Does everthing happen for specific reason?????

Does everthing happen for specific reason?????

Aagh! Nashindwa kuchangia coz sijaelewa umelenga mabaya dizaini gani! Kwa mfano:
kuua au kumuumiza mtu?
Kuharibu mali ya mtu?
Uzinzi na ubakaji?
Au mabaya gani hayo?
Kama ni yote... Dah! Swali lako litakua na majibu mengi sana! Pengine hata hukulenga hapo....!
????!

Let say umejaliwa kupata mtoto then ghafla akafariki!!
 
Ukiungua bila kushika moto lazma kuwe na sababu. I mean kitu kilichokuunguza kama vile kemikali. Sijaelewa apart from having sex ulimaanisha nini, lakini 1% ya wanaopata hiv haitokani na sex bali matumizi ya vitu vyenye ncha kali.

Ukiongelea vitu kama ajali na kuangukiwa na nyumba ama mtu, hapo ndipo tunaweza ongelea happening for a reason. Kama mkristo naamini njia yangu ipo, lakini ni lazima nienende kwenye mpango wa Mungu ili niifikie (sio kukataa kusoma for example, ama nisilime nikae kulala afu niseme ni fate). Na ndio hapo sayansi na filosofia vinakuja, fate yako ni function ya preparation na opportunity.

Ila kuna vitu havielezeki kwa nini vipo hivyo na hiyo ni njema kiimani, it makes you human.

Stori nilisoma kitambo. Malaika wawili walisafiri wakalazimika kulala kwa tajiri na kesho yake kwa maskini. Kwa tajiri walikuwa mistreated na kupewa a cold basement to sleep in. Asubuhi malaika mkuu akachukua udongo akazima shimo moja kisha wakaondoka. Kwa maskini wakapishwa hadi na kitanda na kupewa kila huduma. Walipoamka wakakuta ng'ombe pekee wanaemiliki amekufa. Malaika mdogo alipouliza why mambo hayo? Aliambiwa kwa tajiri lile shimo lilikuwa lina vito vya thamani sana. Lakini kwa maskini alikuja ziraili na kutaka kumuua mkewe. So akaambowa tale the cow instead, hawa ni wema.

Sasa pata picha mwanaume maskini aambiwe chagua kati ya ng'ombe na mkewe? Ndo maana tunakuwa encouraged kukubali kila kitu na wakati wake.
Shida inakuja pale ambapo unaweza ukaungua bila kushika moto let say umelala suddenly moto ukawaka na ukaungua, pia kwenye mfano wako wa pili kuna watu wanapata HIV/AIDS apart of having sex.. where is cause and effect on these??
 
Sawa,lakini sababu zenyewe,kila mtu anakuwa na yake,na hapo ndipo upungufu wa mtazamo ulipo...kwamba sababu ya kutokea kwa jambo fulani,sio moja tu,kila mmoja ana uhuru wa kutoa yake...ukweli ni upi?
 
Kwa sababu kudura inafundishwa na watu.

Watu wanafundisha uwepo wa kudura lakini hawajai-define ni nini



]Kudura inajulikana, imeandikwa na watu na mpaka kupewa jina na watu.

kuandikwa habari zake hakumaanishi kujuulikana kwake. Watu wanaandika kuhusu Mungu, wanajua?

Just goes to confirm that the entire "kudura" thing is a farce.Kama haijulikani what's the point of invoking it? Kama haijulikani utajuaje kwamba inashinda jitihada?
Unajuaje hilo bila kuijua kudura kama unavyosema wewe mwenyewe?

Vitabu vinasema

" kuna mambo yapo nje ya uwezo wa mwanadamu" (jitihada haiondoi kudura kwa mambo hayo)

"mwanadamu hana uwezo wa kujua ya ghibu" (binaadamu hawezi kuyajua mambo hayo ni yepi)

Hivyo afanye yote kwa jitihada zake zote ili "aishi kama ataishi duniani milele"

Akizingatia kwamba "kulla shay-in swababa" (kila jambo linalotokea linasababu)

Usiposoma, utafeli

Ukiendekeza ngono zembe, unajiongezea uwekano wa maambukizi

Usipompindua Sultani, ataendelea kukutawala


*Ninachoona "jitihada haiondoi kudura" inatoa moyo kwa wale waliojitahidi lakini bado hawakufanikiwa kwa njia ile. Wajaribu tena
 
Let say umejaliwa kupata mtoto then ghafla akafariki!!

Ahaa! Nimekusoma! Unazungumzia logic ya kifo chake mbeleni na sio kafa coz kagongwa, anaumwa etc.
Hii inategemea imani na mitazamo ya watu!
Mtazamo wangu:- watu husema ni kwa sababu maalum (mbeleni) kama KUJIFARIJI TU!
Hakuna ukweli wowote just embu fikiri kidogo 'kuzaliwa Africa' or 'kuwa masikini' watu husingizia Mungu kapanga kwa faida maalum hapo ni bora kuwa hivyo! Uzushi mtupu!
Just bad luck kama ulivyosema! Hakuna sababu yoyote mbeleni ni imani tu na kuunganisha matukio! Hata mimi naweza kujiliwaza "ningezaliwa ulaya ningekua naekti chonda/sex movies bora nilivyozaliwa huku, Mungu alitambua huku ndio kunanifaa!" simple simple kihivyo tu! Narudia tena HAKUNA SABABU YOYOTE MBELENI INAYOANZA MAANDALIZI KAMA HAYO! Eti asingekufa pengine angekuja kukuua or angekua hatari kwa maisha ya wengine. HAKUNA LOLOTE!
 
Shida inakuja pale ambapo unaweza ukaungua bila kushika moto let say umelala suddenly moto ukawaka na ukaungua, pia kwenye mfano wako wa pili kuna watu wanapata HIV/AIDS apart of having sex.. where is cause and effect on these??

Kwa misingi ya Cause and Effect ya kisayansi utaambiwa "Ukimwi hautokei hewani tu, kuna ulipoupatia (chanzo kipo)"

Tafadhali usichanganye "cause and effect" and "justification and effect"

Mtazamo wa kisayansi hauangalii chanzo in terms of morals or other justifications

Unasema "Ukichanganya damu na mwenye VVU, kuna nafasi ya wewe kupata VVU," haijalishi njia itakayopitia

Hayo ya kutafuta sababu ya iwapo ni haki kwa mtu kupata VVU, kwa njia isiyokuwa ya kujiweka hatarini ndipo imani na dini inapoingia

Umejilinda vya kutosha lakini umepata VVU kupitia ajali ya barabarani wewe ukiwemo kwenye daladala.

Hapo ndo Waswahili hukufariji kwa kukwambia Jitihada haiondoi kudura. Imeandikwa. Kuna sababu maalum
 
Shida inakuja pale ambapo unaweza ukaungua bila kushika moto let say umelala suddenly moto ukawaka na ukaungua, pia kwenye mfano wako wa pili kuna watu wanapata HIV/AIDS apart of having sex.. where is cause and effect on these??

First of all it is not a must for things to happen in a cause and effect order, this is an illusion borne out of a thinking that time is linear and unidirectional, there are cases for a spacetime characterized by effects and causes (as opposed to cause and effect) as well as causeless spontaneity.

Second of all, it is entirely possible for one to be connected to an effect whose cause one is hardly connected to.

Moto kuwaka "suddenly" ni nadra. Kutakuwa na hitilafu ya umeme sehemu, au nyumba imepigwa radi, mtoto kawasha jiko vibaya etc.Kwa hiyo hata kama umeamka na kukuta nyumba inawaka moto tu, bila ya wewe kujua sababu, wewe kutojua sababu haimaanishi moto umewaka bila sababu.

If you get HIV from the barber that is your cause right there.

What constitute a "cause" to you? Must it be your fault? Devastating effects can be caused by causes that are entirely out of ones control.
 
Si kweli.

Si kweli.

Si kweli si kweli.

Funguka pugilist Thabo Mbeki.

I was expecting a rousing Anheuser objection, that of Claudia Koonz quoting fame (although William L. Shirer would have proved better).

Only to be underwhelmed by scantly syllabled broken record like cryptic responses to rival a Tigerman interview and requiring a new version of "Enigma" to decipher.

Pray tell.

Are you well or is the heat and Anheuser combination getting to your periled head?

Whenceforth cometh this fatuous and nugatory, obscure and puzzling prejudice against mere common sense?
 
Watu wanafundisha uwepo wa kudura lakini hawajai-define ni nini

Somo la kwanza katika darasa la kudura ni definition. Kama hawaja i define hawawezi kufundisha. Tunarudi kulekule, it is a farce, a myth perpetuated wittingly or unwittingly, but a myth nevertheless.

kuandikwa habari zake hakumaanishi kujuulikana kwake. Watu wanaandika kuhusu Mungu, wanajua?

Precisely my point. Mungu is another one of those myths.

Vitabu vinasema

" kuna mambo yapo nje ya uwezo wa mwanadamu" (jitihada haiondoi kudura kwa mambo hayo)

"mwanadamu hana uwezo wa kujua ya ghibu" (binaadamu hawezi kuyajua mambo hayo ni yepi)

Hivyo afanye yote kwa jitihada zake zote ili "aishi kama ataishi duniani milele"

Kwa nini afanye jitihada wakati jitihada haizidi kudura? What if hajaandikiwa kujua na anapoteza wakati miaka yote kutaka kujua? Kama kudura trumps all si akae tu atajua kwa kudura maadam kaandikiwa kujua?

Akizingatia kwamba "kulla shay-in swababa" (kila jambo linalotokea linasababu)

Na sababu yake sababu yake nini? At some point sababu zitaisha.

In "A Brief History of Time" Hawkings was talking about a Bertrand Russell lecture. So this old lady came to the lecture and interrupted some scientific explanation on the cosmos, saying that the science explained was wrong, and that the ancient pre-Ptolemist view that the world rested on an elephant who was supported by a tortoise was correct.

So Lord Russell then asked, what was the tortoise resting upon?

The old lady replied "It's tortoises all the way down".

You are risking turning into the quagmire of an "it's tortoises all the way down" non-argument here.

Usiposoma, utafeli

Ukiendekeza ngono zembe, unajiongezea uwekano wa maambukizi

Usipompindua Sultani, ataendelea kukutawala

This is hardly kudura, this is cause and effect.


*Ninachoona "jitihada haiondoi kudura" inatoa moyo kwa wale waliojitahidi lakini bado hawakufanikiwa kwa njia ile. Wajaribu tena

Jitihada haiondoi kudura, far from kuwatia moyo wale waliojitahidi na kufeli wajitahidi tena, inawaambia hata wale ambao hawajajitahidi mara ya kwanza wasijitahidi, kwa maana kama wamejaliwa kudra, watafanikiwa kwa kudra tu, jititihada haitawafaidisha kama hawajajaliwa kudra hata wajitahidi vipi.
 
Somo la kwanza katika darasa la kudura ni definition. Kama hawaja i define hawawezi kufundisha. Tunarudi kulekule, it is a farce, a myth perpetuated wittingly or unwittingly, but a myth nevertheless.

Somo la kwanza katika darasa la kudura la wapi?

Darasa la kudura linasema kudura ni yale mambo ambayo mwanaadamu hana uwezo wa kuya-control. Si mambo yote. Na mambo hayo mwanaadamu hana uwezo wa kuyajua kwa sababu hawezi kujua ya ghaibu.

Finito.

Precisely my point. Mungu is another one of those myths.
Kutukujua kuhusu jambo haimaanishi kuwa jambo hilo halipo.

Kwa nini afanye jitihada wakati jitihada haizidi kudura? What if hajaandikiwa kujua na anapoteza wakati miaka yote kutaka kujua? Kama kudura trumps all si akae tu atajua kwa kudura maadam kaandikiwa kujua?
Afanye jitihada ya kujua kwa sababu ameambiwa "Soma"

Ameambiwa "Kila mja ni wajibu kutafuta elimu"

Ameambiwa "Anaejitahidi atafanikiwa"

Ameambiwa " Ishi duniani kama unataka kuishi milele"

Kwa hiyo hana jinsi, bali kujitahidi. To make the most of his life while still living

Hawezi kukaa kusubiri kudura kwa sababu hajui kudura ni ipi.

Na sababu yake sababu yake nini? At some point sababu zitaisha
...........
This is hardly kudura, this is cause and effect.

Ndio, hiyo ni cause and effect sio kudura

Kila jambo lina sababu (cause and effect)

lakini yale ambayo yanatokea by "causeless spontaneity" - kuazima maneno yako - ndio hayo ya kudura

Jitihada haiondoi kudura, far from kuwatia moyo wale waliojitahidi na kufeli wajitahidi tena, inawaambia hata wale ambao hawajajitahidi mara ya kwanza wasijitahidi, kwa maana kama wamejaliwa kudra, watafanikiwa kwa kudra tu, jititihada haitawafaidisha kama hawajajaliwa kudra hata wajitahidi vipi.

Only in a pessimistic view, isiyojua background ya kudra

Ukae usubiri kudra ufanikiwe ulijuaje kama kudra yako ni hiyo?

Hivyo, anaeelewa maana ya kudra hawezi kukaa na kusubiri mafanikio. Kwa sababu huo sio msingi wala maana ya kudra
 
Somo la kwanza katika darasa la kudura la wapi?

Darasa lolote la maana la kudura.

Darasa la kudura linasema kudura ni yale mambo ambayo mwanaadamu hana uwezo wa kuya-control.

So kudura ina definition after all? I thought you said haijulikani?

Mwanadamu atajuaje mambo gani ana uwezo wa kuya control na yapi hana?

Si mambo yote. Na mambo hayo mwanaadamu hana uwezo wa kuyajua kwa sababu hawezi kujua ya ghaibu.

Umejuaje kwamba hawezi kuyajua?


Hardly.

Kutukujua kuhusu jambo haimaanishi kuwa jambo hilo halipo.

Na hakumaanishi kwamba lipo.

Afanye jitihada ya kujua kwa sababu ameambiwa "Soma"

Asome ili iweje na kudura trumps effort?

Ameambiwa "Kila mja ni wajibu kutafuta elimu"

Hata kama yule ambaye hajapewa neema ya kudura atajihangaisha tu kwa kutafuta elimu?

Ameambiwa "Anaejitahidi atafanikiwa"

So kudura does not trump effort after all.

Ameambiwa " Ishi duniani kama unataka kuishi milele"

That would be clingy and environmentally irresponsible, not to mention cruel to those who did not receive the grace of a long life.

Kwa hiyo hana jinsi, bali kujitahidi. To make the most of his life while still living

Ajitahidi ili iweje wakati kudura inafuta jitihada zote?

Hawezi kukaa kusubiri kudura kwa sababu hajui kudura ni ipi.

Na huwezi kujitahidi tu kwa sababu jitihada zako zote zinaweza kufutwa na kudura.


Ndio, hiyo ni cause and effect sio kudura

So kudura is not all that is cracked up to be.

Kila jambo lina sababu (cause and effect)

Kama hujui kila jambo kusema hivi ni arrogant intellectual dishonesty.

lakini yale ambayo yanatokea by "causeless spontaneity" - kuazima maneno yako - ndio hayo ya kudura

This contradicts "kila jambo lina sababu" as posited above.

Only in a pessimistic view, isiyojua background ya kudra

The very concept of kudura is pessimistic itself, so you cannot blame anyone pointing out it's pessimism as being pessimistic.

Ukae usubiri kudra ufanikiwe ulijuaje kama kudra yako ni hiyo?

Ujitahidi ulijuaje kwamba kudra yako itakupa matunda katika jitihada hiyo?

Hivyo, anaeelewa maana ya kudra hawezi kukaa na kusubiri mafanikio. Kwa sababu huo sio msingi wala maana ya kudra

Na wala hawezi kufanya jitihada, maana hajui kama jitihada zake zitaendana na kudra alizojaliwa.

You cannot base an ontological argument on the base of classical mythologies.
 
I shun absolutism as being mental arrogance, so naturally anything that talks about "everything" is suspect.

I would like to look at things in context.

The notion of cause and effect, at the fundamental fabric of spacetime at least, does not exist as a reality (the double slit experiment established the probabilistic nature of quantum phenomena a long time ago).Therefore, it is an illusion borne out of the poverty of the limited experience of our scale of the universe.

Now of course everything is in context, a lot of things happen for a reason.If you touch fire you will burn, there is cause and effect there.

If you sleep around without protection in an HIV ridden population, you will get HIV.

There is cause and effect there.

But break things down to a sufficiently low level scale of the universe, everything becomes probabilistic and causality breaks down, because time after all is not real, but a deep illusion.
Only cause can be probabilistic, but effect is always real though not actual; control cause and you'd have eliminated the element of uncertainty and therefore make the effect actual. Every person is a drifter in the sea of life (probabilistic nature of life) as long as he is not behaving in manners which adjusts tomorrow's events to occur to his own advantage. Unavuna usichotaraji kwa kuwa husimamii upandaji.
 
Only cause can be probabilistic, but effect is always real though not actual; control cause and you'd have eliminated the element of uncertainty and therefore make the effect actual. Every person is a drifter in the sea of life (probabilistic nature of life) as long as he is not behaving in manners which adjusts tomorrow's events to occur to his own advantage. Unavuna usichotaraji kwa kuwa husimamii upandaji.

What level of granularity are you referring to?

The entire concept of the centrality of cause and effect is rooted in the prejudiced absolutism that time is absolute and unidirectional. Einstein has demonstrated that it is not so about a hundred years ago. Sir Arthur Eddington verified experimentally in 1919 and ever since all the attempts to disprove this have proved futile.

If you can't even guarantee a unidirectional timeline as being absolute and universal, then cause and effect cannot be universal as it is rooted in a unidirectional timeline.

Again, context is king. You could conceivably argue for cause and effect at some illusive midscale level of the universe that is biased to some egotistic anthropic origin, but this could hardly claim to address the issue exhaustively and capture the fundaments of the matter.
 
Darasa lolote la maana la kudura.

So kudura ina definition after all? I thought you said haijulikani?
Nilikwisha kupa definition hiyo ya kudura, na bado ukauliza, nikajua labda hiyo huitaki.

Mwanadamu atajuaje mambo gani ana uwezo wa kuya control na yapi hana?

Umejuaje kwamba hawezi kuyajua?

Mwanadamu hajui mambo gani anaweza kuya control na mambo gani hawezi

Hawezi kwa sababu maandiko hayo hayo yaliyomwambia kuwa kuna kudura ndio hayo hayo yaliyomwambia asihangaike kuyatafuta ni mambo gani kwa sababu hana uwezo wa kuyajua


Hutaki kuwa hapo ndio mwisho wa definition ya kudura?

Basi tuongezee wewe

🙂

Asome ili iweje na kudura trumps effort?
Asome kwa sababu hajui kudra iko wapi.

Asome kwa sababu keshaambiwa mambo yanayokwenda kwa kudra ni machache, hivyo probability ya efforts zake kuzidiwa na kudra ni ndogo


So kudura does not trump effort after all.

Kwa masuala ambayo sio miongoni mwa kudra.


That would be clingy and environmentally irresponsible,
Kutaka kuishi duniani milele, kumehusu na nini na kuwa irresponsible kwa mazingira?

Badala yake, kutamfanya mtu apende kutunza mazingira, kwa sababu atakaa kwenye mazingira hayo maisha yake yote.

....not to mention cruel to those who did not receive the grace of a long life.

Did not receive grace from whom?


So kudura is not all that is cracked up to be.

Bila ya shaka yoyote. Kudura haihusu mambo yote. Ni mambo machache tu.

Yaliyobaki yanakwenda kwa cause and effect ya jithada zako


This contradicts "kila jambo lina sababu" as posited above.

Not at all.

Kila jambo lina sababu. Mengine sababu yake ni kudra
 
Dude feels like being anti-pope.

Futility is right, the premise of the question is a futile myopic concept that one has to write to an audience, and that that auience must be understood and catered to, which in itself is a hindrance to expression and guaranteed to cut off others.

Say for example, one objects to my writing in English, if that indeed is what is bing objected to here.

There are concepts that do not have proper words in Swahili. There are concepts I do not know how to express myself about properly in Swahili. There are people who do not understand Swahili properly following this thread. So why should I limit myself with concerns that are futile anyway?

What else? The predilection to defer to the etreme minuscule in understanding the universe, there are valid arguments that the miniscule provide a window to reality that is distorted in our large scale observation. It follows then, when this window is exposed responsibly and with painstaking caveats to allow for context as done above, there is an opportunity to learn that absolutism is illusive and should be taken in context.

I am failing to see a serious critique, aside from the obvious garden variety proclivity for some members to self-appoint themselves as the anti-pope.

Those who would understand, wouldn't want me to budge.

And those who want me to budge, wouldn't understand even if I shifted a whole continent.

saramu zifwiikee kwa Rutalimwa, Rugashoobya., Rutaliigwa, Rutaliwawa,Rutahiigwa,,,,,,,,,, ritotov renu rinaandika kama riko manhatani kwa Obwamaaaa
 
1. Atakayeelewa.
2. Ambaye hataelewa lakini ana uwezo wa kuelewa na kuuliza asipoelewa aeleweshwe.
3. Posterity. Future digital archaeologists wasije kushangaa forum nzima ya Watanzania hakuna hata mmoja aliyeenda Planckscale on a post.

Definitely not for the timid and pale.Neither the mentally frail.

This is interesting. Kiranga's reply is one of the best I have ever read in JF. When all is considered there is nothing but four forces: Gravity, Electromagnetic, Strong Nuclear and the Weak Force. Hence on the Planck scale we have quantum phenomena, and at high speed we have relativistic effects which are not normally experienced. And then statistical effects and probability. And then, wave-particle duality. Watanzania inabidi tubadilike!!!
 
What level of granularity are you referring to?

The entire concept of the centrality of cause and effect is rooted in the prejudiced absolutism that time is absolute and unidirectional. Einstein has demonstrated that it is not so about a hundred years ago. Sir Arthur Eddington verified experimentally in 1919 and ever since all the attempts to disprove this have proved futile.

If you can't even guarantee a unidirectional timeline as being absolute and universal, then cause and effect cannot be universal as it is rooted in a unidirectional timeline.

Again, context is king. You could conceivably argue for cause and effect at some illusive midscale level of the universe that is biased to some egotistic anthropic origin, but this could hardly claim to address the issue exhaustively and capture the fundamentals of the matter.
You are simply obsessed by Einstein's theory of relativity without actually grasping the underlying principles of the same. Are you aware that an effect can occur even before its cause? that a glass window can be seen shattering before the bullet which breaks it is fired? that someone can travel at such a speed which would make red lights appear green? Here we are trying to connect thories with real life to explain life itself instead of dealing with the same in obscurity
 
Back
Top Bottom