Mbaya Sana Yaani Kama Viongozi Hawapo
Na hao ni wachagga?Poleni wafiwa!
Wachagga gani?Na hao ni wachagga?
Wanasemaga wachagga tu ndio wanauanaWachagga gani?
Kwani Dodoma hakuna wachagga?Wanasemaga wachagga tu ndio wanauana
Ndio nimeuliza na hao waliohusika ni wachagga? Sijasema Dodoma hakuna wachagga bwasheeKwani Dodoma hakuna wachagga?
Chagga ni spirit siyo kabila bwashee!
Watakuwa ni wachagga wanaolima Zabibu kule Bahi bwashee!Ndio nimeuliza na hao waliohusika ni wachagga? Sijasema Dodoma hakuna wachagga bwashee
Basi nawapongeza kwa kazi nzuri waliyoifanya....Watakuwa ni wachagga wanaolima Zabibu kule Bahi bwashee!
Ukatili huu. Tunaelekea wapi lakini?Ndio hiyo familia imeisha yote
Hata kama ni Mungu kweli muuwe mama baba watoto na mjukuuuMauaji yanazidi kwa kasi sana...ndugu zangu tumrudieni Mwenyezi Mungu ili tuwe na upendo. Kwa sasa upendo umekwisha baina yetu, bila Mungu hatuwezi kutatua hili swala!. Eeeh Mwenyezi Mungu tuokoe waja wako..
Yupo mchambawima ana majike mengine.Chui dume yu wapi??!!
Yaani hapo makao makuu hawajampa u chief Mazengo?Huyu kuna siku atasema ijengwe ikulu ya raisi wa machifu.mikoa miwili sasa amaimaliza.nasikia mkoa unaofata ni kagera
#chifu hangaya
#chifu chui jike manka.
Bukoba naskia watamuita ,
#chifu kokubanza
Ndo rais tuliyepata karuhusu mbuzi wakate kamba ila wasivimbiwe!
Yule siyo chui, ni nyumbu.Si yule aliyembambikia kesi ya ugaidi, a.k.a kesi ya mchongo. Yupo Segerea.