Dondoo za kupaa kichawi

Dondoo za kupaa kichawi

Mchawi ana uwezo wa kukibadilisha kitu?
Yaani mfano kitu fulani kibadilike na kuwa kitu kingine
 
Kulikuwa na katazo la wachawi kutopaa zaidi ya Mita 150 nchini Swaziland, na wachawi walilalamika wakisema watairoga serikali, sijui iliishia wapi ile issue.

Witches can’t fly brooms above 150 meters in Swaziland
0124d74978e751255753d6bb5d8eb9da.jpg
don't drink n fly
a235e1c77e457364caa71143b1ded02c.jpg
a12a4dbd7fb87252a39c88338c4b7f0c.jpg
ec5c917c78f0da07a323f4e640491e38.jpg
fantasy flying
 
Mshana somo hili linatundisha nini kaka?, si ulishastaafu!? napenda nimeet na wewe siku 1 kwani inaonyesha una nondo za kutosha kuhusu ulimwengu usionekana.
Nimejiuliza hilo swali hata mie! mana naona imekua kama tangazo linalowavutia wengine humo wakati mtoa tangazo anasema kastaafu. SIJAONA FAIDA NA HASARA ZAKE. MLETA MADA ANGEJARIBU KUTUELEZA KWA NINI HAO WANAOTUMIA USAFIRI HUO WASIBEBE ABIRIA WAKAPATA PESA. AU ni matajiri! Vitu kama hivi kama vinaendeshwa kwa uficho lazima MADHARA yake ni MAKUBWA kuliko upeo wa kufikiri kwako nashangaa mnaotaka kujitumbukiza kichwa kichwa kwa matangazo rahisi
 
mbona kina Harry Potter walikua wanachomoka tu.......au wa kizungu ni tofauti nini
 
unaona fahali kutuletea mada za kichawi mara kwa mara,

lengo lako nini?
unapata faida gani?

hata hivyo inaonekana wewe ni mutumishi mwaminifu wa huyo unayemtumikia, hakika hutakosa kupokea ujira stahiki wa kazi yako.
 
Kupaa kwa ungo huo ni usafiri wa wengi kama daladala na ni usafiri wa kimaskini
Kupaa kwa fimbo huu ni advanced na usafiri binafsi sana sana unaweza kumpa lift mtu mmoja na hapa kuna majini yanahusika
Kusafiri kiroho hii ni level ya juu kabisa ambako kwenye uchawi huu huu hakuna time limit wala umbali yani ni kama dunia iko kiganjani mwako na ni kiasi cha kujisogeza tuu
21cf706ec1d2e72aca86101e1e520f37.jpg
kwahiyo hapo jamaa amepaki??😀😀😀
 
Sijaelewa wachawi Wa kizungu wanasafir na Nguo wakiafrika wanasafiri uchi kwa nn
 
Wewe mshana utakuwa ni bonge LA mwangaaaaaa... Yaani kama we ndo Rafiki yangu tutaishia kupiga story tu!!! Kwangu hutapaju aiseee
 
Duh wewe jamaa am sure hata kama haufanyi inatakuwa ulisawahi kufanya sasa mambo kama haya ya kishirikina unayajuaje hebu type source
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom