Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Mwisho wa safari yake upo karibu sana maana kashindwa kujiongeza, ukibebwa shikilia sasa yeye kabebwa anajiachia mikono ina cheza tuTulia kaingizwa juzi kwenye siasa, na wala hatafika popote kwenye siasa.