Sidhani km udini ni sababu,Kwa Waislamu hasa wanaume Kuna tatizo unakuta mtu Ana wake wanne wanaishi marneo tofautibali mbali hivyo mwanaume aweza amua Leo atakuwa wapi akitoka kaxini au kwenye biashara zake.Kila mtu asipomuona anadhani atakuwa kwa mke mwingine Kumbe Mara ingine kaenda kwa mchepuko au kafa.
Kuna mmoja aliwahi pata ajali akalazwa hospitali hajitambui alikaa wiki mbili hakuna mke Wala mtoto.kutokea kumwangalia Hadi mwenyewe alipozinduka ndio akawataarifu kuwa Yuko hospitali
Kama huyo alikuwa na wake wengi hata hizo siku tano chache.Waislamu waige tu Wakristo usipoonekana nyumbani hata siku moja tu kazi unayo ripoti zitapelekwa kila msikiti utangaze kidume kilichochochea.Ripoti polisi zitakuwepo na kila mortuary picha ya kidume itatolewa kwamba ikitokea hiki kidume chenye picha hii mkakiona kimekufa kinaingia mortuary kifua mbele mtutaarifu hakijaonekana nyumbani toka jana
Kwa mujibu wa kijana wake alikuwa Dar na alipaswa kurudi Dodoma lkn baada ya hapo hakuonekana na simu hazipatikani mpka maiti ilivyokutwa ofisiniMAUBIG,
Ina maana huyu Mkurugenzi tukio limemkuta Dar akapelekwa Dodoma akiwa mzima? Au hata Dar hakufika kumwakilisha Shekh wa Dodoma mbona inachanganya hii. Kwa kweli Polisi wana kazi ngumu sana.
MAUBIG,
Poleni sana. Kama nimeelew vizuri ni kuwa unasema kikao kilikuwa Dar na yeye alikuwa Dar. Lakini akaja kupatikana kauwa ofisini Dodoma. Na makazi yake ni Dodoma. Ndivyo ilivyo?
Angepiga mkewe aliyejipeleka mwanaume huyo anamhusu Nini?Au alitembea na mke wa mtu
Anaweza asiende polisi kwa hofu ya kuunganishwa na mauwaji pia hofu huenda mume hakuwahi mwambia labda alikuwa anafuatilia kimya kimya.Angepiga mkewe aliyejipeleka mwanaume huyo anamhusu Nini?
Kama huyo mwanamke alikuwa akimpenda huyo aliyechinjwa lazima atamripoti tu polisi au mashoga zake watatoa
Ndiyo mkuuDUUUUUUUUH!!!!!!! YAANI UNATAKA ATOE USHAHIDI SI NDO HIVYO?
Mkuu unaweza kuheshimu vazi zaidi ya mtu!!Ongezea swala la kanzu kukutwa pembeni haina doa.
Watakua walikuwa wanaheshimu Sana kanzu Hawa wauaji.
Shekh wa Dodoma awekwe kwenye microscope
UNAELEWA MAANA YA DEFENCE MECHANISM. UNAWAJUA WATU WANAOITWA PROFESSIONAL KILLER?Ndiyo mkuu
Make tunatoa viashiria vya tukio yy anakana kwa nguvu zote. Kwa watz ukikuta mwamme kauwa na kakatwa uume au wamem-sodomize hivyo ni viashiria vya awali kwamba huenda source ya kuuawa kwake ni uzinzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani watu wakikulia timing asee..yani pamoja na uCID,wakamkamata akiwa off guard,,,wachache Sana wenye machale Kama Jason BourneRip Rashid Dalai namkumbuka mika ya 80 mwishoni na mwanzoni mwa 90 akiwa afisa wa polisi upande CID mjini Morogoro
Aliyeuawa ni baba wa jirani yangu inasemekana alikuwa dar kwenye kikao ambacho alitumwa kumuwakilisha sheikh wa mkoa wa Dodoma, baadaye mawasiliano na familia yake yakapotea ndo mchakato wa kumsaka ukaanza kwa kumshirikisha RPC wa Dodoma ambaye naskia wanafahamiana. Jana jioni jirani yangu huyu akaja kuniaga kwamba anaenda Dodoma kusaidia kumtafuta baba yake kwani mama yake kampigia simu huku analia wakashindwa kuelewana.
Baada ya kama dakika 40 hivi mke wake jirani yangu akaja kwangu kunipa taarifa za msiba kwamba baba mkwe wake amekutwa amekufa ofisini na kesho anajiaandaa kwenda na yeye msibani Dodoma. Yeye alipewa taarifa za msiba na mmewe ambaye alikuwa njiani kuelekea Dodoma.
Namie ndo napata kwa undani taarifa hapa Jf kwamba mzee yule ameuawa. Allah ampe kauli thabiti mzee wetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha. Timing inaelekea alikuwa nayo sasa huo mchepuko unatakiwa nao ujue timing.Yaani watu wakikulia timing asee..yani pamoja na uCID,wakamkamata akiwa off guard,,,wachache Sana wenye machale Kama Jason Bourne
Kamera ya mwandishi wa mufti - Mtaani.... - Ofisi ya MuftI - Tanzania |Yaani watu wakikulia timing asee..yani pamoja na uCID,wakamkamata akiwa off guard,,,wachache Sana wenye machale Kama Jason Bourne