Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,774
- 93,545
Mbele mlo?Haitapendeza kuwa chini ya yule binti!
Mbele mlo?Haitapendeza kuwa chini ya yule binti!
ZAkafute tozo alizoshirikiana na madelu na hangaya kuzipigia upatu, hadi wakamuingiza chaka ndugai naye akaanza kutoa povu kutetea tozo. Leo hii ndugai wamekula kichwa pamoja na kuwasaidia kutetea tozo.
Tunajipendekeza sana kwa hawa magabachori utadhani babu zetu walikua wana watreat right..kumbe washe..zi tu hawa.Hivi Waafrika wakienda India wanaweza kupata hata ujumbe wa nyumba kumi.??
Wema wa waafrika ni kitanzi kwao.
Rasilimali za Afrika zinaliwa na wageni!!
Remi Ongala aliwahi kuimba ""Wemaaa ,wemaaaaa, wemaaa mmmm#** nyuku !!""
Wale wanajua jinsi ya kuwatumia foreigners..sio hapa bongo shamba la bibi.Uingereza waziri wa mambo ya ndani na usalama wa taifa ni muhindi
Zungu sio mwarabu wa asilimia zote mia, atakuwa kachanganya damu. Ni mtoto wa ilala.Naomba niipongeze CCM kumpa ugombea Unaibu Spika Zungu
Nyerere aliweka watanzania wenzetu ngozi nyeupe uwaziri mfano Mzungu Dr string sijui kama spelling ziko sawa alipewa uwaziri wa Afya na mhindi Amir Jamal alimpa uwaziri wa fedha
Mkuu wa Polisi mkoa wa Kagera aluyeuawa na Idd Amin alikuwa mjerumani mtanzania Hans Pope
Nashukuru mwenyekiti CCM na kamati yako kumteua Zungu ngozi nyeupe kuwa naibu spika
Naomba kwenye teuzi zako wakumbuke wahindi ,waarabu na wazungu nafasi kubwa ni watanzania wenzetu wanachangia mno uchumi wa nchi na hii ni nchi yao
Wahindi,waarabu na wazungu wako kibao lakini mwisho wa teuzi zao nafasi kubwa ilikuwa mwisho kipindi cha Nyerere sio fair rekebisha nakuomba
Ila umeanza vizuri Ngozi nyeupe nao waingie nafasi kubwa
Naomba unikoshe roho hata kumpa mhindi mmoja tu ukuu wa mkoa au cheo chochote
CDM wana kula rushwa kabla hata hawajaingia ikulu, wanaendekeza nepotism wakiwa upinzani jiulize wakipewa nchi hali itakuwaje.Hongera Mh Zungu kwa kuteuliwa na CCM nafasi ya naibu spika na obvious kuwa naibu spika. Binafsi namwona Zungu the best candidate katika kapu la wana ccm wote. Mimi siioni ngozi yake kama wasio na hoja wanavyojichanganya. Tuone utendaji wake na uwezo wa kiuongozi alio nao na political maturity yake. Zungu mzee wangu ni mla rushwa (tuliona clip zake humu wakati wa uchaguzi 2020 akigawa rushwa kwa wapiga kura ili achaguliwe) lakini kwa kuwa rushwa kwa wana CCM sio sifa mbaya tena inayomwondolea sifa mtu kuchaguliwa haidhuru tuliache. Zungu atakuwa msaada mkubwa kwa muhimilli huu (japo ni jina tu) na msaada kwa Dr Tulia. Zungu ni mzoefu bungeni, anaweza control wabunge na mijadala, na ataweza kazi ya kui protect serikali. Uzoefu wake kama Mwenyekiti wa Bunge utamsaidia. Anajua kuchimmba bit ikibidi na anajiamini. Pia ana maneno ya uswahili uswahili hivyo ataendana na serikali ya sasa ya kuupinga mwingi. Muhimu pia muhimili una geographical , religion na gender balance. Mh Zungu katende haki. Kwa umri wako ndilo jambo kuu kwako, familia na Mungu. Tumpeni support.
Akatupitishie tozo vizuri au sioNampongeza sana Zungu hongera sana mbunge wangu you deserve
Sisi ni wabaguzi kuliko ubaguzi wenyewe, tunataka wenzetu wakienda nje wapewe nafasi ila sisi ni kero.Hivi Waafrika wakienda India wanaweza kupata hata ujumbe wa nyumba kumi.??
Wema wa waafrika ni kitanzi kwao.
Rasilimali za Afrika zinaliwa na wageni!!
Remi Ongala aliwahi kuimba ""Wemaaa ,wemaaaaa, wemaaa mmmm#** nyuku !!""
Acheni ubaguzi. Huyu ni mtanzania na ana haki zote kama mtanzania. Tusibaguane kwa rangi, dini wala kabila.Hivi Waafrika wakienda India wanaweza kupata hata ujumbe wa nyumba kumi.??
Wema wa waafrika ni kitanzi kwao.
Rasilimali za Afrika zinaliwa na wageni!!
Remi Ongala aliwahi kuimba ""Wemaaa ,wemaaaaa, wemaaa mmmm#** nyuku !!""
😂😂Manina
Cv za nini hapa bwashee, ina maana hujui kuwa Zungu ni sawa na Bashite?Mwenye anajua elimu ya Zungu aiweke hapa.
Umeelewa nilichoandika au unawaza kipopoma?Acha mfumo dume! Katika utendaji jinsia haina nafasi, wewe mbona upo chini ya rais wakike?
Unayajua MASLAHI ya kifedha ya naibu spika!Huyu na uzee wote huo anaenda kuwa chini ya Tulia?.
Sio ubaguzi ni hali halisi.Acheni ubaguzi. Huyu ni mtanzania na ana haki zote kama mtanzania. Tusibaguane kwa rangi, dini wala kabila.
Imepita hiyo zungu ndiye naibu spika
Sio ubaguzi ni hali halisi.Acheni ubaguzi. Huyu ni mtanzania na ana haki zote kama mtanzania. Tusibaguane kwa rangi, dini wala kabila.
Imepita hiyo zungu ndiye naibu spika