RODRIGUEZ NORIEGA DUERTET
Member
- Mar 26, 2018
- 72
- 59
Mimi nachojua mfanyakazi wa umma au private akipandishwa mahakamani na ikathibitika alitenda na akahukumiwa,hiyo ni tayari ameshajifukuzisha kaziKuna uzi hapa aliuweka haya ndio makosa aliyoshtakiwa nayo Don Nalimison nikiyaandika hapa ntapigwa life ban Kama ile Malaria Sugu alipigwa mwaka 2009
Tindikali pitia uzi huu.
Mashitaka yaliyosababisha Don Nalimison kufungwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza ni haya