Dondoo za kupaa kichawi

Dondoo za kupaa kichawi

same tribe
1458420962935.jpg
Good...! Take this its a brotherly gift please don't ignore
It's a guardian angel wherever you are in the tight situation
 
Mshana et al, mi nilidhani, kwa mantiki, kuwa mlozi akifa ndipo yule aliyelogwa anapaswa apate nafuu ya maradhi yake kwani mlozi wake kafa!
 
Haya mambo nimesha yasiki sanaaa so niukweli katika hili haiwezekani kati yawoote nilio wasikia wakiyasema haya wadanganye woote na uwongo wao ufanane.
 
45d2d062b21c3a5298530b3493ce704c.jpg
Si kila mchawi au mshirikina ana uwezo wa kupaa...uchawi na ushirikina una level zake kama ilivyo kwenye viwango vya elimu
Mchawi anayejipendekeza kupaa bila kupata maarifa kamili hujikuta akipiga mweleka mkubwa sana kutokana na uzito wake au vinginevyo
Na huko angani kuna tufani za kila aina Usijaribu kupitisha helicopter yako kwenye anga la Boeing hutafika safari yako
Lakini pia kwenye kupaa kuna mahesabu yake...kwamba utapaa upande gani na umbali gani na urefu gani.kwamba kama unaenda Lamu kwa mwendo wa kawaida pengine ni masaa matatu hivi lakini wewe unataka kwenda kwa sekunde tatu tuu inabidi ujigawe roho na mwili yani unacheza kamari na Mungu
Kwahiyo unautanguliza mwili kwanza kisha ndio roho hufuata...vikishafika vyote salama huungana tena na kuwa binadamu kamili na kuendelea na mambo yake
Duh!!! Kweli elimu haina mwisho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom