Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 7,621
- 16,372
😃😃😃😃 Acha hizo mkuu. Stendi yenyewe bado inajengwa mkuu, nasikia kutakuwa na stendi nne...Mara unasikia Dodoma imejengeka
Unapanda basi kuanza safari
Mara unafika stendi ya nanenane
Unaambiwa ndio umefika stendi kuu
Mara paa! Unadondoka na kuzimia
Unapelekwa hospital kuu ya Dodoma
Unaamuka unauliza uko zahanati gani
Mara unaambiwa upo hospitalkuu dodoma
Mara paa! Unazimia tena
Unapelekwa muhimbili unazinduka
Unazani ulikua unaota
😂😂😂