stable-negro
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 509
- 347
wakuu naombeni kujuzwa ni dongle gani nzuri naweza kuitumia kuona channel znazoonyesha ligi kuu ya uingereza kwa wakati huu bila zengwe....mwaka 2013 niliwahi kuona jirani yangu aliekuwa anatumia xman g8 akifaidi sana sasa sijui kama bado utamu ule unaendelea au kuna ki2 kipya sasa hivi.
Natanguliza shukran zangu wakuu; nawasilisha....
Natanguliza shukran zangu wakuu; nawasilisha....