marybaby
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 3,260
- 9,193
Sidhani km udini ni sababu,Kwa Waislamu hasa wanaume Kuna tatizo unakuta mtu Ana wake wanne wanaishi marneo tofautibali mbali hivyo mwanaume aweza amua Leo atakuwa wapi akitoka kaxini au kwenye biashara zake.Kila mtu asipomuona anadhani atakuwa kwa mke mwingine Kumbe Mara ingine kaenda kwa mchepuko au kafa.
Kuna mmoja aliwahi pata ajali akalazwa hospitali hajitambui alikaa wiki mbili hakuna mke Wala mtoto.kutokea kumwangalia Hadi mwenyewe alipozinduka ndio akawataarifu kuwa Yuko hospitali
Kama huyo alikuwa na wake wengi hata hizo siku tano chache.Waislamu waige tu Wakristo usipoonekana nyumbani hata siku moja tu kazi unayo ripoti zitapelekwa kila msikiti utangaze kidume kilichochochea.Ripoti polisi zitakuwepo na kila mortuary picha ya kidume itatolewa kwamba ikitokea hiki kidume chenye picha hii mkakiona kimekufa kinaingia mortuary kifua mbele mtutaarifu hakijaonekana nyumbani toka jana
Jukumu la mke ni kujua mumewe ameshindaje,ameshatoka kazini,amefika sehem husika na hata muda wa kulala utambue mumeo analala.
Uloyasema hapo ni wale wanawake wa kusema Mimi nu mke huyo Mume ataenda na atarudi mwenye.
Sent using Jamii Forums mobile app