KISHINDO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 2,202
- 1,957
Mbatia Angekuwa kichwa chama chake kingekuwa na mbunge mmoja tu ambaye ni yeye?
Miaka 25 yuko kwenye siasa bado mbunge hajawa hata makamu wa Raisi au waziri mkuu au naibu spika?.Ni aibu.Tulia kaanza juzi tu leo naibu spika wa bunge.Yeye Mbatia miaka 25 Hajui hata unaibu spika unafananaje anangoja Tulia amwonyeshe kidole kuwa haya babu uliyekaa kwenye siasa miaka 25 chama chako kikiwa na mbunge mmoja ongea!
Kama nchi bado ina VILAZA WA NAMNA HII, NI KWELI BADO TUNA SAFARI NDEFU.
Watanzania wengi wakisha kula ubwabwa na maharage basi AKILI INABADILIKA NA KUWA MATOPE