jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 19,103
- 35,920
Kwini point manchukulia marekani na uingerexa..mbona hamsemi kwa wahindi..wachina ama waarabu kama kuna waafirka kwenye serikali zao au majeshi yao.Sisi ni wabaguzi kuliko ubaguzi wenyewe, tunataka wenzetu wakienda nje wapewe nafasi ila sisi ni kero.
Kuna wanajeshi wangapi kwenye jeshi la marekani na uingereza tena wengine ni watanzania tu.
Utasikia mayor mwafrika marekani tena origin yao from somalia.
Obama kawa raisi wa marekani waafrika wakashangilia.
Zungu mtoto wa ilala, japo mimi sijawahi kumkubali ila kutomkubali kwangu si kwa msingi wa race yake.
#MaendeleoHayanaChama