Hero
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 3,932
- 2,832
Hapana, vyeti having shida, labda walipeleka jina kimakosa Kuwa ni mtia Nia!Vyeti feki ivyo mkuu wamekunyaka
Hapana, vyeti having shida, labda walipeleka jina kimakosa Kuwa ni mtia Nia!Vyeti feki ivyo mkuu wamekunyaka
Miaka3.
Laki 3 na 70!Sh ngap huwa unalipwa?
Ndio wewe mkuu Don Nalimison? karibu sana TandahimbaWakati Watumishi wote
Wamepokea Mishahara yao tangu Jana ijumaa. Mimi Mpaka Leo sijapata. Hii ni dharau kubwa sana kwa Taifa maana sijawahi kupewa barua ya kufukuzwa kazi au kusimamishwa kazi. Tunaongoza Nchi kwa kutumia meno ya mabua. Wapinzani chukieni Nchi yenu CCM na IKULU yao imeshindwa kazi.
Kwa ujinga huu Jumatatu nitaandika barua ya kuacha kazi Utumishi wa Umma (SERIKALINI) ndani ya saa 48, kuelekea Halmashauri ya Jiji la Mwanza. #DON NALIMISON(Deo Kisandu wa zamani). Namsinifatilie kwenye mipango yangu.
Ndimi:
DON NALIMISON.
View attachment 1516515
Aaah kumbe ndiye wewe huyu? Ndiyo maana una taahira ya akili, hicho kichwa kilivyo-protrude kuna ubongo umefinyangwafinyangwa humo! Jitahidi uende MOI warekebishe hiyo mifupa ya fuvu!Wakati Watumishi wote
Wamepokea Mishahara yao tangu Jana ijumaa. Mimi Mpaka Leo sijapata. Hii ni dharau kubwa sana kwa Taifa maana sijawahi kupewa barua ya kufukuzwa kazi au kusimamishwa kazi. Tunaongoza Nchi kwa kutumia meno ya mabua. Wapinzani chukieni Nchi yenu CCM na IKULU yao imeshindwa kazi.
Kwa ujinga huu Jumatatu nitaandika barua ya kuacha kazi Utumishi wa Umma (SERIKALINI) ndani ya saa 48, kuelekea Halmashauri ya Jiji la Mwanza. #DON NALIMISON(Deo Kisandu wa zamani). Namsinifatilie kwenye mipango yangu.
Ndimi:
DON NALIMISON.
View attachment 1516515
Gereza sio kaburi
Ndio wewe mkuu Don Nalimison? karibu sana Tandahimba
Aaah kumbe ndiye wewe huyu? Ndiyo maana una taahira ya akili, hicho kichwa kilivyo-protrude kuna ubongo umefinyangwafinyangwa humo! Jitahidi uende MOI warekebishe hiyo mifupa ya fuvu!
Sawa sawa mwamba endelea kuinyoosha serikali! Ila kwa nini mwamba hujatia nia kule Ushetu ukamtoe Mh . Kwandikwa?Nitaenda Marekani kwa Serikali yenye akili.
Sawa sawa mwamba endelea kuinyoosha serikali! Ila kwa nini mwamba hujatia nia kule Ushetu ukamtoe Mh . Kwandikwa?
Don ulinitia wapi safari hii?
Tusaidie na wengine kwa kumalizia uandishi wa ile Doguma yako. Tunaisubiri kwa hamu ili itupe mtazamo mbadala.Wewe naye bwege. Mimi ni abudu li YESU libinadamu jenzangu.
Hicho kichwa kilivyokaa inaonyesha ubongo ndiyo basi tena. Mkuu unatia huruma sana.Wakati Watumishi wote
Wamepokea Mishahara yao tangu Jana ijumaa. Mimi Mpaka Leo sijapata. Hii ni dharau kubwa sana kwa Taifa maana sijawahi kupewa barua ya kufukuzwa kazi au kusimamishwa kazi. Tunaongoza Nchi kwa kutumia meno ya mabua. Wapinzani chukieni Nchi yenu CCM na IKULU yao imeshindwa kazi.
Kwa ujinga huu Jumatatu nitaandika barua ya kuacha kazi Utumishi wa Umma (SERIKALINI) ndani ya saa 48, kuelekea Halmashauri ya Jiji la Mwanza. #DON NALIMISON(Deo Kisandu wa zamani). Namsinifatilie kwenye mipango yangu.
Ndimi:
DON NALIMISON.
View attachment 1516515
Kwahiyo ulitia nia siyo?Hapana, vyeti having shida, labda walipeleka jina kimakosa Kuwa ni mtia Nia!