Wazolee
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 3,926
- 4,523
- Thread starter
- #81
Kuhukumu viumbe siku ya hukumu ni kazi ya Mungu pekeeKumbuka pia nilisema Kuhukumu.
Kitu ambacho mohamed kamwe hawez kufanya.
Kitu ambacho Mungu pekee anafanya.
Siku ya hukumu Yesu atawekwa kizimbani hatoingia peponi mpaka ajibu maswali ya Allah
Na hizi DOGMA zenu ndio zitakazo mchelewasha Yesu kuingia peponi
Hatoingia peponi Hadi atamke mbele yenu nyinyi wagalatia kuwa yeye hata siku Moja hajawahi kusema kuwa Yeye ni Mungu
Quran 5:116
Na pale Mwenyezi Mungu atakapo sema: Ewe Isa bin Maryamu! Ati wewe uliwaambia watu: Nifanyeni mimi na mama yangu kuwa ni miungu badala ya Mwenyezi Mungu? (Na Isa) atasema: Subhanaka, Wewe umetakasika! Hainifalii mimi kusema ambayo si haki yangu. Ikiwa nilisema basi bila ya shaka umekwisha yajua. Wewe unayajua yaliyo ndani ya nafsi yangu, lakini mimi siyajui yaliyo katika nafsi yako. Hakika Wewe ndiye Mjuzi mkubwa wa yaliyo fichikana.