hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,413
- 26,975
😂😂 UmekimbiaHakuna swali mzigo kule.
😂😂 UmekimbiaHakuna swali mzigo kule.
Niache kuwaamini manabii kuanzia Musa, Mzee yakobo ,Daudi, waliotabiri kufa na kufufuka kwa Yesu Tena kwa usahihi mkubwa nije NIMUAMINI tapeli Muhammad 😂Mwenye macho na aone, mwenye masikio na asikie
QURAN 4: 157-159
157. "Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa, mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu. Nao hawakumuuwa wala hawakumsulubu, bali walifananishiwa tu (wakamuua mtu mwingine). Na hakika walio hitalifiana katika haya wamo katika shaka nayo. Wao hawana ujuzi nayo wowote, ila ni kufuata dhana tu. Wala hawakumuuwa kwa yakini .
158. Bali Mwenyezi Mungu alimnyanyua Kwake, na hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu, Mwenye hekima.
159. Na hakuna yeyote katika watu wa Kitabu (Wakristo na Mayahudi) ila ataamini ukweli huu kuhusu yeye (Isa) wakati wa kifo chake (kabla ya kutoka roho). Naye Siku ya Kiyama atakuwa shahidi juu yao"
😂😂 Umekimbia
Hao wapokeaji walikuwa WALEVI, WANAFIKI, WENGI WALIFIA VITANI ,
Hii inaonyesha Qur’an haikuwa salama kichwani mwao kama mnavyodai vifo vyao vilihatarisha matini ya asili.😂
Baadhi ya Maswahaba waliokuwa sehemu ya wapokeaji walikunywa pombe
📜 Sahih al-Bukhari 5582 na Sahih Muslim 1980
Imepokewa kutoka kwa Anas bin Malik: “Nilikuwa nikimiminia kinywaji kwa Abu Talha, Abu Ubayda bin Jarrah, Ubayy bin Ka’b, Suhayl bin Bayda, na watu wengine. Pombe ilikuwa imeruhusiwa wakati huo, basi wakanywa… kisha Qur’an ikateremsha aya ya kuharamisha pombe.”
Hawa walikua wapokeaji na walimu wa Qur’an, lakini walikuwa walevi kabla ya aya fulani kushuka.😂😂
Hii inaonyesha hawakuwa “watakatifu wasiogusika” kama mnavyojaribu kuonyesha.
Hadith kuhusu Shetani kumtupia Muhammad “aya za Shetani”
📜 Sahih al-Bukhari 4862 na Tafsir al-Tabari (Surat al-Hajj 22:52)
“Mtume alipokuwa akisoma (Qur’an), Shetani alitupa maneno katika ulimi wake…”
Ikiwa Shetani aliweza kuingiza maneno kwenye ulimi wa Muhammad, hoja ya kuwa Qur’an ilihifadhiwa bila kosa inakufa kifo cha mende😂
Ikiwa Qur’an ilihifadhiwa kikamilifu moyoni mwao, kwa nini kifo cha wapokeaji kilileta hofu ya kupotea kwake?
Niliyajibu na kukuuliza maswali yapo kama 10 hukujibu hata mojaSijawahi kumbia sababu sishindani, wewe nenda kamalizie maswali niliyo kuuliza kuhusu Matayo.
Nimekuwekea na Hadith ,halafu unaniuliza Mimi tenaSasa kufa ni jambo baya ? Au kwenu hakuna walio kufa ?
Hao walevi na wanafiki ni kina nani ?
Nimekupa Hadith ,walikuwa waleviKijana mbona huna hoja kabisa ? Jikite kwenye mada usiandike ilimradi tu.
Hadithi inaongelea wakati uliopita, wakati ambao Pombe ilikuwa imerubudiwa. Kipindi ilipo katazwa na wao wakakatazika.
Jenga hoja kijana.
Utaelewa tuSijaelewa hoja yako hapa nini ?
Kwanini usimalizie weweMalizia hayo maelezo usilete uhuni wa kijinga.
😂😂😂Kwahiyo zaburi na Torati zilimshinda kulindaHizo ni hofu za kibinadamu hazihusiani na ahadi ya Allah kuilinda Qur'an.
Maana yake hata kama isingeandikwa na hata kama wangekufa wote walio hifadhi Qur'an, ahadi ya Allah Iko pale pale.
Mwenye macho na aone, mwenye masikio na asikie
QURAN 4: 157-159
157. "Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa, mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu. Nao hawakumuuwa wala hawakumsulubu, bali walifananishiwa tu (wakamuua mtu mwingine). Na hakika walio hitalifiana katika haya wamo katika shaka nayo. Wao hawana ujuzi nayo wowote, ila ni kufuata dhana tu. Wala hawakumuuwa kwa yakini .
158. Bali Mwenyezi Mungu alimnyanyua Kwake, na hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu, Mwenye hekima.
159. Na hakuna yeyote katika watu wa Kitabu (Wakristo na Mayahudi) ila ataamini ukweli huu kuhusu yeye (Isa) wakati wa kifo chake (kabla ya kutoka roho). Naye Siku ya Kiyama atakuwa shahidi juu yao"
Niliyajibu na kukuuliza maswali yapo kama 10 hukujibu hata moja
Nimekuwekea na Hadith ,halafu unaniuliza Mimi tena
Nimekupa Hadith ,walikuwa walevi
Hizo nyingine ni ngonjera tu unaleta
Kwanini usimalizie wewe
😂😂😂Kwahiyo zaburi na Torati zilimshinda kulinda