Hakainde
JF-Expert Member
- Jul 30, 2020
- 2,401
- 2,857
Kwanini 😄😄
Kalifuata au kaenda kuliangalia?!
Je, kesi itakuwa ikiunguruma wakati nani ni mshitakiwa/ washitakiwa?Niwape pongezi serikali yangu kwa weledi wanaoonyesha
Kesi ya Tundu itaunguruma muda sio mrefu kwa kadri ya taratibu za kisheria, na hapo ndio atapata haki yake na dunia kujua ukweli wa kila kitu.
Hahahah huyu mgonjwa amekuwa kitukp kweli sasa kajipeleka ana shangaa hawajamuhoji wakati hakuwepo na alisha sema kuwa wao ndio walimshambulia sasa sijui anataka wamuhoji nini wakati majibu anayo mkononi hahahaha mgonjwa bwana
umejuaje!!! 😂😂😂😂T.A LISSU dishi limeyumba
Hahahah huyu mgonjwa amekuwa kitukp kweli sasa kajipeleka ana shangaa hawajamuhoji wakati hakuwepo na alisha sema kuwa wao ndio walimshambulia sasa sijui anataka wamuhoji nini wakati majibu anayo mkononi hahahaha mgonjwa bwana
Hawezi kulifuata kwasababu uchunguzi bado, na insurance italipa hivyo hawezi kulichukua pia kwa sasa.Both of them
HahahahUnaambiwa Murotto alitaka kutokea dirishani lakini imeshindikana .
Ukifuatilia baba au mama yako yupo mahututi na bado huwaoni kuwa wagonjwa.Hahahah huyu mgonjwa amekuwa kitukp kweli sasa kajipeleka ana shangaa hawajamuhoji wakati hakuwepo na alisha sema kuwa wao ndio walimshambulia sasa sijui anataka wamuhoji nini wakati majibu anayo mkononi hahahaha mgonjwa bwana
Kila kitengo hujiendesha Kwa kanuni na taratibu zake, haiwezekani mtu kutoka anakokujua Yeye atake matakwa yake Yeye yafuatwe!! Utakuwa upumbavu
Walisema wanamtafuta...kaenda mwenyewe sasaKwanini