Hvyo vishindo huwa vinamsaidia nani???Namuombea kura za NDIO , Rais Magufuli , Dr Shein na Mzee Mangula ,
Washinde kwa kishindo
Kidumu chama cha mapinduzi
View attachment 653405
HAHAHA HAKUNA CHA VIVA WALA MAKANYAGIO...
TUNAHITAJI VIWANDA, ELIMU, AJIRA, SIO MAMBO YA KUJIPIGIA PROMO KAMA KINA DIAMOND WAKITOA NYIMBO MPYA!!!
KITU PEKEE WATANZANIA TUNAHITAJI NI MAENDELEO,
MUDA HUU WA KAZI WATU TUPO KAZINI MPO KWENYE TV MNAHUBIRI KITU GANI ?WAKATI MNASISITIZA TUFANYE KAZI NYIE VIPI?..........HII SIYO KAZI TULIYOWAPA KAZI NI KUTUPATIA KAZI NA KUBADILISHA MAMBO HAYA YALIYOPO AMBAYO CHANZO NI NYIE NYIE MAFISIEM
Huku ni mvinyo tu balimi hatunaLeo sijui atatamka nini kinywani kwake,
Naomba wasimpe balimi asubuhi hii!!
Balimi atakua kaamka nazo... asiongezee ile chakula ya Tarime...Leo sijui atatamka nini kinywani kwake,
Naomba wasimpe balimi asubuhi hii!!
Hawa jamaa ndio yale ya mtu anaandika ukutani "usikojoe hapa" akimaliza yeye ana k&nya kabisa!Huu ni muda wa kazi, si ruhusa kuangalia matangazoo ya moja kwa moja. Tafadhali wakumbushe wasisahau jambo hilo ni muhimu saaaana
Vinawasaidia watanzania wanyongeHvyo vishindo huwa vinamsaidia nani???
Makamanda CCM chama kubwa...pole zenuHizo ndio akili maandazi
CCM ni chama au serikali? Nilisikia watu wanasema kuwa hakuna mikutano wala nini mpaka 2020. Mwenzetu vipi Noah umepewa nini maana naona kila siku huachi taarabu za viva.Wadau,
M
Matangazo Mubashara kupitia ITV na TBC kutoka Ukumbi wa Jakaya Kikwete
Karibuni.
Viva CCM
Viva JPM
Kaole Sanaa Group ya kuchagua Kivuli Vs MtuKAOLE
Tena subiri utasikia maajabu Leo.Kaole Sanaa Group ya kuchagua Kivuli Vs Mtu
Hizo hesabu zinapatikana ufipa tu sio CCM chenye watu makiniTena subiri utasikia maajabu Leo.
Kura zilizopigwa: 1550
Kura zilizoharibika: 7
Kura za hapana: 0
Kura za Ndio: 1790
Ushindi ni 138%.
Magu oyee!
Hawa jamaa bhana kisha wakiondoka hapo wataachwa bila hata nauli ya kurudia makwao...Tena subiri utasikia maajabu Leo.
Kura zilizopigwa: 1550
Kura zilizoharibika: 7
Kura za hapana: 0
Kura za Ndio: 1790
Ushindi ni 138%.
Magu oyee!
Tena subiri utasikia maajabu Leo.
Kura zilizopigwa: 1550
Kura zilizoharibika: 7
Kura za hapana: 0
Kura za Ndio: 1790
Ushindi ni 138%.
Magu oyee!
Hujalazimishwa kutazamaKindly tell them tuko ofisini tunafanya kazi, werekodi kisha watuonyeshe kuanzia saa nne usiku... au leo ni Public holiday?? Wasitufanye wote ni viazi