Dongo la Mbatia kwa Dr. Tulia!

Dongo la Mbatia kwa Dr. Tulia!

Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia (PhD) ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!
Wee mafanikio ya unayapima kwa kuwa kiongozi wa Bunge na elimu??? Kuna raia walogundua formula za mahesabu na hawakusoma. Sidhan kama uko sahihi, mzee mwenzangu.
 
Mbatia Angekuwa kichwa chama chake kingekuwa na mbunge mmoja tu ambaye ni yeye?
Miaka 25 yuko kwenye siasa bado mbunge hajawa hata makamu wa Raisi au waziri mkuu au naibu spika?.Ni aibu.Tulia kaanza juzi tu leo naibu spika wa bunge.Yeye Mbatia miaka 25 Hajui hata unaibu spika unafananaje anangoja Tulia amwonyeshe kidole kuwa haya babu uliyekaa kwenye siasa miaka 25 chama chako kikiwa na mbunge mmoja ongea!

MTU hupewa madaraka/mamlaka na Mungu, Mara nyingi kupitia kwa wanadamu wenzake. Tulia amepewa ubunge, kisha unaibu spika; hakujipa. Mbatia hawezi kujipa uwaziri Mkuu au uspika. Umeelewa?
 
We Taahira, Ni bora ungekaa kimya, Mbatia amekuwa mbunge mwaka 1995-2000 pia 2010-2015 na sasa 2015-2020 harafu unasema bila JK, are you serious?
Toka 2000 had 2010 alikua kimya.msaada wa ubunge wa uwt viti maalum vya Jk
 
Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia (PhD) ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!
Mtaalamu wangu kichefuchefu umerudi tena!, hebu niambie Ni dharura gani ikitokea naibu spika anakula shavu, Na Ni kwa katiba ya nchi gani?
 
Mbatia Angekuwa kichwa chama chake kingekuwa na mbunge mmoja tu ambaye ni yeye?
Miaka 25 yuko kwenye siasa bado mbunge hajawa hata makamu wa Raisi au waziri mkuu au naibu spika?.Ni aibu.Tulia kaanza juzi tu leo naibu spika wa bunge.Yeye Mbatia miaka 25 Hajui hata unaibu spika unafananaje anangoja Tulia amwonyeshe kidole kuwa haya babu uliyekaa kwenye siasa miaka 25 chama chako kikiwa na mbunge mmoja ongea!
wakuu,hivi nyinyi huwa mnatumia nini kufikiri??mnatumia kichwa kama mimi au??
Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia (PhD) ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!
 
Mbatia kichwa sana.

Ni mwanasiasa wa kweli mno.
Kweli Mkuu ni mwanasiasa wa kweli mno, 2010-2015 alikuwa na wabunge zaidi ya 5, ila 2015-2020 ana mbunge mmoja.
 
Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia (PhD) ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!

Wewe ni wale ma VLZ nini?! Mbatia kapambana kwa nguvu na jasho lake wakati huyo mwingine hata haijulikani katoka wapi na kwa nini; au Baby?!
 
1.Mafanikio ya mtu hayapimwi tu kwavitu alivyonavyo. 2 mmoja kasema Mbatia miaka 1990 alifukuzwa chuo kikuu je leo hana elimu ya chuo kikuu? Je leo yeye ni nani?.

TANU ilianzishwa 1954 uhuru 1961, lakini kabla ya TANU kulikuwa na vyama vingine vilivyopigania uhuru, kabla ya hivyo vyama watemi, machifu walipigania uhuru huohuo aliohitimisha TANU. Maana yake sio kila unalopigania na kulianzisha lazima ulimalize, wanaweza kumaliza wengine wewe utabakia sehemu ya jambo hilo. Musa aliwatoa Waisraeli Misri lakini hakuwafikisha nchi ya ahadi.

Swali la kujiuliza Mbatia anamafanikio na heshima gani sasa baada ya yote kupita. Mafanikio au heshima ya chama sio wingi wa wabunge pekee, CCM inawabunge wengi je kinaonekanaje na kinaheshimikaje kwenye jamii. Katika siasa hizi za vyama vingi Tanzania huwezi kukipuuza chama cha NCCR Mageuzi ambacho Mbatia ni mwenyekiti utakuwa hujui mfumo huu wa vyama vingi ukitaka kujua hilo tafuta maana ( kirefu) cha NCCR Mageuzi.
 
Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia (PhD) ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!
Unafikiri siasa za upizani zinaweza kufanikiwa kama watu wenyewe kama wewe??? Umekalia ushabiki tu, tunawapongeza wapizani kwa kuibua mengi tuliyokuwa hatuyajui!!!!!!
Mbatia Angekuwa kichwa chama chake kingekuwa na mbunge mmoja tu ambaye ni yeye?
Miaka 25 yuko kwenye siasa bado mbunge hajawa hata makamu wa Raisi au waziri mkuu au naibu spika?.Ni aibu.Tulia kaanza juzi tu leo naibu spika wa bunge.Yeye Mbatia miaka 25 Hajui hata unaibu spika unafananaje anangoja Tulia amwonyeshe kidole kuwa haya babu uliyekaa kwenye siasa miaka 25 chama chako kikiwa na mbunge mmoja ongea!
 
Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia (PhD) ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!
Hivi unajua yule msemaji wa chama cha kijani ana miaka mingapi kwenye siasa,elimu haingozi
 
Acha ujingaaaa na UKILAZA sasa unataka kumfananisha MBATIA na huyoo Dada Yakoo???unajua kafikajee kwenye Ichoo kiti mpaka ujidaie ivi???Are you Serious?????haaa haaa A stupid person can be seen in his speech or writings....Eti sijui we umekula maharagwee ya wapiiii au ndoo Buku 7 zinakuwashaaaa..Ukomee na nisikusikieee tenaaa kumfananisha Jembeee na kijiko.
Sijui tuwafananishe kwa kitu gani? 1. Wakiwa bungeni wote ni wabunge na mmoja ni naibu spika ambaye kiukweli ni bosi wa wabunge akiwamo mbatia 2. Nje ya bunge Tulia ni mhadhili wa chuo kikuu mama hapa nchini akiwa na shahada ya uzamivu katika sheria (Phd) wakati mbatia hakufanikiwa kumaliza shahada yake ya kwanza ya uhandisi alipotimuliwa chuo mwaka 1991. Nasikia baadaye alijisomea akapata shahada ya kwanza. Hivyo ni vigezo vinavyopimika na kuonekana kwa kila mtu.
 
Mbatia Angekuwa kichwa chama chake kingekuwa na mbunge mmoja tu ambaye ni yeye?
Miaka 25 yuko kwenye siasa bado mbunge hajawa hata makamu wa Raisi au waziri mkuu au naibu spika?.Ni aibu.Tulia kaanza juzi tu leo naibu spika wa bunge.Yeye Mbatia miaka 25 Hajui hata unaibu spika unafananaje anangoja Tulia amwonyeshe kidole kuwa haya babu uliyekaa kwenye siasa miaka 25 chama chako kikiwa na mbunge mmoja ongea!
Kuwa mpinzani nchi hii ni sawa na kuweka maisha yako rehani,muonee huruma
 
Mbatia Angekuwa kichwa chama chake kingekuwa na mbunge mmoja tu ambaye ni yeye?
Miaka 25 yuko kwenye siasa bado mbunge hajawa hata makamu wa Raisi au waziri mkuu au naibu spika?.Ni aibu.Tulia kaanza juzi tu leo naibu spika wa bunge.Yeye Mbatia miaka 25 Hajui hata unaibu spika unafananaje anangoja Tulia amwonyeshe kidole kuwa haya babu uliyekaa kwenye siasa miaka 25 chama chako kikiwa na mbunge mmoja ongea!
mbatia ni mwanasiasa hodari acheni unafiki ila njia aliyoichaguwa ni ndefu sana Tulia kapita kichochoro ila huwezi mlinganisha na Mbatia kisiasa ACHA KUWA KILAZA WW
 
I
We Taahira, Ni bora ungekaa kimya, Mbatia amekuwa mbunge mwaka 1995-2000 pia 2010-2015 na sasa 2015-2020 harafu unasema bila JK, are you serious?
Ule wa 2010- 2015 ulikuwa ni ubunge kupitia jimbo linaloitwa jakaya mrisho Kikwete (a.k.a viti maalumu kwa ridhaa ya rais)
 
"Nina miaka 25 niko kwenye siasa.Wakati tunapambana kwa ajili ya Watanzania miaka hiyo yote hatukuwahi kuwa na posho.Kipindi hicho kina Tulia walikuwa shule ya msingi"

Source: Mh Mbati, James
siasa ya chuo kikuu ya kumtukana mzee mwinyi?
 
Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia (PhD) ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!
kwa nguvu wanayotuia ccm pale waliposhindwa ulitaka awe na wabunge wangapi nccr,,au ndo mmeshasahau kina kafulila walitendewa ni nini.
 
Back
Top Bottom