais akitaka uwe naibu spika si unakuwa?Acha kuchokoza watu wewe na usije ukaongea utumbo kama huu mbele za watu utajikuta ushasukumiwa ngumi hata kabla hujamaliza bila hata kuulizwa,acha kabisa mawazo mgando kiasi hiki.
Usitoe pofu bwana kaka, kwani ukichaguliwa ndo inakuwaje? kuchaguliwa pekee hakiwezi kuwa kipimo cha busara ama bonge la mbunge. Tafadhali angalia hapa: baadhi ya waliochaguliwa na wananchi ni Kibajaji, prof. Maji marefu, Sugu, prof.j (joseph haule), mbowe, lameck airo, joseph msukuma, mr.bwege, kubenea etc. na baadhi ya walioteuliwa na rais ni prof. Mbarawa, prof. Ndalichako, dr. Tulia, dr. Possi na dr. Philipo Mpango. Kwa hivyo kuna uwezekano mkubwa kwa wananchi kuchagua yeyote hata kama kichaa kuliko mh. Rais anavyoweza kufanya makosa ya aina hiyo.
 
Mbatia Angekuwa kichwa chama chake kingekuwa na mbunge mmoja tu ambaye ni yeye?
Miaka 25 yuko kwenye siasa bado mbunge hajawa hata makamu wa Raisi au waziri mkuu au naibu spika?.Ni aibu.Tulia kaanza juzi tu leo naibu spika wa bunge.Yeye Mbatia miaka 25 Hajui hata unaibu spika unafananaje anangoja Tulia amwonyeshe kidole kuwa haya babu uliyekaa kwenye siasa miaka 25 chama chako kikiwa na mbunge mmoja ongea!
Kumbuka tulia hakufika hapo alipo kwa uwezo wake binafsi bali ni cheo cha kupewa kwa maslahi fulani.Fungua ubongo kujifikirisha.
 
Jamani mbona hamlielewi hili '' Laziama atende kazi zake kwa matakwa ya yule aliyemfikisha hapo'' . Unapokuwa mteule wa rais halafu ukawa dhaifu na mwenye kuhofia uteuzi wako haya tunayoyaona kwake ni dhahiri kuwa ameshindwa kutambua kuwa pamoja na kuteuliwa anatakiwa kubalance na kutambua kuwa hata kama yeye ni mteule lkn uteule wake ni kwa mujibu wa katiba ya nchi inayompa mamlaka kutekeleza majukumu yake bila kujikosha. Anatakiwa aige aliyoyafanya J.Mbatia wakati wa awamu ya nne.
Uncle upo sahihi huyu mwanamke mwenzetu ni jibu la karne
 
Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia (PhD) ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!
yaani wewe ndio choka mbaya,unamfananisha mbatia na huyo mama aliyepewa cheo?
 
Wanapozidi kuongelea mambo ya posho maana yake imewagusa ktk mfupa!!
 
Mbatia Angekuwa kichwa chama chake kingekuwa na mbunge mmoja tu ambaye ni yeye?
Miaka 25 yuko kwenye siasa bado mbunge hajawa hata makamu wa Raisi au waziri mkuu au naibu spika?.Ni aibu.Tulia kaanza juzi tu leo naibu spika wa bunge.Yeye Mbatia miaka 25 Hajui hata unaibu spika unafananaje anangoja Tulia amwonyeshe kidole kuwa haya babu uliyekaa kwenye siasa miaka 25 chama chako kikiwa na mbunge mmoja ongea!

Unaelewa kilichomweka spika mdogo hapo AU UNAROPOKA TU????
 
Back
Top Bottom