Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 4,785
- 11,216
Acheni kudhurumu mali za watu jamaani..
Yupo wasafiChui dume yu wapi??!!
alimaanisha female lion(lioness) au ndohivohivo kwakua alivalishwa ngozi ya chui siku anabatizwa kupewa uchifu
Mkuu hatuna mtu hapa na haya ndiyo matokeo ya kuweka mtu kwa majaribio, ila mwenyewe anavyojikubali na kujiona anapiga kazi ya ukweli huwa naishia kucheka tuUkiwa mjinga ukamwona kwenye picha au kwenye TV alivyovaa miwani safi unaweza kufikiri kuwa nchi ina Rais👇🤡🤡🤡View attachment 2092437
Hauna akili za rohoni, unatumia kichwa tu.Watu waelimishwe tu, hamna cha maombi hapo, kitafutwe chanzo cha mauaji, tatizo mnachagua aina ya ukatili na watu wanaofanyiwa, mf. Ukatili unasemwa dhidi ya wanasiasa hamkemei wala hamna maombi, kumbe ndio mnapanda mbegu ya chuki na ukatili!
Utakuwa na roho ya mapepo, kuchagua aina ya ukatili, bure kabisa!hauna akili za rohoni, unatumia kichwa tu.
Mkuu jambo jema sana ni kwamba nchi ikimshinda mtu dalili zake huwa ni kama mimba,huwezi ficha.Mkuu hatuna mtu hapa na haya ndiyo matokeo ya kuweka mtu kwa majaribio, ila mwenyewe anavyojikubali na kujiona anapiga kazi ya ukweli huwa naishia kucheka tu
Ndio uue watano
Magufuli will live forever.Mungu analipiza damu mliyomwaga kwa kiongozi mkuu wa nchi bila hatia
Mbona hiyo picha haina uhusiano na habari hiyo? imetumika mwaka 2016 hapa chiniView attachment 2092348
Watu watano wa familia moja wameuawa na watu wasiojulikana katika eneo la Zanka wilayani Bahi mkoani Dodoma.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Onesmo Lyanga amethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambapo amebainisha kuwa Jeshi hilo linaendelea na uchunguzi juu ya tukio hilo.
Chanzo: Radio One
Mwanamke naye ni mali ya mtu?Acheni kudhurumu mali za watu jamaani..
Uwezekano ni Visasi ndani ya Jamii.
Viongozi wa Kiimani hawafanyi kazi zao vya kutosha, wamewaachia Waganga wa Kienyeji kuendesha Jamii huku wao wamejikita kwenye kuhimiza UTOAJI wa sada
Kwani Rayvanny anasemaje?
Ndio hiyo familia imeisha yotePole kwa familia.
Kuna ukweli hapoUwezekano ni Visasi ndani ya Jamii.
Viongozi wa Kiimani hawafanyi kazi zao vya kutosha, wamewaachia Waganga wa Kienyeji kuendesha Jamii huku wao wamejikita kwenye kuhimiza UTOAJI wa sadaka.