DOGMA ndio msingi wa dini ya ukristo

DOGMA ndio msingi wa dini ya ukristo

Walikuwa walevi kipindi gani ? Hii ndio hoja ya msingi.

Unatakiwa uunganishe hoja yako na maandiko pamoja na uhalisia ili ilete maana, kinyume chake inakuwa unaruka ruka na kukosa hoja kama hivi.
Mlevi mlevi tu ,watu walikuwa wanakunywa pombe Kisha wanaandika Quran

Qur’an, An-Nahl 16:67 → “Na kutokana na matunda ya mitende na mizabibu mnatengeneza kileo (pombe) na riziki nzuri…”

👉 Hapa pombe inatajwa kama riziki. Inaonyesha wazi maswahaba na Waislamu wa mwanzo walikuwa wakinywa pombe bila tatizo.
 
Hazija mshinda, Allah ameepukana na sifa ya udhaifu. Hakutaka kuzilinda sababu alikadiria ya kuwa muda wake ukiisha ni basi.

Ndio maana Leo hukuti matini ya Injili Wala Taurati Wala Zaburi.
🤣🤣🤣Eti hazijamshinda 🤣🤣

Mbona matini halisi ya Quran pia haipo ?

Au hujui hili
 
Niache kuwaamini manabii kuanzia Musa, Mzee yakobo ,Daudi, waliotabiri kufa na kufufuka kwa Yesu Tena kwa usahihi mkubwa nije NIMUAMINI tapeli Muhammad 😂


Niache kumuamini Daniel ambaye alitabiri EXACTLY Hadi mwaka atakaokufa Yesu ,NIMUAMINI tapeli Muhammad 😂


Hivi Unajua msomi wa biblia akiona VITUKO vya muhamad kuwa Yesu hakufa anacheka na anahitimisha Quran ni kitabu cha Shetani

Biblia imejaa unabii wa Yesu kufa na kufufuka zaidi ya nabii 300

Ni mpumbavu pekee ANAYEWEZA KUMUAMINI MUHAMAD

Quran 4:157
Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa, mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu, bali walifananishiwa tu. Na hakika walio khitalifiana katika haya wamo katika shaka nayo. Wao hawana ujuzi nayo wowote, ila ni kufuata dhana tu. Wala hawakumuuwa kwa yakini.

Quran inasema ukimsikia mtu anasema Yesu alisurubiwa ujue huyo amedanganywa na katika hao waliodanganywa ndio pamoja na wewe

MARIKO ANASEMA SAA TATU YESU YUPO MSALABANI ANASURUBUWA
Marko 15:25

Basi ilikuwa saa tatu, nao wakamsulibisha.
Marko 15:26

Palikuwa na anwani ya mashitaka yake iliyoandikwa juu, MFALME WA WAYAHUDI.

YOHANA ANASEMA SAA SITA YESU ALIKUWA MAHAKAMANI
Yohana 19:13

Basi Pilato, aliposikia maneno hayo, akamleta Yesu nje, akaketi juu ya kiti cha hukumu, mahali paitwapo Sakafu ya Mawe, au kwa Kiebrania, Gabatha.
Yohana 19:14
Nayo ilikuwa Maandalio ya pasaka, yapata saa sita. Akawaambia Wayahudi, Tazama, Mfalme wenu!

Haya niambie
Ni Yesu gani saa tatu yupo msalabani ?

Na Yesu gani saa sita yupo mahakamani?
 
Quran 4:157
Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa, mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu, bali walifananishiwa tu. Na hakika walio khitalifiana katika haya wamo katika shaka nayo. Wao hawana ujuzi nayo wowote, ila ni kufuata dhana tu. Wala hawakumuuwa kwa yakini.

Quran inasema ukimsikia mtu anasema Yesu alisurubiwa ujue huyo amedanganywa na katika hao waliodanganywa ndio pamoja na wewe

MARIKO ANASEMA SAA TATU YESU YUPO MSALABANI ANASURUBUWA
Marko 15:25

Basi ilikuwa saa tatu, nao wakamsulibisha.
Marko 15:26

Palikuwa na anwani ya mashitaka yake iliyoandikwa juu, MFALME WA WAYAHUDI.

YOHANA ANASEMA SAA SITA YESU ALIKUWA MAHAKAMANI
Yohana 19:13

Basi Pilato, aliposikia maneno hayo, akamleta Yesu nje, akaketi juu ya kiti cha hukumu, mahali paitwapo Sakafu ya Mawe, au kwa Kiebrania, Gabatha.
Yohana 19:14
Nayo ilikuwa Maandalio ya pasaka, yapata saa sita. Akawaambia Wayahudi, Tazama, Mfalme wenu!

Haya niambie
Ni Yesu gani saa tatu yupo msalabani ?

Na Yesu gani saa sita yupo mahakamani?
Tatizo waislamu hamtaki kwenda shule ,hamtaki kusoma historia,hamtaki kujua tamaduni za waarabu,warumi, n.k walikuwaje katika ibada ,kuhesabu majira ,n.k

Binafsi nitakutumia kama ubao kufundishia ,ili waislamu wenzako wajue na wampokee Yesu.

Unachokisema kinaonyesha upotoshaji wa wazi wa maandiko.

Hakuna mkanganyiko wowote kati ya Marko na Yohana, bali wewe unachanganya namna Wayahudi na Warumi walivyohesabu muda.

Katika Injili ya Marko, muda unahesabiwa kwa mfumo wa Kiyahudi ambapo saa tatu asubuhi (yaani takribani saa 9:00 za leo) Yesu alikuwa tayari amesulubiwa.

Lakini Yohana alitumia mfumo wa Kirumi wa kuhesabu muda kuanzia saa sita usiku, hivyo “saa sita” anayoitaja ilikuwa asubuhi (takribani saa 6:00 za leo) wakati Yesu alikuwa bado mahakamani.

Hii inamaanisha matukio mawili haya hayapingani, bali yanaonyesha hatua tofauti kabla na baada ya kusulubiwa. Hivyo, mtu anayesema kuna Yesu wawili tofauti au anadai kuna mkanganyiko, anakosea kwa sababu hajui tofauti za namna muda ulivyokuwa unahesabiwa katika tamaduni hizo mbili.

Biblia haina mkanganyiko; upotoshaji unatokana na kutotaka kuelewa muktadha wa kihistoria na kijiografia wa maandiko.
 
Tatizo waislamu hamtaki kwenda shule ,hamtaki kusoma historia,hamtaki kujua tamaduni za waarabu,warumi, n.k walikuwaje katika ibada ,kuhesabu majira ,n.k

Binafsi nitakutumia kama ubao kufundishia ,ili waislamu wenzako wajue na wampokee Yesu.

Unachokisema kinaonyesha upotoshaji wa wazi wa maandiko.

Hakuna mkanganyiko wowote kati ya Marko na Yohana, bali wewe unachanganya namna Wayahudi na Warumi walivyohesabu muda.

Katika Injili ya Marko, muda unahesabiwa kwa mfumo wa Kiyahudi ambapo saa tatu asubuhi (yaani takribani saa 9:00 za leo) Yesu alikuwa tayari amesulubiwa.

Lakini Yohana alitumia mfumo wa Kirumi wa kuhesabu muda kuanzia saa sita usiku, hivyo “saa sita” anayoitaja ilikuwa asubuhi (takribani saa 6:00 za leo) wakati Yesu alikuwa bado mahakamani.

Hii inamaanisha matukio mawili haya hayapingani, bali yanaonyesha hatua tofauti kabla na baada ya kusulubiwa. Hivyo, mtu anayesema kuna Yesu wawili tofauti au anadai kuna mkanganyiko, anakosea kwa sababu hajui tofauti za namna muda ulivyokuwa unahesabiwa katika tamaduni hizo mbili.

Biblia haina mkanganyiko; upotoshaji unatokana na kutotaka kuelewa muktadha wa kihistoria na kijiografia wa maandiko.
Katika Marko 15:25 tunasoma:

Swahili Union Version (SUV): “Basi ilikuwa saa tatu, nao wakamsulibisha.”
English Standard Version (ESV): “And it was the third hour when they crucified him.”

Hapa “saa tatu” ni mfumo wa Kiyahudi wa kuhesabu muda kuanzia saa kumi na mbili alfajiri, hivyo ni takribani saa 9:00 asubuhi.

Kisha katika Yohana 19:14 tunasoma:

Swahili Union Version (SUV): “Nayo ilikuwa maandalio ya Pasaka, yapata saa sita. Akawaambia Wayahudi, Tazama, Mfalme wenu!”
New International Version (NIV): “It was the day of Preparation of the Passover; it was about noon. ‘Here is your king,’ Pilate said to the Jews.”

Hapa Yohana anatumia mfumo wa Kirumi wa muda (ambao unaanza saa 12 usiku), kwa hiyo “saa sita” inamaanisha ni karibu saa 6:00 asubuhi, kabla ya kusulubiwa. Ndiyo maana tafsiri za Kiingereza kama NIV husema “about noon” kwa sababu zinaleta tafsiri ya mfumo wa Kirumi.

Kwa hiyo hakuna Yesu wawili tofauti, wala mkanganyiko wowote. Marko anaeleza saa Yesu alipokuwa msalabani kwa kuhesabu muda wa Kiyahudi, Yohana anaeleza muda Yesu alipokuwa bado mahakamani kwa kuhesabu muda wa Kirumi. Ukiona mtu anadai kuna mkanganyiko, jua huyo hajui tofauti ya namna muda ulivyokuwa unahesabiwa. Biblia inakubaliana yenyewe, upotoshaji unatokana na kutokuelewa muktadha wa maandiko.
 
Quran 4:157
Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa, mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu, bali walifananishiwa tu. Na hakika walio khitalifiana katika haya wamo katika shaka nayo. Wao hawana ujuzi nayo wowote, ila ni kufuata dhana tu. Wala hawakumuuwa kwa yakini.

Quran inasema ukimsikia mtu anasema Yesu alisurubiwa ujue huyo amedanganywa na katika hao waliodanganywa ndio pamoja na wewe

MARIKO ANASEMA SAA TATU YESU YUPO MSALABANI ANASURUBUWA
Marko 15:25

Basi ilikuwa saa tatu, nao wakamsulibisha.
Marko 15:26

Palikuwa na anwani ya mashitaka yake iliyoandikwa juu, MFALME WA WAYAHUDI.

YOHANA ANASEMA SAA SITA YESU ALIKUWA MAHAKAMANI
Yohana 19:13

Basi Pilato, aliposikia maneno hayo, akamleta Yesu nje, akaketi juu ya kiti cha hukumu, mahali paitwapo Sakafu ya Mawe, au kwa Kiebrania, Gabatha.
Yohana 19:14
Nayo ilikuwa Maandalio ya pasaka, yapata saa sita. Akawaambia Wayahudi, Tazama, Mfalme wenu!

Haya niambie
Ni Yesu gani saa tatu yupo msalabani ?

Na Yesu gani saa sita yupo mahakamani?
Nakujibu Tena maana waislamu mlishadanganywa na Mudy ,hivo mshakuwa brainwashed,

Nitakufundisha kama mtoto mdogo ,na baada ya hapo niambie unataka kubatizwa lini umpokee Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa MAISHA yako

✅ Hoja ya kwanza: Marko 15:25
SUV (Swahili Union Version)

“Basi ilikuwa saa tatu, nao wakamsulibisha.”


ESV (English Standard
Version): “And it was the third hour when they crucified him.”

Hapa Marko anatumia mfumo wa Kiyahudi wa muda, unaoanza kuhesabu kuanzia saa 12 alfajiri. “Saa tatu” = takribani saa 9:00 asubuhi.

Hii inamaanisha Yesu alishasulubiwa muda huo.

✅ Hoja ya pili: Yohana 19:14
SUV:

Nayo ilikuwa maandalio ya Pasaka, yapata saa sita. Akawaambia Wayahudi, Tazama, Mfalme wenu!”

NIV (New International Version)
: “It was the day of Preparation of the Passover; it was about noon. ‘Here is your king,’ Pilate said to the Jews.”

Yohana anatofautiana na Marko kwa sababu alikuwa anatumia mfumo wa Kirumi wa muda. Kwa Warumi saa zilianza kuhesabiwa kuanzia saa 12 usiku. Hivyo “saa sita” = takribani saa 6:00 asubuhi, kabla Yesu hajapelekwa kusulubiwa. Ndiyo maana tafsiri za Kiingereza kama NIV zinasema “about noon” ili kusawazisha na mfumo wao.

✅ Hoja ya tatu: Hakuna Yesu wawili wala mkanganyiko
Mtu akisema Yesu mmoja yupo msalabani saa tatu na mwingine bado yupo mahakamani saa sita, huyo amepotosha maandiko.


Ukweli ni kwamba Marko na Yohana walitumia mifumo miwili tofauti ya muda (Kiyahudi na Kirumi). Tukielewa muktadha huu, basi utahitaji kubatizwa
 
ESV (English Standard Version): “And it was the third hour when they crucified him.”

Hapa Marko anatumia mfumo wa Kiyahudi wa muda, unaoanza kuhesabu kuanzia saa 12 alfajiri. “Saa tatu” = takribani saa 9:00 asubuhi.

Marko 15:25
Basi ilikuwa saa tatu, nao wakamsulibisha.
Marko 15:26
Palikuwa na anwani ya mashitaka yake iliyoandikwa juu, MFALME WA WAYAHUDI

MARIKO anasema saa 3 ausubuhi Yesu yupo msalabani

Haya weka hayo mahesababu yako vizuri ya saa za kiyahudi kama unavyodai Ili hiyo saa 3 hapo ya Mariko isiwe saa 3 asubuhi
 
Marko 15:25
Basi ilikuwa saa tatu, nao wakamsulibisha.
Marko 15:26
Palikuwa na anwani ya mashitaka yake iliyoandikwa juu, MFALME WA WAYAHUDI

MARIKO anasema saa 3 ausubuhi Yesu yupo msalabani

Haya weka hayo mahesababu yako vizuri ya saa za kiyahudi kama unavyodai Ili hiyo saa 3 hapo ya Mariko isiwe saa 3 asubuhi
Marko 15:25-26
“Basi ilikuwa saa tatu, nao wakamsulibisha. Palikuwa na anwani ya mashitaka yake iliyoandikwa juu, MFALME WA WAYAHUDI.”

Kwa kawaida, katika saa za Kiyahudi, siku inahesabiwa kuanzia alfajiri (saa 6:00 za asubuhi) kama saa 0. Mfumo huu unafanya:

Saa 1 Kiyahudi = 6:00–7:00 asubuhi

Saa 2 Kiyahudi = 7:00–8:00 asubuhi

Saa 3 Kiyahudi = 8:00–9:00 asubuhi


Hivyo, “saa tatu” ya Marko si saa tatu za leo za kisasa (3:00 asubuhi), bali ni takribani saa 9:00 asubuhi. Hii ni wakati Yesu aliyeanza kusulubiwa, sio usiku au mapema sana.

Kwa maneno mengine, Marko hakuwa akisema saa tatu ya kisasa, bali anatumia mfumo wa Kiyahudi wa kuhesabu muda wa siku. Hii inafafanua kuwa hakuna mkanganyiko na maandiko mengine kama Yohana, ambao anatumia mfumo wa Kirumi wa kuhesabu muda.
 
Marko 15:25-26
“Basi ilikuwa saa tatu, nao wakamsulibisha. Palikuwa na anwani ya mashitaka yake iliyoandikwa juu, MFALME WA WAYAHUDI.”

Kwa kawaida, katika saa za Kiyahudi, siku inahesabiwa kuanzia alfajiri (saa 6:00 za asubuhi) kama saa 0. Mfumo huu unafanya:

Saa 1 Kiyahudi = 6:00–7:00 asubuhi

Saa 2 Kiyahudi = 7:00–8:00 asubuhi

Saa 3 Kiyahudi = 8:00–9:00 asubuhi


Hivyo, “saa tatu” ya Marko si saa tatu za leo za kisasa (3:00 asubuhi), bali ni takribani saa 9:00 asubuhi. Hii ni wakati Yesu aliyeanza kusulubiwa, sio usiku au mapema sana.

Kwa maneno mengine, Marko hakuwa akisema saa tatu ya kisasa, bali anatumia mfumo wa Kiyahudi wa kuhesabu muda wa siku. Hii inafafanua kuwa hakuna mkanganyiko na maandiko mengine kama Yohana, ambao anatumia mfumo wa Kirumi wa kuhesabu muda.
Nilishasema huku juu katika ukristo Kila kitu ni DOGMA Yani uongo

Kwanza kipindi Cha karine ya kwanza kulikuwa hakuna Clock Ili hiyo alifajiri isome namba 6 na saa Moja isosome 7 clock ziligunduliwa karine ya 15

Pia inaonekana haujui hesabu
Hata nikisema niendane na akili yako alifajiri Inasima 6 ambayo ni sa 0 na na saa Moja itasoma 7
MARIKO anasema saa ya 3 Yesu yupo msalabani

Hiyo 6 hapo ambayo ni saa 0 Kwa mujibu wako ukiongeza masaa 3 itakuwa 9 bado ni saa 3 asubuhi

Jibu swali
Ni Yesu gani saa 3 yupo msalabani?

Na Yesu gani saa 6 yupo mahakamani?
 
Nilishasema huku juu katika ukristo Kila kitu ni DOGMA Yani uongo

Kwanza kipindi Cha karine ya kwanza kulikuwa hakuna Clock Ili hiyo alifajiri isome namba 6 na saa Moja isosome 7 clock ziligunduliwa karine ya 15

Pia inaonekana haujui hesabu
Hata nikisema niendane na akili yako alifajiri Inasima 6 ambayo ni sa 0 na na saa Moja itasoma 7
MARIKO anasema saa ya 3 Yesu yupo msalabani

Hiyo 6 hapo ambayo ni saa 0 Kwa mujibu wako ukiongeza masaa 3 itakuwa 9 bado ni saa 3 asubuhi

Jibu swali
Ni Yesu gani saa 3 yupo msalabani?

Na Yesu gani saa 6 yupo mahakamani?
Nipo kutoa elimu

Wewe umedanganywa. Angalia, Qur’an inasema walidhani wamemuuwa Yesu, lakini hakika hawakumsalibu wala hawakumsulubisha. Katika Biblia, Marko anasema “saa tatu Yesu yupo msalabani,” lakini lazima ujue kwamba “saa tatu” hapo ni hesabu ya Kiyahudi, si saa za kisasa. Siku ya Kiyahudi inaanza alfajiri (saa 0 = takribani 6:00 asubuhi), ukiongeza masaa 3 tunapata takribani saa 9:00 asubuhi. Hivyo, Yesu aliyesulubiwa saa tatu = takribani 9:00 asubuhi, sio 3:00 asubuhi ya leo.

Yohana anasema “saa sita Yesu yupo mahakamani” (19:14). Hii ni kabla hajapelekwa msalabani, kwa mfumo wa Kirumi au Kiyahudi wa kuhesabu muda. Kwa hiyo hakuna Yesu wawili, wala mkanganyiko wowote.

Hii yote inaonyesha wale wanaodanganya kuwa Yesu hakulubiwa hawana elimu
 
Nipo kutoa elimu

Wewe umedanganywa. Angalia, Qur’an inasema walidhani wamemuuwa Yesu, lakini hakika hawakumsalibu wala hawakumsulubisha. Katika Biblia, Marko anasema “saa tatu Yesu yupo msalabani,” lakini lazima ujue kwamba “saa tatu” hapo ni hesabu ya Kiyahudi, si saa za kisasa. Siku ya Kiyahudi inaanza alfajiri (saa 0 = takribani 6:00 asubuhi), ukiongeza masaa 3 tunapata takribani saa 9:00 asubuhi. Hivyo, Yesu aliyesulubiwa saa tatu = takribani 9:00 asubuhi, sio 3:00 asubuhi ya leo.

Yohana anasema “saa sita Yesu yupo mahakamani” (19:14). Hii ni kabla hajapelekwa msalabani, kwa mfumo wa Kirumi au Kiyahudi wa kuhesabu muda. Kwa hiyo hakuna Yesu wawili, wala mkanganyiko wowote.

Hii yote inaonyesha wale wanaodanganya kuwa Yesu hakulubiwa hawana elimu
Hivi wewe unajielewa kweli Yani hapo hata wagalatia wenzanko japo wamezoea kudanganywa ila hapo wanakushangaa

Hapa hatufuati matamanio yako ila tuangalia andiko linasemaje

Wewe umesema wayahudi wanaanza kuhesabu saa zao alifajiri ambayo inakuwa 6: 00 ni sawa na 0 Kwa sababu siku ndio inaanza Mimi nimekukubalia

Marko 15:25
Basi ilikuwa saa tatu, nao wakamsulibisha.

And it was the third hour, and they crucified him.

Sasa kama alifajiri ndio zero Mariko anasema saa ya 3 Yesu alikuwa yupo msalabani

Sasa ukitoka katika zero hiyo alifajiri saa ya 3 itakuwa saa ngapi kama sio saa 3 asubuhi?

DOGMA zako peleka huko kanisani

Jibu swali
Yesu gani saa 3 yupo msalabani?

Na Yesu gani saa 6 yupo mahakamani?
 
Hivi wewe unajielewa kweli Yani hapo hata wagalatia wenzanko japo wamezoea kudanganywa ila hapo wanakushangaa

Hapa hatufuati matamanio yako ila tuangalia andiko linasemaje

Wewe umesema wayahudi wanaanza kuhesabu saa zao alifajiri ambayo inakuwa 6: 00 ni sawa na 0 Kwa sababu siku ndio inaanza Mimi nimekukubalia

Marko 15:25
Basi ilikuwa saa tatu, nao wakamsulibisha.

And it was the third hour, and they crucified him.

Sasa kama alifajiri ndio zero Mariko anasema saa ya 3 Yesu alikuwa yupo msalabani

Sasa ukitoka katika zero hiyo alifajiri saa ya 3 itakuwa saa ngapi kama sio saa 3 asubuhi?

DOGMA zako peleka huko kanisani

Jibu swali
Yesu gani saa 3 yupo msalabani?

Na Yesu gani saa 6 yupo mahakamani?
Hivi ndugu yangu, unajielewa kweli?Umeenda shule kweli ? Umechanganya vitu makusudi ili tu uoneshe Muddy alikuwa sahihi ,

Mimi nilikwambia wazi kabisa, Wayahudi walihesabu muda kwa mfumo wao wa saa za jua, sio kama hizi digital clock ulizozoea leo. Ukisema “alfajiri ni saa 0,” hiyo ni hesabu sahihi ya Kiyahudi. Sasa Marko anaposema “saa ya tatu wakamsulubisha” (Marko 15:25), hiyo si saa 3:00 asubuhi ya kisasa, bali ni saa 9:00 asubuhi kwa hesabu yetu ya leo.

Yohana naye anaposema saa ya sita Yesu alikuwa bado mahakamani (Yohana 19:14), hiyo ni kipindi cha adhuhuri kuelekea jioni, kulingana na mfumo wa Kirumi wa kuhesabu saa.

Ndiyo maana hakuna Yesu wawili tofauti ni Yesu yuleyule, ila maandiko mawili yanatumia mitindo miwili ya kuhesabu muda.

Wewe unasema hizi ni “dogma,” kumbe ukweli ni kwamba hukuelewa historia ya namna Wayahudi na Warumi walivyohesabu saa. Biblia haina mkanganyiko tatizo liko kwako unayetaka kulazimisha kusoma maandiko ya karne ya kwanza kwa kutumia saa za kisasa zilizogunduliwa karne ya 15.

Kwa hiyo jibu lako ni rahisi👇👇👇

Yesu aliyekuwa “saa ya tatu msalabani” = takribani saa 9:00 asubuhi kwa saa zetu.

Yesu aliyekuwa “saa ya sita mahakamani” = takribani saa 12:00 mchana kwa saa zetu.


Hapa hakuna mkanganyiko wowote, ila ni wewe tu unayetaka kugeuza Biblia ionekane na kosa ili ujidanganye kuwa Qur’an imesahihisha.

Usipoelewa nitatumia Quran kukufundisha
 
“alfajiri ni saa 0,” hiyo ni hesabu sahihi ya Kiyahudi. Sasa Marko anaposema “saa ya tatu wakamsulubisha” (Marko 15:25), hiyo si saa 3:00 asubuhi ya kisasa, bali ni saa 9:00 asubuhi kwa hesabu yetu ya leo.
Hakuna kazi ngumu kama kuutetea ukristo Kwa kutumia maandiko

Unasema Mariko aliposema saa 3 maana yake ni saa 9 asubuhi Kwa hesabu yetu ya Leo

Haya niambie saa 9 asubuhi Kwa hesabu yetu ya Leo ni sawa na saa ngapi Kwa hesabu yetu ya leo?
 
Hakuna kazi ngumu kama kuutetea ukristo Kwa kutumia maandiko

Unasema Mariko aliposema saa 3 maana yake ni saa 9 asubuhi Kwa hesabu yetu ya Leo

Haya niambie saa 9 asubuhi Kwa hesabu yetu ya Leo ni sawa na saa ngapi Kwa hesabu yetu ya leo?
Mimi nipo kutoa elimu tu ,

Na hapo ndipo unaonyesha kwamba hoja zako si za kutafuta ukweli bali ni za kubishana tu.

Nilipokwambia Marko alitumia mfumo wa Kiyahudi na Yohana mfumo wa Kirumi, maana yake si kwamba saa za Leo za kisasa zinafanana moja kwa moja na walivyoandika wao.

Saa 9 asubuhi ya kisasa ni mfumo wa digital ambao uliletwa karne ya 15, lakini katika karne ya kwanza Wayahudi walihesabu muda kwa jua kuanzia alfajiri (saa 0 = 6:00 asubuhi kwetu), saa ya tatu = 9:00 asubuhi kwetu.

Yohana kwa mfumo wa Kirumi anasema saa ya sita, nayo inalingana na kipindi cha asubuhi kuelekea adhuhuri.

Hivyo tukio ni moja tu Yesu alisulubiwa asubuhi ila mitindo ya kuandika na mfumo wa saa ndio tofauti.

Ukishikilia digital clock ya karne ya 15 halafu unataka kulazimisha maandiko ya karne ya kwanza, utajipoteza mwenyewe.
 
Mimi nipo kutoa elimu tu ,

Na hapo ndipo unaonyesha kwamba hoja zako si za kutafuta ukweli bali ni za kubishana tu.

Nilipokwambia Marko alitumia mfumo wa Kiyahudi na Yohana mfumo wa Kirumi, maana yake si kwamba saa za Leo za kisasa zinafanana moja kwa moja na walivyoandika wao.

Saa 9 asubuhi ya kisasa ni mfumo wa digital ambao uliletwa karne ya 15, lakini katika karne ya kwanza Wayahudi walihesabu muda kwa jua kuanzia alfajiri (saa 0 = 6:00 asubuhi kwetu), saa ya tatu = 9:00 asubuhi kwetu.

Yohana kwa mfumo wa Kirumi anasema saa ya sita, nayo inalingana na kipindi cha asubuhi kuelekea adhuhuri.

Hivyo tukio ni moja tu Yesu alisulubiwa asubuhi ila mitindo ya kuandika na mfumo wa saa ndio tofauti.

Ukishikilia digital clock ya karne ya 15 halafu unataka kulazimisha maandiko ya karne ya kwanza, utajipoteza mwenyewe.
Kama unakubali kuwa Kwa mujibu wa andiko la Mariko Yesu alisurubiwa saa ya 3 ambayo ni sawa na saa 3 asubuhi Kwa huku kwetu Sasa unapinga kitu gani

Yohana 19:14
Nayo ilikuwa Maandalio ya pasaka, yapata saa sita. Akawaambia Wayahudi, Tazama, Mfalme wenu!
Yohana 19:15
Basi wale wakapiga kelele, Mwondoshe! Mwondoshe! Msulibishe! Pilato akawaambia, Je! Nimsulibishe mfalme wenu! Wakuu wa makuhani wakamjibu, Sisi hatuna mfalme ila Kaisari.

kama umekubali kuwa Mariko anasema saa 3 asubuhi Yesu yupo msalabani

Na Yohana huyo hapo naye anasema saa 6 mchana Yesu alikuwa bado yupo mahakamani

Jibu swali
Ni Yesu gani saa 3 yupo msalabani?

Na Yesu gani saa 6 yupo mahakamani

Au thibisha kuwa saa 3 asubuhi ya Mariko ni sawa na saa 6 mchana ya Yohona

Tena Kwa mujibu wa Yohana hiyo 6 Yesu alikuwa bado yupo mahakamani na sio msalabani
 
Kama unakubali kuwa Kwa mujibu wa andiko la Mariko Yesu alisurubiwa saa ya 3 ambayo ni sawa na saa 3 asubuhi Kwa huku kwetu Sasa unapinga kitu gani

Yohana 19:14
Nayo ilikuwa Maandalio ya pasaka, yapata saa sita. Akawaambia Wayahudi, Tazama, Mfalme wenu!
Yohana 19:15
Basi wale wakapiga kelele, Mwondoshe! Mwondoshe! Msulibishe! Pilato akawaambia, Je! Nimsulibishe mfalme wenu! Wakuu wa makuhani wakamjibu, Sisi hatuna mfalme ila Kaisari.

kama umekubali kuwa Mariko anasema saa 3 asubuhi Yesu yupo msalabani

Na Yohana huyo hapo naye anasema saa 6 mchana Yesu alikuwa bado yupo mahakamani

Jibu swali
Ni Yesu gani saa 3 yupo msalabani?

Na Yesu gani saa 6 yupo mahakamani

Au thibisha kuwa saa 3 asubuhi ya Mariko ni sawa na saa 6 mchana ya Yohona

Tena Kwa mujibu wa Yohana hiyo 6 Yesu alikuwa bado yupo mahakamani na sio msalabani
hoja yako inaonyesha unataka kusoma Biblia kwa kutumia clock ya karne ya 15 na kuilazimisha kwenye maandiko ya karne ya kwanza. Huo ndio upotoshaji wenyewe. Hebu nikuelezee vizuri:

Wayahudi walihesabu saa kuanzia alfajiri (6:00 asubuhi zetu). Hivyo saa ya 3 ya Marko = karibu 9:00 asubuhi kwa saa zetu. Hapo Yesu alikuwa tayari amesulubiwa.

Lakini Yohana hakutumia mfumo wa Kiyahudi. Yohana aliandika kwa mataifa ya Kirumi, na Warumi walihesabu muda kuanzia saa sita usiku (midnight). Hivyo saa ya sita ya Yohana = karibu 6:00 asubuhi kwa saa zetu. Ndiyo maana anasema Yesu bado alikuwa mahakamani wakati huo, kabla hajapelekwa msalabani.

Kwa hiyo hakuna Yesu wawili tofauti. Ni Yesu yuleyule. Tofauti ni mitindo ya kuhesabu muda:

Marko → mfumo wa Wayahudi (saa 3 = 9:00 asubuhi).

Yohana → mfumo wa Warumi (saa 6 = 6:00 asubuhi).


Kwa hiyo maandiko haya yanakubaliana, ila wewe unalazimisha kusoma kwa kutumia digital clock ya leo ili ionekane kana kwamba yanapingana. Ukweli ni kwamba tukio ni moja tuYesu alihukumiwa mapema asubuhi (kama saa 6 za Kirumi), kisha akasulubiwa karibu saa 9 asubuhi (saa ya 3 kwa Wayahudi).
 
hoja yako inaonyesha unataka kusoma Biblia kwa kutumia clock ya karne ya 15 na kuilazimisha kwenye maandiko ya karne ya kwanza. Huo ndio upotoshaji wenyewe. Hebu nikuelezee vizuri:

Wayahudi walihesabu saa kuanzia alfajiri (6:00 asubuhi zetu). Hivyo saa ya 3 ya Marko = karibu 9:00 asubuhi kwa saa zetu. Hapo Yesu alikuwa tayari amesulubiwa.

Lakini Yohana hakutumia mfumo wa Kiyahudi. Yohana aliandika kwa mataifa ya Kirumi, na Warumi walihesabu muda kuanzia saa sita usiku (midnight). Hivyo saa ya sita ya Yohana = karibu 6:00 asubuhi kwa saa zetu. Ndiyo maana anasema Yesu bado alikuwa mahakamani wakati huo, kabla hajapelekwa msalabani.

Kwa hiyo hakuna Yesu wawili tofauti. Ni Yesu yuleyule. Tofauti ni mitindo ya kuhesabu muda:

Marko → mfumo wa Wayahudi (saa 3 = 9:00 asubuhi).

Yohana → mfumo wa Warumi (saa 6 = 6:00 asubuhi).


Kwa hiyo maandiko haya yanakubaliana, ila wewe unalazimisha kusoma kwa kutumia digital clock ya leo ili ionekane kana kwamba yanapingana. Ukweli ni kwamba tukio ni moja tuYesu alihukumiwa mapema asubuhi (kama saa 6 za Kirumi), kisha akasulubiwa karibu saa 9 asubuhi (saa ya 3 kwa Wayahudi).
Nimekuambia thibitisha kuwa saa 3 ya Mariko ni sawa na saa 6 ya Yohona umebaki unajiuma uma na kukimbilia katika uongo mliozoea kudanganyana

Ngoja nikufundishe

In the first century AD, Romans measured time by dividing both day and night into 12 flexible "hours" (horae), with their length varying by season and averaging around 45 to 75 minutes. They used sundials (horologium) during the day and water clocks (clepsydras) for continuous timekeeping,

Warumi walikuwa wanahesabu saa Kwa kuigawanya siku saa 12 mchana na saa 12 usiku na Jua linapochomoza ndio saa ya kwanza inaanza kuhesabiwa

Hiyo 0:00 ya mid night hiyo ni formula ya saa 24 ilianza kutumika karine ya 15 na wagunduzi ni Egypt sio warumi

Hivyo basi kama Yohana alitumia masaa ya kirumi basi hiyo ni saa 6 mchana

Hauna kichaka utakachoweza kujificha hapa

Jibu swali
Yesu gani saa 3 asubuhi alikuwa msalabani ?

Na Yesu gani saa 6 mchana alikuwa bado yupo mahakamani?
 
Nimekuambia thibitisha kuwa saa 3 ya Mariko ni sawa na saa 6 ya Yohona umebaki unajiuma uma na kukimbilia katika uongo mliozoea kudanganyana

Ngoja nikufundishe

In the first century AD, Romans measured time by dividing both day and night into 12 flexible "hours" (horae), with their length varying by season and averaging around 45 to 75 minutes. They used sundials (horologium) during the day and water clocks (clepsydras) for continuous timekeeping,

Warumi walikuwa wanahesabu saa Kwa kuigawanya siku saa 12 mchana na saa 12 usiku na Jua linapochomoza ndio saa ya kwanza inaanza kuhesabiwa

Hiyo 0:00 ya mid night hiyo ni formula ya saa 24 ilianza kutumika karine ya 15 na wagunduzi ni Egypt sio warumi

Hivyo basi kama Yohana alitumia masaa ya kirumi basi hiyo ni saa 6 mchana

Hauna kichaka utakachoweza kujificha hapa

Jibu swali
Yesu gani saa 3 asubuhi alikuwa msalabani ?

Na Yesu gani saa 6 mchana alikuwa bado yupo mahakamani?
Sitachoka kukupa elimu ,japo una mihemko,

tatizo lako ni hili moja, unataka Biblia ya karne ya kwanza iandikwe kwa mfumo wa saa wa karne ya 15. Hapo ndipo unapokosea.

Kwanza, nakubaliana nawe kwamba Warumi waligawa mchana na usiku kwa saa 12 kila moja, kwa kutumia jua na giza. Lakini kumbuka, Yohana aliandika kwa jamii ya Warumi waliokuwa na desturi tofauti za kuhesabu muda, na maandiko ya mapokeo (manuscripts za kale) yanaonyesha walitumia mtindo wa Kirumi wa saa tofauti na ule wa Wayahudi. Ndiyo maana hata watafsiri wakubwa wa Biblia wamekubali jambo hili ndiyo maana tafsiri nyingi za Kiingereza zina footnote zikionyesha tofauti ya mfumo wa saa.

Sasa ngoja nikuweke wazi

Marko 15:25 (mfumo wa Kiyahudi): saa ya 3 = takribani 9:00 asubuhi kwa saa zetu. Hapo Yesu yupo msalabani tayari.

Yohana 19:14 (mfumo wa Kirumi): saa ya 6 = takribani 6:00 asubuhi kwa saa zetu. Hapo Yesu bado yuko mahakamani kabla ya kutoka.


Kwa hiyo tukio ni moja, si mbili. Hakuna Yesu wawili tofauti. Ni tafsiri ya saa inayotumika kwa wasomaji tofauti.

Wewe unataka kulazimisha kuwa saa 6 ya Yohana = mchana wa saa 12 kwa sababu umechukua “formula ya Wayahudi” na kuibandika kwa Warumi. Lakini nakukumbusha, ndugu yangu: Biblia yenyewe ndiyo ushahidi bora kuliko “formula” yako. Ndiyo maana Marko na Yohana walitumia mifumo tofauti, lakini maandiko yanakubaliana.

Kwa ufupi

Yesu wa Marko saa ya 3 msalabani = 9:00 asubuhi.

Yesu wa Yohana saa ya 6 bado mahakamani = 6:00 asubuhi.


Ni Yesu yuleyule, tukio moja, mitindo tofauti ya kuhesabu muda.
 
Back
Top Bottom