Dokezo kuhusu Dini ya Uislam

Wewe unaonekana ni mdhaifu sana, wewe hufai kwenda mafunzo cabo delgado
Kwa hiyo umekuja kuwabembeleza hawa machoko na huyo choko wao wanamwita yesu na ambae wanaamini ni Mungu
Huyo sio Issa tunaemelewa, Issa sio Mungu na wala dini yake haikuwa na machoko
Kama unataka kufanya maombi nao nenda wafate kanisani,
 

Kisai unautengashe Uislam na Waarabu .wakat kila ukisali unabong'oa kuelekea kaaba.

Eti ni lazima kuabudu kuelekea pale. Kwenye jiwe jeusi (kimondo).
 
Unajibu kujifurahusha na vistori vya kichoko
Leta ushahidi
Mimi nikisema wakristo wanaongoza kwa ushoga na kufirana mpaka wachungaji machoko wanaoana Kanisani sikurupuki
Nitajaza mada nzima ya ndoa za machoko wa kigalatia mpaka wachungaji wenu
Wakati afande Rama amefirwa na hadi alipelekwa mahakamani na kesi alishinda ulikuwa hujazaliwa!?
 
Mathayo 28:19

Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.”

Umeelewa wewe mpuuzi sasa?
Ila waislam reasoning zao🤣🤣🤣🤣🤣🚮
 
Wewe choko huwa unaogopa battle unazungukazunguka
Unaenda kuokota uchoko huu mitandaoni unajiona unajua kutema upupu
Kwa hiyo mnakataa sasa kufirana kama papa anavyosema hamjui kuwa ushoga ni utamaduni wa waliwaletea huu uchoko mnauita ukristo
Na huyu anaitwa Kit Cinningham padre alifira sana ambao labda ndio baba zenu au babu zenu leo hii miaka ya ukoloni wakati wanawaletea huu uchoko

 
We ndio una uchungu sana na uislam? Labda kama we ni mwarabu hapo sawa, ila kama we ni mmatumbi ujue unatetea kitu usichokijua. Uislam una wenyewe, sio wewe mmatumbi wa madongokuinama
Matayo 15:24 - Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli, mbona na sisi tumo wakati unamkataza mwenziyo yeye haumuhusu uislamu kwa kuwa mmatumbi?
 
Kweli humu kumejaa mbulula
Yaani ynaleta vipicha vya twita, kwanza hapa unaonekana wewe ni mlugaluga wa maporini, kila unachoona mtandaoni unaamini ni cha kweli.
MImi nakuletea ushahidi padre waliowaletea huu uchoko wa kigalatia walifira sana wazazi wenu, na huyu ni mmoja kapatikana ina maana kuna wengi sana wamefirwa
Ndio maana siwapingi waislamu wa miaka ile kukataa kwenda kusoma shule za misheni, walijua wazungu wanawafira wale watoto wa kikikristo

 

Ukibishana na mpumbavu . Watu wataona wote ni wapumbavu.

Battle ya matusi siwez kufanya.

Ww unajua matusi. Mm nakupa vitu ambavyo ww hujui.

Naomba nitafutie aya ya Quran inayowaamuru mzunguke lile jiwe jeusi mara 7.

Wapagan wa kikuresh walikuwa wanazunguka miungu yao 360 mara 7.
Nyinyi baadae sana Mkawaonea wivu mkapiga vita na kushinda . Na mkawa mnazunguka nyinyi.
 
Kwani sasaivi huko allah anakula?
Malaika wanakula au wanafanya nini?

Mizagamuo ni kwaajili ya lengo la uongezekaji wa viumbe wengne
Kwani huko kwa allah wamesema wanataka viumbe wengne waongezeke?
Huoni haya ni mambo ya kibinadamu?
😀
 
Matayo 15:24 - Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli, mbona na sisi tumo wakati unamkataza mwenziyo yeye haumuhusu uislamu kwa kuwa mmatumbi?

Alianza na wana wa Israel na baadae kwa watu wa mataifa yote.

Mathayo 28:18–20
18 Yesu akaja, akawaambia: “Nimepewa nguvu zote mbinguni na duniani.”

19 Kwa hiyo nendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabaptiza kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu,

20 na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.
 
Dini zote ni uongo.

Uislamu ni uongo.

Ukristo ni uongo.

Allah hayupo.

Yesu hayupo.

Mungu hayupo.

Shetani hayupo.
 
Hata mimi nimemsoma huyo jamaa ni mpumbavu..ametaka ushahidi nimempa ila ananitukana mimi.
 
Kwahiyo kama Ukristo ni upotevu tusiwaambie ? Hili halibadilishi chochote hata tukikaa kimya.

Ukristo ni UKAFIRI na ni UPOTEVU, akubali atakaye kubali na achukiye atakaye chukia.
Thibitisha kama ni upotevu
Vipi kama wewe ndio umepotea?
 
Mimi naishia hapa afande Rama wa Zanzibar ni shoga na mtoto wa bi msumi ni shoga pia hao ni waislamu wenzenu kama hutaki basi
 
We ndio una uchungu sana na uislam? Labda kama we ni mwarabu hapo sawa, ila kama we ni mmatumbi ujue unatetea kitu usichokijua. Uislam una wenyewe, sio wewe mmatumbi wa madongokuinama
Mimi Mwarabu, lakini Uislam sio kwaajili ya Waarabu peke yake. Mweusi anaweza kuwa Muislam na Mwarabu anaweza kuwa Kafiri kama wewe
 

Aliyekuja na vitisho na kutukana watu ni huyu Jessy

1. Wasioamini (wasio Waisraeli) wameitwa mbwa na nguruwe. (Mathayo 7:6).

2. Aliwaita watu wabaya: ”Enyi wazao wa nyoka” (Mathayo 12:34).

3. Mayahudi waliitwa: “Kizazi cha zinaa.” (Mathayo 12:40,, 16:4).

4. Mayahudi waliitwa “Wazinifu na wakosefu.” (Marko 8:38).

5. “Ole wenu waandishi na wafarisayo, wanafiki,” (Mathayo 23:16).

6. “Ole wenu viongozi vipofu.” (Mathayo 23:16).

7. “Enyi nyoka, wana wa majoka” (Mathayo 23:33).

8. “Watu wengine waliitwa mbwa.” (Mathayo 15:27).

9. Aliwaita manabii wenzake: “wote walionitangulia ni wevi na wanyang'anyi.” (Yohana 10:8).

10. Aliwaita wanafunzi wake: ”Enyi kizazi kisicho amini, kilichopotoka.” (Mathayo 17:17).

11. Akamwambia Petro “Nenda nyuma yangu Shetani.” (Mathayo 16:23).

12. Akamwambia mama yake: “Ewe mwanamke nina nini nawe? (Yohana 2:4).

13. Akasema mama yangu ni nani na ndugu zangu ni akina nani? (Mathayo 12:48).

14. Siku ya Kiyama atawaita wahubiri Wakristo: “Nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi mtendao
maovu.” (Mathayo 7:23).
 
Mathayo 28:19

Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.”

Umeelewa wewe mpuuzi sasa?
Ila waislam reasoning zao🤣🤣🤣🤣🤣🚮
Aya hiyo ni ya kuongezwa , fake, Yesu hakusema maneno hayo , ukitaka ushahidi nitakuletea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…