Dondoo za kupaa kichawi

Dondoo za kupaa kichawi

Huwa kuna msemo wa kuonyesha kuwa mtu fulani "ameshindikana" pale anapoambiwa "Aliyekuloga kisha kufa".

Je, mtu akikuloga na kisha mlozi huyo akafa kabla aliyelogwa hajapona, basi mtu huyo aliyelogwa haezi kupona tena? Kuna ukweli gani juu ya madai au dhana hii?
 
Huwa kuna msemo wa kuonyesha kuwa mtu fulani "ameshindikana" pale anapoambiwa "Aliyekuloga kisha kufa".

Je, mtu akikuloga na kisha mlozi huyo akafa kabla aliyelogwa hajapona, basi mtu huyo aliyelogwa haezi kupona tena? Kuna ukweli gani juu ya madai au dhana hii?
Kuna ukweli kwenye hilo
 
Nashangaa watu wengi wanashauku yakumjua Shetani kuliko Mungu Mwenyeenzi zote duniani na mbinguni kwenye ulimwengu wa roho na wa mwili, imeandikwa mjue sana Mungu ili uwe na Amani, sasa nashangaa watu wengi wanatamani kumjua sana Shetani bila kujua baada ya kumjua shetwani ni kitafatia maishani mwao.
 
Samahani mshana huwa mara nyingi sana. Ninaota ndoto nina paa na ndoto hizo huanza katika mazingira yaku gombana zeni ninafanikiwa kukimbia mwishowe adui akinikaribia nina pasa naomba unieleze Nini maana take
 
Samahani mshana huwa mara nyingi sana. Ninaota ndoto nina paa na ndoto hizo huanza katika mazingira yaku gombana zeni ninafanikiwa kukimbia mwishowe adui akinikaribia nina pasa naomba unieleze Nini maana take
Vita ya kiroho ila una kinga ya kimungu. ..endelea kusimama na Mungu wako watashindwa vibaya wale wabaya wako
 
Mshana vip hizo ndoto. Zinaweza kuhusiana nanyumba tunazo panga sababu kunamara ninaotandoto ninakemea mapepo mpaka sauti inakwisha then nikifanikiwa kuwanyoshea kiganja cha mkono wangu unatoka Moto mkali nakuwamaliza hususani nikitaja jina la yesu
 
Mshana vip hizo ndoto. Zinaweza kuhusiana nanyumba tunazo panga sababu kunamara ninaotandoto ninakemea mapepo mpaka sauti inakwisha then nikifanikiwa kuwanyoshea kiganja cha mkono wangu unatoka Moto mkali nakuwamaliza hususani nikitaja jina la yesu
Kuna mahusiano hasa tafuta post ya vituko/vibweka vya nyumba za kupanga utapata majibu yote huko
 
Najee hi mimi kuota ni
na wakemea na hata kuwarushia moto ninguvu gani samahani kwa maswali mengi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom