Dokezo Jipya: Baada ya Bunge kuvunjwa kuna mafuriko ya wana CHADEMA wanahamia NCCR Mageuzi

Siasa za vyama vya upinzani Mara nyingi vinaongozwa na kutengenezwa na dola

Yanayotokea sasa ni kawaida tu dola inahamisha nguvu toka CHADEMA inapeleka chama kingine

2020-2025 kutakuwa na mseto wa kambi rasmi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom