KUKU PORI
Member
- Nov 18, 2013
- 93
- 40
Siasa za vyama vya upinzani Mara nyingi vinaongozwa na kutengenezwa na dola
Yanayotokea sasa ni kawaida tu dola inahamisha nguvu toka CHADEMA inapeleka chama kingine
2020-2025 kutakuwa na mseto wa kambi rasmi
Sent using Jamii Forums mobile app
Yanayotokea sasa ni kawaida tu dola inahamisha nguvu toka CHADEMA inapeleka chama kingine
2020-2025 kutakuwa na mseto wa kambi rasmi
Sent using Jamii Forums mobile app