Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,334
- Thread starter
- #81
Wataisoma namba Kama li Chama lao linavyojinadi.
Uligombea?Hauko serious ww, Kila kitu unakihusisha na siasa tu! Mimi ni ccm damu damu lakini sikupata pia mshahara, na hivyo kwa masikitiko makubwa sana serikali yangu na nchi yangu imekosa P.AY.E, Kodi nayokatwa kuchangia taifa langu Kila napolipwa mshahara!
Hivyo mleta maada acha kubwabwacha, wengine tuna hasira kwa kushindwa kulipa Kodi (PAYE) kwa akili ya kuipaisha nchi yetu kwenye uchumi wa juu kabisa ebo!
Kichwa chako kimejaa kamasi tu. PoleWewe naye bwege. Mimi ni abudu li YESU libinadamu jenzangu.
Nenda tu kazini, hadi upate barua yako
Kichwa chako kimejaa kamasi tu. Pole
Amekwambia ana watoto?Watoto wako wanajua unachokifanya humu JF?
Kabisa... Nashanga watu Wana chukulia poaJamaa yupo vizuri, kuanzia CDM alifanya vizuri, akahamia NCCR, napo alifanya vizuri hadi akawa mwenezi wa umoja wa vijana. Then baada ya hapo sijui nini kilimtokea, maana alipoenda Mwanza kufundisha ndio kuna mambo flani flani yakaonekana hayaendi poa kwake. Ila yupo vizuri huyu jamaa, siyo wa kumchukulia poa.
Jamaa yupo vizuri, kuanzia CDM alifanya vizuri, akahamia NCCR, napo alifanya vizuri hadi akawa mwenezi wa umoja wa vijana. Then baada ya hapo sijui nini kilimtokea, maana alipoenda Mwanza kufundisha ndio kuna mambo flani flani yakaonekana hayaendi poa kwake. Ila yupo vizuri huyu jamaa, siyo wa kumchukulia poa.
Nope!Uligombea?
😀😀Mwanangu una kasura ka private.
Keep it up.
Ahaaah ahaaah wewe umemaliza . Nilitaka niandike kitu, Ila wewe umegonga msumali wa mwisho Kwenye jeneza.Nimeangalia muundo wa kichwa chako nimegundua sio mzima huo mbonyeo wa kichwa ndio unaoleta hitilafu.
Moja ya watu ninaowakubali sana kwa kujiamini kwake ni huyu mwamba. Nitapenda kuonana naye. Mungu ambariki Don.Dah ila Chief wewe ni mtata balaa! I like your spirit sana!