DOGMA ndio msingi wa dini ya ukristo

DOGMA ndio msingi wa dini ya ukristo

Kama Mariko na Yohana walishuhudia hicho kitendo mbona wanatofautiana katika kuripoti

Mariko anasema saa 3 Yesu yupo msalabani na Yohana anasema saa 6 Yesu yupo mahakamani

Marko 15:25
Basi ilikuwa saa tatu, nao wakamsulibisha.
Marko 15:26
Palikuwa na anwani ya mashitaka yake iliyoandikwa juu, MFALME WA WAYAHUDI.

Yohana 19:14
Nayo ilikuwa Maandalio ya pasaka, yapata saa sita. Akawaambia Wayahudi, Tazama, Mfalme wenu!
Yohana 19:15
Basi wale wakapiga kelele, Mwondoshe! Mwondoshe! Msulibishe! Pilato akawaambia, Je! Nimsulibishe mfalme wenu! Wakuu wa makuhani wakamjibu, Sisi hatuna mfalme ila Kaisari.
Kwanza tuweke maandiko mezani

Marko 15:25 → “Ikawa ni saa ya tatu, wakamsulibisha.”

Yohana 19:14–15 → “Ilikuwa maandalio ya Pasaka, yapata saa sita… Pilato akawaambia… wakasema, Msulibishe!”


Kwa hiyo

Marko → anasema Yesu tayari yuko msalabani saa ya tatu (takriban 9:00 asubuhi kwa hesabu yetu).

Yohana → anasema kesi mbele ya Pilato ilikuwa saa ya sita (takriban karibu adhuhuri kwa mfumo wa Kiyahudi, au mapema asubuhi kwa mfumo wa Kirumi).


Hii ndio siri kuu:

Wayahudi → walihesabu masaa kuanzia kuchomoza kwa jua (saa 6:00 asubuhi = saa ya kwanza).

Hivyo saa 3 = takriban 9:00 asubuhi.


Warumi → walihesabu kuanzia saa 12:00 usiku (mfumo tunaotumia leo).

Hivyo “saa ya sita” kwa Warumi = takriban saa 6:00 asubuhi.

Kwa hiyo:

Marko (akitumia mfumo wa Kiyahudi) → Yesu yuko msalabani saa 9:00 asubuhi.

Yohana (akitumia mfumo wa Kirumi) → Yesu bado yuko mahakamani karibu saa 6:00 asubuhi, kabla hajapelekwa msalabani.


Matokeo yake, hakuna mkanganyiko. Ni mtu mmoja (Yesu), siku moja, matukio yanayofuata kwa mpangilio, ila kwa mitindo miwili ya kuandika muda.


Mtiririko wa matukio (kuchanganya maandiko yote)

1. Usiku → Yesu anakamatwa, anaulizwa maswali na makuhani.


2. Alfajiri → anapelekwa kwa Pilato.


3. Karibu saa 6:00 asubuhi (kwa Warumi = “saa ya sita” ya Yohana) → Pilato anamhoji Yesu kwa mara ya mwisho.


4. Baada ya hapo → anakabidhiwa kwa umati.


5. Takriban saa 9:00 asubuhi (kwa Wayahudi = “saa ya tatu” ya Marko) → Yesu yuko msalabani.



Kwa hiyo Yohana anaripoti tukio la mahakamani kabla ya kusulubishwa, na Marko anaripoti tukio la kuanza kusulubishwa. Hii ni hatua mbili tofauti za siku moja, sio mkanganyiko.

Kwa nini si dogma?

Dogma ni kuamini bila ushahidi. Hapa tunatumia maandiko yenyewe + historia ya mifumo ya saa kuonyesha ulinganifu.

Hata wanahistoria wa kale (kama Josephus, Tacitus, na Pliny) waliandika kwamba Yesu alisulubiwa chini ya Pilato. Hii ni ushahidi wa kihistoria, si hadithi.

Qur’an iliyoandikwa karne ya 7, bila mashahidi wa macho, ndiyo inasema “hawakumsulubisha” (Surah 4:157). Huo ndio uongo wa baadaye, si Biblia.
 
Kwanza tuweke maandiko mezani

Marko 15:25 → “Ikawa ni saa ya tatu, wakamsulibisha.”

Yohana 19:14–15 → “Ilikuwa maandalio ya Pasaka, yapata saa sita… Pilato akawaambia… wakasema, Msulibishe!”


Kwa hiyo

Marko → anasema Yesu tayari yuko msalabani saa ya tatu (takriban 9:00 asubuhi kwa hesabu yetu).

Yohana → anasema kesi mbele ya Pilato ilikuwa saa ya sita (takriban karibu adhuhuri kwa mfumo wa Kiyahudi, au mapema asubuhi kwa mfumo wa Kirumi).


Hii ndio siri kuu:

Wayahudi → walihesabu masaa kuanzia kuchomoza kwa jua (saa 6:00 asubuhi = saa ya kwanza).

Hivyo saa 3 = takriban 9:00 asubuhi.


Warumi → walihesabu kuanzia saa 12:00 usiku (mfumo tunaotumia leo).

Hivyo “saa ya sita” kwa Warumi = takriban saa 6:00 asubuhi.

Kwa hiyo:

Marko (akitumia mfumo wa Kiyahudi) → Yesu yuko msalabani saa 9:00 asubuhi.

Yohana (akitumia mfumo wa Kirumi) → Yesu bado yuko mahakamani karibu saa 6:00 asubuhi, kabla hajapelekwa msalabani.


Matokeo yake, hakuna mkanganyiko. Ni mtu mmoja (Yesu), siku moja, matukio yanayofuata kwa mpangilio, ila kwa mitindo miwili ya kuandika muda.


Mtiririko wa matukio (kuchanganya maandiko yote)

1. Usiku → Yesu anakamatwa, anaulizwa maswali na makuhani.


2. Alfajiri → anapelekwa kwa Pilato.


3. Karibu saa 6:00 asubuhi (kwa Warumi = “saa ya sita” ya Yohana) → Pilato anamhoji Yesu kwa mara ya mwisho.


4. Baada ya hapo → anakabidhiwa kwa umati.


5. Takriban saa 9:00 asubuhi (kwa Wayahudi = “saa ya tatu” ya Marko) → Yesu yuko msalabani.



Kwa hiyo Yohana anaripoti tukio la mahakamani kabla ya kusulubishwa, na Marko anaripoti tukio la kuanza kusulubishwa. Hii ni hatua mbili tofauti za siku moja, sio mkanganyiko.

Kwa nini si dogma?

Dogma ni kuamini bila ushahidi. Hapa tunatumia maandiko yenyewe + historia ya mifumo ya saa kuonyesha ulinganifu.

Hata wanahistoria wa kale (kama Josephus, Tacitus, na Pliny) waliandika kwamba Yesu alisulubiwa chini ya Pilato. Hii ni ushahidi wa kihistoria, si hadithi.

Qur’an iliyoandikwa karne ya 7, bila mashahidi wa macho, ndiyo inasema “hawakumsulubisha” (Surah 4:157). Huo ndio uongo wa baadaye, si Biblia.
Historia inasema warumi walihesabu saa Kwa kuigawanya siku masaa 12 mchana ( day light) na masaa 12 usiku

Haya unayosema kuwa alifajiri warumi wao ndio saa 6 umeyapata wapi?

Na ukishajibu Yesu gani saa 3 yupo msalabani na Yesu gani saa 6 yupo mahakamani?

Pia ujibu ni Yesu gani alivikwa vazi jekundu na Yesu gani alivikwa vazi la zambarau?

Mathayo 27:27
Ndipo askari wa liwali wakamchukua Yesu ndani ya Praitorio, wakamkusanyikia kikosi kizima.
Mathayo 27:28
Wakamvua nguo, wakamvika vazi jekundu.

Yohana 19:1
Basi ndipo Pilato alipomtwaa Yesu, akampiga mijeledi.
Yohana 19:2
Nao askari wakasokota taji ya miiba, wakamtia kichwani, wakamvika vazi la zambarau.
 
DOGMA ni kitendo Cha kuufanya uongo kuwa ukweli na kutumia Mbinu za kisaikolojia kukupandikiza huo uongo katika akili za watu

DOGMA ndani ya ukristo

1) wameaminishwa kuwa Yesu amezaliwa katika hori la kulishia ng'ombe wakati hakuna andiko linalosema hivyo

2) wameaminishwa kuwa ukristo ni dini wakati hakuna andiko linalosema hivyo

3) wameaminishwa kuwa Mungu ana nafsi 3 wakati hakuna andiko linalosema hivyo

4) wameaminishwa kuwa wakiwa na shida wamuombe Yesu wakati hakuna andiko linalosema hivyo

5) wameaminishwa kuwa Yesu ni Mungu wakati Yesu mwenyewe amekana kuwa yeye sio Mungu

6) wameaminishwa kuwa Mungu aligeuka kuwa mtu akacheza kombolela na watoto wenzake katika mitaa ya Galilaya

7) wameaminishwa kuwa ukristo alianzisha Yesu wakati maandiko na historia zinasema kuwa ukristo ulianzishwa baada ya Yesu kuondoka

8) wameaminishwa kuwa wakifanya ibada wasisujudu wakati maandiko yanawataka wasujudu na manabii wote walikuwa wanasujudu

9) wameaminishwa kuwa Yesu alisurubiwa Kwa ajili ya dhambi zao wakati maandiko yanasema Kila mtu atabeba mzigo wake

10) wameaminishwa kuwa msalaba ni neema Hadi wanavaa shingoni mwao wakati maandiko yanasema msalaba ni laana

11) wameaminishwa kuwa kuoa wake wengi ni kosa wakati hakuna andiko linalosema hivyo

12) wameaminishwa kuwa ukristo ulianzishwa nchini Jerusalem wakati maandiko yanasema ulianzishwa nchini ugiriki

14) wameaminishwa kuwa Injili ni kitabu Cha wakristo wakati hakuna andiko linalosema hivyo

15) wameaminishwa kuwa Paulo ni mtume wakati Yesu alisema yeye ndio mtume wa mwisho katika kizazi Cha Israel

16) wameaminishwa kuwa Jumapili ni siku ya ibada wakati hakuna andiko linalosema hivyo

Wazungu watu wabaya sana
Sawa , My advice, tumia muda kutuambia juu ya hiyo dini Yako nzuri...sio kukesha kusema za wenzenu.....!

Sitatumia muda kujibu hoja zako bse nimefunzwa na Bwana ktk:

Matthew 7:6
[6]Give not that which is holy unto the dogs, neither cast ye your pearls before swine, lest they trample them under their feet, and turn again and rend you.
Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.!

Yesu sikuzote atakua Mungu Mkuu!🙏🙏
 
Sawa , Sasa wewe kinakuuma nini sisi tukiamini usichoamini? Hasa kama kwetu tunanufaika?

My advice, tumia muda kutuambia juu ya hiyo dini Yako nzuri...sio kukesha kusema za wenzenu.....!

Yesu sikuzote atakua Mungu Mkuu!🙏🙏

Kwani wapi alikuambia kuwa anaumia ?? Kwenu wapi imeandikwa dini za wenzetu ni dini ??
 
Kwanza tuweke maandiko mezani

Marko 15:25 → “Ikawa ni saa ya tatu, wakamsulibisha.”

Yohana 19:14–15 → “Ilikuwa maandalio ya Pasaka, yapata saa sita… Pilato akawaambia… wakasema, Msulibishe!”


Kwa hiyo

Marko → anasema Yesu tayari yuko msalabani saa ya tatu (takriban 9:00 asubuhi kwa hesabu yetu).

Yohana → anasema kesi mbele ya Pilato ilikuwa saa ya sita (takriban karibu adhuhuri kwa mfumo wa Kiyahudi, au mapema asubuhi kwa mfumo wa Kirumi).


Hii ndio siri kuu:

Wayahudi → walihesabu masaa kuanzia kuchomoza kwa jua (saa 6:00 asubuhi = saa ya kwanza).

Hivyo saa 3 = takriban 9:00 asubuhi.


Warumi → walihesabu kuanzia saa 12:00 usiku (mfumo tunaotumia leo).

Hivyo “saa ya sita” kwa Warumi = takriban saa 6:00 asubuhi.

Kwa hiyo:

Marko (akitumia mfumo wa Kiyahudi) → Yesu yuko msalabani saa 9:00 asubuhi.

Yohana (akitumia mfumo wa Kirumi) → Yesu bado yuko mahakamani karibu saa 6:00 asubuhi, kabla hajapelekwa msalabani.


Matokeo yake, hakuna mkanganyiko. Ni mtu mmoja (Yesu), siku moja, matukio yanayofuata kwa mpangilio, ila kwa mitindo miwili ya kuandika muda.


Mtiririko wa matukio (kuchanganya maandiko yote)

1. Usiku → Yesu anakamatwa, anaulizwa maswali na makuhani.


2. Alfajiri → anapelekwa kwa Pilato.


3. Karibu saa 6:00 asubuhi (kwa Warumi = “saa ya sita” ya Yohana) → Pilato anamhoji Yesu kwa mara ya mwisho.


4. Baada ya hapo → anakabidhiwa kwa umati.


5. Takriban saa 9:00 asubuhi (kwa Wayahudi = “saa ya tatu” ya Marko) → Yesu yuko msalabani.



Kwa hiyo Yohana anaripoti tukio la mahakamani kabla ya kusulubishwa, na Marko anaripoti tukio la kuanza kusulubishwa. Hii ni hatua mbili tofauti za siku moja, sio mkanganyiko.

Kwa nini si dogma?

Dogma ni kuamini bila ushahidi. Hapa tunatumia maandiko yenyewe + historia ya mifumo ya saa kuonyesha ulinganifu.

Hata wanahistoria wa kale (kama Josephus, Tacitus, na Pliny) waliandika kwamba Yesu alisulubiwa chini ya Pilato. Hii ni ushahidi wa kihistoria, si hadithi.

Qur’an iliyoandikwa karne ya 7, bila mashahidi wa macho, ndiyo inasema “hawakumsulubisha” (Surah 4:157). Huo ndio uongo wa baadaye, si Biblia.

Wapi Marko aliandika nilifuata saa za Kiyahudi , wacha kumpakazia Marko please Na wapi Yohana alisema nilifuata saa za Kirumi ?? Mbona umekuwa msemaji wa marko na Yohana ?? walikupa lini mamlaka ya kuwasemea ??
 
Sawa , My advice, tumia muda kutuambia juu ya hiyo dini Yako nzuri...sio kukesha kusema za wenzenu.....!

Sitatumia muda kujibu hoja zako bse nimefunzwa na Bwana ktk:

Matthew 7:6
[6]Give not that which is holy unto the dogs, neither cast ye your pearls before swine, lest they trample them under their feet, and turn again and rend you.
Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.!

Yesu sikuzote atakua Mungu Mkuu!🙏🙏
Labda akufundishe kufuga majini na kubusu jiwe jeusi
 
Historia inasema warumi walihesabu saa Kwa kuigawanya siku masaa 12 mchana ( day light) na masaa 12 usiku

Haya unayosema kuwa alifajiri warumi wao ndio saa 6 umeyapata wapi?

Na ukishajibu Yesu gani saa 3 yupo msalabani na Yesu gani saa 6 yupo mahakamani?

Pia ujibu ni Yesu gani alivikwa vazi jekundu na Yesu gani alivikwa vazi la zambarau?

Mathayo 27:27
Ndipo askari wa liwali wakamchukua Yesu ndani ya Praitorio, wakamkusanyikia kikosi kizima.
Mathayo 27:28
Wakamvua nguo, wakamvika vazi jekundu.

Yohana 19:1
Basi ndipo Pilato alipomtwaa Yesu, akampiga mijeledi.
Yohana 19:2
Nao askari wakasokota taji ya miiba, wakamtia kichwani, wakamvika vazi la zambarau.
Ushahidi:

Pliny the Elder (mwanahistoria wa Kirumi, karne ya kwanza) anataja wazi kuwa kulikuwa na mfumo wa kiraia (civil system) uliopima muda kuanzia usiku wa manane.

Josephus (Myahudi aliyeishi Roma, karne ya kwanza) mara kadhaa hutumia mpangilio wa muda wa Kirumi unaoanza usiku wa manane.

Wachunguzi wa Biblia kama F.F. Bruce, Leon Morris na D.A. Carson wanaeleza wazi: Injili ya Yohana mara nyingi hutumia mfumo wa Kirumi wa saa kuanzia usiku wa manane. Mfano:

Yohana 1:39 – inasema “ilikuwa yapata saa kumi” wakati wanafunzi walimfuata Yesu. Kwa mfumo wa Kiyahudi, hiyo ingekuwa saa 4 jioni – muda usio wa kawaida kwa kuanza kukaa na mtu. Lakini kwa mfumo wa Kirumi, “saa 10” = saa 10 asubuhi, jambo linalolingana vizuri.

👉 Kwa hiyo: “saa sita” kwa Yohana 19:14 = karibu saa 6 asubuhi kwa mfumo wa Kirumi, siyo adhuhuri ya jua kali.

Je, Yesu gani saa 3 yupo msalabani na Yesu gani saa 6 yupo mahakamani?

Hakuna Yesu wawili – ni tukio moja kwa mtiririko.

Yohana 19:14 – Saa 6 asubuhi, Yesu bado yupo mbele ya Pilato.

Marko 15:25 – Saa 3 kwa mfumo wa Kiyahudi (≈ saa 9 asubuhi kwetu), ndipo Yesu anaanza kusulubiwa.


👉 Hii inalingana vizuri:

Kesi → mapema asubuhi (kwa Yohana, saa 6).

Kusulubiwa → saa 9 asubuhi (kwa Marko, saa 3 Kiyahudi).


Hakuna mgongano, ila mifumo ya muda tofauti ndiyo imesababisha watu wachanganyikiwe.

Mathayo 27:28 – vazi jekundu (crimson/scarlet).

Yohana 19:2 – vazi la zambarau (porphyra).


Maelezo ya kihistoria
👇👇👇👇

Neno la Kiyunani porphyra = rangi ya kifalme, kati ya nyekundu hadi zambarau.

Neno kokkinos = nyekundu ang’avu (scarlet/crimson).

Katika ulimwengu wa Kirumi, scarlet na purple mara nyingi zilitumika kubadilishana (cf. Josephus, Antiquities 11.6.9).
 
Ushahidi:

Pliny the Elder (mwanahistoria wa Kirumi, karne ya kwanza) anataja wazi kuwa kulikuwa na mfumo wa kiraia (civil system) uliopima muda kuanzia usiku wa manane.

Josephus (Myahudi aliyeishi Roma, karne ya kwanza) mara kadhaa hutumia mpangilio wa muda wa Kirumi unaoanza usiku wa manane.

Wachunguzi wa Biblia kama F.F. Bruce, Leon Morris na D.A. Carson wanaeleza wazi: Injili ya Yohana mara nyingi hutumia mfumo wa Kirumi wa saa kuanzia usiku wa manane. Mfano:

Yohana 1:39 – inasema “ilikuwa yapata saa kumi” wakati wanafunzi walimfuata Yesu. Kwa mfumo wa Kiyahudi, hiyo ingekuwa saa 4 jioni – muda usio wa kawaida kwa kuanza kukaa na mtu. Lakini kwa mfumo wa Kirumi, “saa 10” = saa 10 asubuhi, jambo linalolingana vizuri.

👉 Kwa hiyo: “saa sita” kwa Yohana 19:14 = karibu saa 6 asubuhi kwa mfumo wa Kirumi, siyo adhuhuri ya jua kali.

Je, Yesu gani saa 3 yupo msalabani na Yesu gani saa 6 yupo mahakamani?

Hakuna Yesu wawili – ni tukio moja kwa mtiririko.

Yohana 19:14 – Saa 6 asubuhi, Yesu bado yupo mbele ya Pilato.

Marko 15:25 – Saa 3 kwa mfumo wa Kiyahudi (≈ saa 9 asubuhi kwetu), ndipo Yesu anaanza kusulubiwa.


👉 Hii inalingana vizuri:

Kesi → mapema asubuhi (kwa Yohana, saa 6).

Kusulubiwa → saa 9 asubuhi (kwa Marko, saa 3 Kiyahudi).


Hakuna mgongano, ila mifumo ya muda tofauti ndiyo imesababisha watu wachanganyikiwe.

Mathayo 27:28 – vazi jekundu (crimson/scarlet).

Yohana 19:2 – vazi la zambarau (porphyra).


Maelezo ya kihistoria
👇👇👇👇

Neno la Kiyunani porphyra = rangi ya kifalme, kati ya nyekundu hadi zambarau.

Neno kokkinos = nyekundu ang’avu (scarlet/crimson).

Katika ulimwengu wa Kirumi, scarlet na purple mara nyingi zilitumika kubadilishana (cf. Josephus, Antiquities 11.6.9).
Huyo Pliny unayosema maelezo yake ni haya hapa anasema Roma wameanza kutumia timekeeping ya Sundials tokea 293 BC

The Romans used various ancient timekeeping devices. According to Pliny, Sundials, or shadow clocks, were first introduced to Rome when a Greek sundial captured from the Samnites was set up publicly around 293-290 BC., with another early known example being imported from Sicily in 263 BC.

JE Sundials ilikuwa inafanya vipi kazi?

In the first century AD, Romans measured time by dividing both day and night into 12 flexible "hours" (horae), with their length varying by season and averaging around 45 to 75 minutes. They used sundials (horologium) during the day and water clocks (clepsydras) for continuous timekeeping, especially at night or on cloudy days. Sunrise marked the beginning of the first hour, and the day's time was generally tied to the sun's position.

Sundials ndio hiyo inayohesabu saa Kwa kugawanya saa 12 mchana na saa 12 usiku

Hiyo yako unayosema walihesabu saa kuanzia saa 6 usiku haipo

Pia hiyo Sundials ilikuwa Haina uwezo wa kurekodi saa usiku Kwa sababu ilikuwa inatumia mwanga wa Jua
Acha kuwadanganya wagalatia wenzanko

Pia kuhusu rangi labda useme hakuna reporter aliyeshuhudia Kwa hiyo Kuna mmoja alidanganywa

Maana kiulimwengu wa mavazi na rangi karine ya kwanza ni sawa na juzi tu tayari watu walikuwa wanashona nguo za Kila rangi wanavaa

Usilete porojo zako za DOGMA
Jibu swali
Yesu gani saa 3 yupo msalabani na Yesu gani saa 6 yupo mahakamani ?

Pia Yesu gani alivikwa vazi jekundu na Yesu gani alivikwa vazi la zambarau ?
 
Huyo Pliny unayosema maelezo yake ni haya hapa anasema Roma wameanza kutumia timekeeping ya Sundials tokea 293 BC

The Romans used various ancient timekeeping devices. According to Pliny, Sundials, or shadow clocks, were first introduced to Rome when a Greek sundial captured from the Samnites was set up publicly around 293-290 BC., with another early known example being imported from Sicily in 263 BC.

JE Sundials ilikuwa inafanya vipi kazi?

In the first century AD, Romans measured time by dividing both day and night into 12 flexible "hours" (horae), with their length varying by season and averaging around 45 to 75 minutes. They used sundials (horologium) during the day and water clocks (clepsydras) for continuous timekeeping, especially at night or on cloudy days. Sunrise marked the beginning of the first hour, and the day's time was generally tied to the sun's position.

Sundials ndio hiyo inayohesabu saa Kwa kugawanya saa 12 mchana na saa 12 usiku

Hiyo yako unayosema walihesabu saa kuanzia saa 6 usiku haipo

Pia hiyo Sundials ilikuwa Haina uwezo wa kurekodi saa usiku Kwa sababu ilikuwa inatumia mwanga wa Jua
Acha kuwadanganya wagalatia wenzanko

Pia kuhusu rangi labda useme hakuna reporter aliyeshuhudia Kwa hiyo Kuna mmoja alidanganywa

Maana kiulimwengu wa mavazi na rangi karine ya kwanza ni sawa na juzi tu tayari watu walikuwa wanashona nguo za Kila rangi wanavaa

Usilete porojo zako za DOGMA
Jibu swali
Yesu gani saa 3 yupo msalabani na Yesu gani saa 6 yupo mahakamani ?

Pia Yesu gani alivikwa vazi jekundu na Yesu gani alivikwa vazi la zambarau ?
Utalewa tu, endelea kuuliza

Hapa unaonekana kushindwa kuelewa mfumo wa muda wa karne ya kwanza. Pliny anathibitisha kuwa saa za jua (Sundials) zilianzishwa Roma takriban mwaka 293 KK na zilihesabu muda kwa kuzingatia jua, zikigawa mchana kuwa masaa 12 na usiku masaa 12, ambapo urefu wa saa ulitofautiana kulingana na msimu. Hakuna “saa 6 usiku” waliyoitumia Wayahudi au Warumi; hiyo ni formula ya karne ya 15 ya saa za 24. Pia, Sundials hazikuweza kuhesabu usiku, kwa hivyo hoja yako ya kuanza kuhesabu saa 6 usiku ni ya kupotosha.

Kwa hivyo, Yesu aliyesulubiwa saa ya tatu (Marko 15:25) takriban saa 9 asubuhi kwa saa za leo ndiye yule yule aliyekuwa mahakamani saa ya sita (Yohana 19:14) karibu adhuhuri mapema, tofauti ni tu mfumo wa kuhesabu muda. Hivyo, hakuna Yesu wawili, hakuna mkanganyiko; ni mitindo miwili ya kuripoti muda wa tukio moja.

Kuhusu mavazi, Biblia inaripoti kutoka mashahidi wawili tofauti, lakini rangi inabaki ile ile ya kifalme nyekundu/jekundu. Mathayo 27:28 anasema Yesu alivikwa vazi jekundu na askari wa Liwali, huku Yohana 19:2 akiongeza kuwa walimtia taji la miiba na kumnasa na vazi la zambarau. Hata hivyo, vazi la zambarau lilikuwa toleo la kivuli cha vazi jekundu, likionesha heshima na kifalme – kwa hivyo rangi ya msingi ni nyekundu/jekundu. Hii inaonyesha mtu yule yule, tukio moja, rangi ile ile ya kifalme, tofauti ni tu kwenye mtazamo wa ripoti na vipengele vilivyoongezwa kama taji la miiba.
 
Utalewa tu, endelea kuuliza

Hapa unaonekana kushindwa kuelewa mfumo wa muda wa karne ya kwanza. Pliny anathibitisha kuwa saa za jua (Sundials) zilianzishwa Roma takriban mwaka 293 KK na zilihesabu muda kwa kuzingatia jua, zikigawa mchana kuwa masaa 12 na usiku masaa 12, ambapo urefu wa saa ulitofautiana kulingana na msimu. Hakuna “saa 6 usiku” waliyoitumia Wayahudi au Warumi; hiyo ni formula ya karne ya 15 ya saa za 24. Pia, Sundials hazikuweza kuhesabu usiku, kwa hivyo hoja yako ya kuanza kuhesabu saa 6 usiku ni ya kupotosha.

Kwa hivyo, Yesu aliyesulubiwa saa ya tatu (Marko 15:25) takriban saa 9 asubuhi kwa saa za leo ndiye yule yule aliyekuwa mahakamani saa ya sita (Yohana 19:14) karibu adhuhuri mapema, tofauti ni tu mfumo wa kuhesabu muda. Hivyo, hakuna Yesu wawili, hakuna mkanganyiko; ni mitindo miwili ya kuripoti muda wa tukio moja.

Kuhusu mavazi, Biblia inaripoti kutoka mashahidi wawili tofauti, lakini rangi inabaki ile ile ya kifalme nyekundu/jekundu. Mathayo 27:28 anasema Yesu alivikwa vazi jekundu na askari wa Liwali, huku Yohana 19:2 akiongeza kuwa walimtia taji la miiba na kumnasa na vazi la zambarau. Hata hivyo, vazi la zambarau lilikuwa toleo la kivuli cha vazi jekundu, likionesha heshima na kifalme – kwa hivyo rangi ya msingi ni nyekundu/jekundu. Hii inaonyesha mtu yule yule, tukio moja, rangi ile ile ya kifalme, tofauti ni tu kwenye mtazamo wa ripoti na vipengele vilivyoongezwa kama taji la miiba.
Akili yako inakubali kuwa
Kuna Yesu saa 3 asubuhi yupo msalabani

Na Kuna Yesu adhuhuri yupo mahakamani

Ila DOGMA Inailazimisha akili yako ikubali kuwa saa 3 asubuhi na adhuhuri ni wakati mmoja

Yawezekana pia haujui adhuhuri ni mda gani

Adhuhuri ndio mda ambao waislam wanasali Ile swala ya mchana au Ile swala ya ijumaa hiyo ndio adhuhuri

Kuna Yesu saa 3 yupo msalabani
Na Kuna Yesu mwingine saa 6 yupo mahakamani Kwa pilato

Kuna Yesu amevishwa vazi jekundu
Na Kuna Yesu mwingine amevishwa vazi la zambarau

Kuna Yesu alibeba mwenyewe msalaba wake Hadi fuvu la kichwa Yani Golgatha
Na Kuna Yesu mwingine msalaba wake ulibebwa na Simoni mkereni Hadi fuvu la kichwa Yani Golgatha

Yohana 19:16
Basi ndipo alipomtia mikononi mwao ili asulibiwe; nao wakampokea Yesu.
Yohana 19:17
Akatoka, hali akijichukulia msalaba wake, mpaka mahali paitwapo Fuvu la Kichwa, au kwa Kiebrania, Golgotha.
Yohana 19:18
Wakamsulibisha huko, na wengine wawili pamoja naye, mmoja huku na mmoja huku, na Yesu katikati.

Marko 15:20
Hata wakiisha kumdhihaki, wakamvua lile vazi la rangi ya zambarau, wakamvika mavazi yake mwenyewe; wakamchukua nje ili wamsulibishe.
Marko 15:21
Wakamshurutisha mtu aliyekuwa akipita, akitoka mashamba, Simoni Mkirene, baba yao Iskanda na Rufo, ili auchukue msalaba wake.
Marko 15:22
Wakamleta mpaka mahali paitwapo Golgotha, yaani, Fuvu la kichwa.

Na ndio maana Quran inasema wanaosema Yesu alisurubiwa hawana walijualo wanadhania dhania tu plus DOGMA

Quran 4:157
Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa, mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu, Na hakika walio khitalifiana katika haya wamo katika shaka nayo. Wao hawana ujuzi nayo wowote, ila ni kufuata dhana tu. Wala hawakumuuwa kwa yakini.
 
Na ndio maana Quran inasema wanaosema Yesu alisurubiwa hawana walijualo
Allah alimuweka mtu copy Kila kitu Yani yeye ndie aliwadamganya watu Dunia nzima , alafu anakuja kujichekesha mwenyewe

Ni mpumbavu tu ataamini story za Allah
 
Allah alimuweka mtu copy Kila kitu Yani yeye ndie aliwadamganya watu Dunia nzima , alafu anakuja kujichekesha mwenyewe

Ni mpumbavu tu ataamini story za Allah
Kwahiyo wewe unaumia Allah kuwadanganya makafiri tena wauwaji?

Tuchulie wale walio taka kumuua Yesu walifanikiwa wewe unawalani Kwa mauja waliyoyafanya?

Au unawapongeza na kuwasifia Kwa mauji waliyoyafanya?

Au unamkasilikia Allah Kwa kuwazuga makafiri wenzanko?
 
Kwahiyo wewe unaumia Allah kuwadanganya makafiri tena wauwaji?

Tuchulie wale walio taka kumuua Yesu walifanikiwa wewe unawalani Kwa mauja waliyoyafanya?

Au unawapongeza na kuwasifia Kwa mauji waliyoyafanya?

Au unamkasilikia Allah Kwa kuwazuga makafiri wenzanko?
Yule fake anaefanana alisulubiwa

Kwa hiyo hakuna Cha maana Allah kafanya
 
Akili yako inakubali kuwa
Kuna Yesu saa 3 asubuhi yupo msalabani

Na Kuna Yesu adhuhuri yupo mahakamani

Ila DOGMA Inailazimisha akili yako ikubali kuwa saa 3 asubuhi na adhuhuri ni wakati mmoja

Yawezekana pia haujui adhuhuri ni mda gani

Adhuhuri ndio mda ambao waislam wanasali Ile swala ya mchana au Ile swala ya ijumaa hiyo ndio adhuhuri

Kuna Yesu saa 3 yupo msalabani
Na Kuna Yesu mwingine saa 6 yupo mahakamani Kwa pilato

Kuna Yesu amevishwa vazi jekundu
Na Kuna Yesu mwingine amevishwa vazi la zambarau

Kuna Yesu alibeba mwenyewe msalaba wake Hadi fuvu la kichwa Yani Golgatha
Na Kuna Yesu mwingine msalaba wake ulibebwa na Simoni mkereni Hadi fuvu la kichwa Yani Golgatha

Yohana 19:16
Basi ndipo alipomtia mikononi mwao ili asulibiwe; nao wakampokea Yesu.
Yohana 19:17
Akatoka, hali akijichukulia msalaba wake, mpaka mahali paitwapo Fuvu la Kichwa, au kwa Kiebrania, Golgotha.
Yohana 19:18
Wakamsulibisha huko, na wengine wawili pamoja naye, mmoja huku na mmoja huku, na Yesu katikati.

Marko 15:20
Hata wakiisha kumdhihaki, wakamvua lile vazi la rangi ya zambarau, wakamvika mavazi yake mwenyewe; wakamchukua nje ili wamsulibishe.
Marko 15:21
Wakamshurutisha mtu aliyekuwa akipita, akitoka mashamba, Simoni Mkirene, baba yao Iskanda na Rufo, ili auchukue msalaba wake.
Marko 15:22
Wakamleta mpaka mahali paitwapo Golgotha, yaani, Fuvu la kichwa.

Na ndio maana Quran inasema wanaosema Yesu alisurubiwa hawana walijualo wanadhania dhania tu plus DOGMA

Quran 4:157

Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa, mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu, Na hakika walio khitalifiana katika haya wamo katika shaka nayo. Wao hawana ujuzi nayo wowote, ila ni kufuata dhana tu. Wala hawakumuuwa kwa yakini.
Unazidi kujimix tu, ila nipo hapa kuondoa UPOTOSHAJI wako


Biblia haijasema kuna Yesu wawili, bali imetuonyesha picha pana ya matukio ya kusulubiwa kwake.

(1) Kuhusu saa: Marko 15:25 anasema ilikuwa “saa ya tatu” Yesu aliposulubiwa, wakati Yohana 19:14 anasema ilikuwa “saa ya sita” alipokuwa mbele ya Pilato. Hoja hapa sio Yesu wawili, bali ni tofauti ya mifumo ya kuhesabu muda. Wawayahudi walihesabu kuanzia jua kuchomoza (saa ya tatu = saa 9 asubuhi kwa leo), lakini Warumi mara nyingi walihesabu kuanzia usiku (saa ya sita = karibu saa 6 asubuhi). Kwa hiyo, tunapochanganua maandiko, tunaona mtiririko wa matukio ni mmoja: alfajiri kesi inaendelea, na mchana mapema anasulubiwa. Hapa hakuna Yesu wawili, bali ni tafsiri za muda tofauti.

(2) Kuhusu vazi: Mathayo 27:28 anasema Yesu alivikwa “vazi jekundu”, na Yohana 19:2 anasema alivikwa “vazi la zambarau”. Hii siyo Yesu wawili, bali ni vazi moja la kifalme lililo na kivuli cha rangi kati ya nyekundu na zambarau (crimson/purple), na kwa Mashariki ya Kati ya karne ya kwanza rangi hizo zilichanganywa katika majina. Mashahidi wawili wametumia majina tofauti kueleza vazi moja.

(3) Kuhusu kubeba msalaba: Yohana 19:17 anaonyesha Yesu akibeba msalaba wake, na Marko 15:21 anaonyesha Simoni Mkirene akibeba msalaba. Hii pia siyo Yesu wawili. Ukweli ni kwamba Yesu alianza kubeba msalaba wake mwenyewe, lakini kutokana na kuchoka na kupigwa vibaya, askari walimlazimisha Simoni aendelee kubeba. Mashahidi wawili wanaripoti sehemu mbili za tukio moja – hakuna mkanganyiko, ni muendelezo wa simulizi.

Kwa hiyo, madai yako kwamba kuna Yesu wawili ni udanganyifu wa makusudi. Unachukua tafsiri za vipengele tofauti vya simulizi moja na kujaribu kuunda “Yesu wawili” ili kulazimisha Qur’an ionekane sahihi. Lakini Qur’an (Surat An-Nisa 4:157) yenyewe inakiri kuwa “waliokhitilafiana kuhusu Yesu wako katika shaka na wanadhania tu” – yaani inakiri wazi kuwa haina ushahidi bali ni dhana. Biblia, kwa upande mwingine, inatoa ushuhuda wa mashahidi wa macho waliokuwa pale – Marko, Mathayo, na Yohana – kila mmoja akiongeza kipengele cha simulizi hilo.

Kwa hivyo, hakuna Yesu wawili, bali ni Yesu mmoja aliyehukumiwa, akateswa, akavikwa vazi la kifalme la kejeli, akabeba msalaba wake, na kwa uchovu akasaidiwa na Simoni, kisha akasulubiwa kwa ajili ya wokovu wetu. Qur’an iliyoandikwa karne 6 baadaye haiwezi kubatilisha ushuhuda wa mashahidi wa karne ya kwanza waliokuwepo.
 
Al
UONGO WA QUR'AN (3)

7:157 - Ambao kwamba wanamfuata huyo Mtume, Nabii, asiye soma wala kuandika, wanaye mkuta kaandikwa kwao katika Taurati na Injili, anaye waamrisha mema na anawakanya maovu, na anawahalalishia vizuri, na ana waharimishia viovu, na anawaondolea mizigo yao na minyororo iliyo kuwa juu yao. Basi wale walio muamini yeye, na wakamhishimu, na wakamsaidia, na wakaifuata nuru iliyo teremshwa pamoja naye - hao ndio wenye kufanikiwa

ETI MTUME WAO TUNAMKUTA AMEANDIKWA KWETU KATIKA TAURATI NA INJILI


Huu ni uongo usio na soni wa Allah. Kaallah ni kaongo ni balaa. Kameharibu hata wafuasi wake nao wamekuwa waongo hakuna mfano.
Aloooh
 
Dini ya kweli ni kumwamini yesu tu.nimethibitisha hili kwa asilimia 100.
 
Tatizo la Waislamu wanamfananisha Yesu na Isa:

Isa sio Mungu:
Majini hayatolewi kwa jina la Isa:
Isa ni Mwislamu:
 
Tatizo la Waislamu wanamfananisha Yesu na Isa:

Isa sio Mungu:
Majini hayatolewi kwa jina la Isa:
Isa ni Mwislamu:

Wazungu
YEHOSHUA
YE........S...U..
YESU / JESUS

Waarabu
YEHOSHUA
.....H.....S......A
HSA / ISA


Kwahiyo wewe Wazungu jina YEHOSHUA walivyolitamka kama YESU hilo halikusumbui ?

Ila waarabu jina YEHOSHUA walivyolitamka kama ISA hilo ndio linakusumbua ?

Wagalatia mna shida sana
 
Kuhusu kutokana na neno la Allah hata Adam pia katokana na neno hilo je na yeye ni mungu?
Kuhusu hiyo miujiza ni kuwa kila nabii ana miujiza yake
Kuhusu kuitwa Masih hata dajjal kaitwa je na yeye vipi
 
Back
Top Bottom