Kuna uzi hapa aliuweka haya ndio makosa aliyoshtakiwa nayo Don Nalimison nikiyaandika hapa ntapigwa life ban Kama ile Malaria Sugu alipigwa mwaka 2009Ukiwa na watu wengi wasioiogopa serikali namna hii, nchi lazima itapiga maendeleo, hata kama wataonekana ni vichaa...
Anyhow, Don Nomlison, kwani ulifungwa jela muda gani?
Why this hate?! Unapata faida gani??Tulikuwa tunaandaa ya kukufukuza hata usiandike, maana lazima tukufukuze
Wewe ukiwa Kama mtumishi wa umma unapaswa kutii mamlaka na kufwata sheria za utumishi wa umma zilizoko pia kwenye standing order Magufuli ana mapungufu yake ila kwa mwenendo wako nakusihi ufwatae sheria na taratibu za utumishi pamoja na utii kwa rais ambae ndio boss mkuu wa waajiriwa wote ndani ya jamhuri ya muungano wa Tanzania .Siambatanishi chochoteeee na waletea barua kavu tu.
Kila siku uonewe wewe tu??????
Kutakuwa na tatizo mahali
Mamlaka ya halmashauri naisihi Sana ikuchukulie kwa jicho la huruma na upole Magufuli ni binadamu na ana huruma mamlaka yake inaweza hata isikusumbue Ila walio chini wakakutingisha kulinda vibarua vyao.
Wewe ukiwa Kama mtumishi wa umma unapaswa kutii mamlaka na kufwata sheria za utumishi wa umma zilizoko pia kwenye standing order Magufuli ana mapungufu yake ila kwa mwenendo wako nakusihi ufwatae sheria na taratibu za utumishi pamoja na utii kwa rais ambae ndio boss mkuu wa waajiriwa wote ndani ya jamhuri ya muungano wa Tanzania .
jamaa ni usalama
Gereza sio kaburiWakati Watumishi wote
Wamepokea Mishahara yao tangu Jana ijumaa. Mimi Mpaka Leo sijapata. Hii ni dharau kubwa sana kwa Taifa maana sijawahi kupewa barua ya kufukuzwa kazi au kusimamishwa kazi. Tunaongoza Nchi kwa kutumia meno ya mabua. Wapinzani chukieni Nchi yenu CCM na IKULU yao imeshindwa kazi.
Kwa ujinga huu Jumatatu nitaandika barua ya kuacha kazi Utumishi wa Umma (SERIKALINI) ndani ya saa 48, kuelekea Halmashauri ya Jiji la Mwanza. #DON NALIMISON(Deo Kisandu wa zamani). Namsinifatilie kwenye mipango yangu.
Ndimi:
DON NALIMISON.
View attachment 1516515
Deo,Hivi huyo afsa utumishi/Mkurugenzi hajagundua Kama unahitaji matibabu!? Mwezi umeandama leo ni sehemu ya wiki ya kwanza!
Pole mkuu.
Laana ya kuacha upadre ni mbaya
Hauko serious ww, Kila kitu unakihusisha na siasa tu! Mimi ni ccm damu damu lakini sikupata pia mshahara, na hivyo kwa masikitiko makubwa sana serikali yangu na nchi yangu imekosa P.AY.E, Kodi nayokatwa kuchangia taifa langu Kila napolipwa mshahara!Wakati Watumishi wote
Wamepokea Mishahara yao tangu Jana ijumaa. Mimi Mpaka Leo sijapata. Hii ni dharau kubwa sana kwa Taifa maana sijawahi kupewa barua ya kufukuzwa kazi au kusimamishwa kazi. Tunaongoza Nchi kwa kutumia meno ya mabua. Wapinzani chukieni Nchi yenu CCM na IKULU yao imeshindwa kazi.
Kwa ujinga huu Jumatatu nitaandika barua ya kuacha kazi Utumishi wa Umma (SERIKALINI) ndani ya saa 48, kuelekea Halmashauri ya Jiji la Mwanza. #DON NALIMISON(Deo Kisandu wa zamani). Namsinifatilie kwenye mipango yangu.
Ndimi:
DON NALIMISON.
View attachment 1516515
Vyeti feki ivyo mkuu wamekunyakaHauko serious ww, Kila kitu unakihusisha na siasa tu! Mimi ni ccm damu damu lakini sikupata pia mshahara, na hivyo kwa masikitiko makubwa sana serikali yangu na nchi yangu imekosa P.AY.E, Kodi nayokatwa kuchangia taifa langu Kila napolipwa mshahara!
Hivyo mleta maada acha kubwabwacha, wengine tuna hasira kwa kushindwa kulipa Kodi (PAYE) kwa akili ya kuipaisha nchi yetu kwenye uchumi wa juu kabisa ebo!
Nimeangalia muundo wa kichwa chako nimegundua sio mzima huo mbonyeo wa kichwa ndio unaoleta hitilafu.Wakati Watumishi wote
Wamepokea Mishahara yao tangu Jana ijumaa. Mimi Mpaka Leo sijapata. Hii ni dharau kubwa sana kwa Taifa maana sijawahi kupewa barua ya kufukuzwa kazi au kusimamishwa kazi. Tunaongoza Nchi kwa kutumia meno ya mabua. Wapinzani chukieni Nchi yenu CCM na IKULU yao imeshindwa kazi.
Kwa ujinga huu Jumatatu nitaandika barua ya kuacha kazi Utumishi wa Umma (SERIKALINI) ndani ya saa 48, kuelekea Halmashauri ya Jiji la Mwanza. #DON NALIMISON(Deo Kisandu wa zamani). Namsinifatilie kwenye mipango yangu.
Ndimi:
DON NALIMISON.
View attachment 1516515