pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,636
- 6,261
Halmashauri ya jiji la Dodoma mwaka Jana robo kama hii ilikuwa ya kwanza Kwa ukusanyaji Kati ya majiji yote, mwaka huu yawa ya mwisho. Na kimkoa yawa ya pili toka chini, kulikoni?
Nini kimeshusha mapato kiasi hicho? Je wawekezaji wameondoka?
Hata viwanja bei imeshuka kulikoni?
Msigwa Kesho alitolee ufafanuzi.
Nini kimeshusha mapato kiasi hicho? Je wawekezaji wameondoka?
Hata viwanja bei imeshuka kulikoni?
Msigwa Kesho alitolee ufafanuzi.