Sam bm
JF-Expert Member
- Oct 25, 2017
- 285
- 195
Umekariri kodi za wananchiwanatumia kodi za wananchi hahaha
Umekariri kodi za wananchiwanatumia kodi za wananchi hahaha
Kwani leo c Jumatatu ck ya kazi au kwa sherehe za ccm kuonesha cio issue lakini kwa bunge ndio issue kuna jambo hapo lakini poa.Boniface Kichonge
Wako laivu wanaonesha nini ama kuna jambo gani, tufafanulie!
Mbona kama vile umepaniki?Hujalazimishwa kutazama
nimekariri kila kitu achilia mbali kodi kwani unadhani ccm inatoa wapi pesa zaidi ya kutuibia cc wananchi ccm ni wezi wezi weziUmekariri kodi za wananchi
Tumia akili kufikiri, eti wakae ofisin kutatua kero,? watendaji wamebaki ofisin walioko kwenye mkutano ni wanasiasahuu ni muda wa kazi, Ni vizuri hiko kikao wangekiwafanya 9/12/2017 maana haikuwa siku ya kazi au wangekifanya siku za holiday kama jumapili na jumamosi. Uzalendo ni kufanya kazi kwa bidii na sio kukaa kwenye TV na kuangalia matangazo live ya chama cha siasa tena yakihusisha viongozi wakubwa wakubwa ambao walipaswa kuwepo ofisini kutatua kero zetu..
asidanganye kura zao zilitoka polisi watanzania hatuwaungi mkono hata kidogoWadau,
Matangazo Mubashara kupitia ITV na TBC kutoka Ukumbi wa Jakaya Kikwete
Karibuni.
Viva CCM
Viva JPM
Mwenyekiti wa CCM tayari ameshawasili kwenye Mkutano
*Wageni maarufu;
*Wake wa Viongozi wastaafu
Mama Maria Nyerere
Mama Sitti Mwinyi
Mama Khadija Mwinyi
Mama Fatuma Karume
Mama Salma Kikwete
* Marais wastaafu wote wamehudhuria
* Mawaziri wakuu wastaafu wapo
* Augustino Mrema na John Cheyo
Wajumbe waliohudhuria 1,871
JPM sasa anazungumza Na Wajumbe waMkutano
Ushindi uchaguzi wa madiwani unatokana na kuungwa mkono na watanzania wengi nchi nzima, CCM inatekeleza kwa vitendo ilani ya uchaguzi na umoja uliopo kwa Wana CCM.
View attachment 653409
View attachment 653410
Yaani nikiona post yako, huwa nafikiria kimo chako tu! Sijui una urefu gani? Yaani namaanisha toka unyayo hadi utosi ni cm ngapi?Chadema wana hara na kutapika huko waliko
si ndio mlivyofanya terati arusha kituo kinawapiga kura 108 cha ajabu ccm inapata kura 365Hizo hesabu zinapatikana ufipa tu sio CCM chenye watu makini
Usiwadhalilishe Kaole Mkuu, hawa ni Lumumba sanaa group, chini ya udhamini wa Le Mutuz, Papa Bashite na inaletwa kwenu na mtangazaji wenu mahiri msema chochote, Jeri Muroho!!!Hawa jamaa ndio yale ya mtu anaandika ukutani "usikojoe hapa" akimaliza yeye ana k&nya kabisa!
Kelele nyingi kuzima bunge ambalo ni la muhimu halafu yao ya KAOLE wanaona sawa!
Kwani huko chadema huwa mnafanya nini?Hivi jamaa wanamchagua au wanampitisha mwenyekiti maana unachaguaje mtu anaewania kitu na yupo peke yake...