Dodoma: Mmiliki wa Shule na Mkurugenzi Islamic Foundation akutwa ameuawa kinyama ofisini kwake

Status
Not open for further replies.
Sidhani km udini ni sababu,
Jukumu la mke ni kujua mumewe ameshindaje,ameshatoka kazini,amefika sehem husika na hata muda wa kulala utambue mumeo analala.
Uloyasema hapo ni wale wanawake wa kusema Mimi nu mke huyo Mume ataenda na atarudi mwenye.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MAUBIG,
Ina maana huyu Mkurugenzi tukio limemkuta Dar akapelekwa Dodoma akiwa mzima? Au hata Dar hakufika kumwakilisha Shekh wa Dodoma mbona inachanganya hii. Kwa kweli Polisi wana kazi ngumu sana.
Kwa mujibu wa kijana wake alikuwa Dar na alipaswa kurudi Dodoma lkn baada ya hapo hakuonekana na simu hazipatikani mpka maiti ilivyokutwa ofisini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kafa kifo cha mateso.
Kukatwa uume, jeraha la kisu tumboni na kufungwa kamba ni dalili kwamba alikua anateswa kuhojiwa taarifa fulani, sidhani kama lengo lilikua kumkata uume ila wamekata kumpa mateso.

Na kuhusu kukaa siku tano huenda alikufa baada ya mateso hata siku mbili mbele.

Lakini je, hiyo ofisi haina majirani?Familia yake haikumtafuta?
Jengo halina Camera za Usalama?
Walinzi wa zamu wana taarifa gani?
 
Au alitembea na mke wa mtu
Angepiga mkewe aliyejipeleka mwanaume huyo anamhusu Nini?

Kama huyo mwanamke alikuwa akimpenda huyo aliyechinjwa lazima atamripoti tu polisi au mashoga zake watatoa taarifa
 
Angepiga mkewe aliyejipeleka mwanaume huyo anamhusu Nini?

Kama huyo mwanamke alikuwa akimpenda huyo aliyechinjwa lazima atamripoti tu polisi au mashoga zake watatoa
Anaweza asiende polisi kwa hofu ya kuunganishwa na mauwaji pia hofu huenda mume hakuwahi mwambia labda alikuwa anafuatilia kimya kimya.
 
Ndiyo mkuu

Make tunatoa viashiria vya tukio yy anakana kwa nguvu zote. Kwa watz ukikuta mwamme kauwa na kakatwa uume au wamem-sodomize hivyo ni viashiria vya awali kwamba huenda source ya kuuawa kwake ni uzinzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
UNAELEWA MAANA YA DEFENCE MECHANISM. UNAWAJUA WATU WANAOITWA PROFESSIONAL KILLER?
 
Dah! Poleni Ndugu wa Marehemu na Waislamu Wote kwa ujumla na watu wote wenye kuguswa na msiba huo. Tumaini vyombo vya usalama kufanya kazi take vyema na kuhakikisha wauaji wametiwa nguvuni.

Sheikh wa Mkoa ambaye alikuwa awakilishwe akamatwe Mara Moja kwa mahojiano.
 
Rip Rashid Dalai namkumbuka mika ya 80 mwishoni na mwanzoni mwa 90 akiwa afisa wa polisi upande CID mjini Morogoro
Yaani watu wakikulia timing asee..yani pamoja na uCID,wakamkamata akiwa off guard,,,wachache Sana wenye machale Kama Jason Bourne
 
Inasikitisha sana poleni sana
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…