Hii ni aibu kubwa kwa Jeshi la Polisi. Tukio la jinai kama hilo Leo miaka mitatu wako ofisini wanasubiri mtu kwenda kutoa maelezo? Duh!thetallest, Sasa hapo kuna kiki gan mkuu? Yeye kaenda polisi ili wamuhoji ambapo polisi walisema hatoi ushirikiano yeye kaleta ushirikiano wewe unasema anataka kiki
Ulipaswa kumpongeza mkuu kwa ushirikiano wake wa polisi maana wale polisi iliyowaita wasiojulikana sasa inabidi wajulikane maana ushirikiano kwa pande zote mbili sasa unapatikana