Changes boy
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 552
- 362
Dodoma imechoka bora hata kigoma eti makao makuu😎🙈💩Picha Kali za dodoma. Makao makuu na jiji
Eti niniDodoma imechoka bora hata kigoma eti makao makuu😎🙈💩
sijawai ona mkoa uliochoka kama Dodoma ngoja wadau waanze kuweka picha za dodomaEti nini
Ikulu ndogo hiyo nasikia
Ikulu ndogo hiyo nasikia
Iv hlo Jengo la LAPF ni makao makuu au ni ikulu ndogo mkuu?Acheni ufala nyie. Dodoma ndio jiji linalokua kwa haraka kuliko Mwanza, Arusha, Mbeya au Tanga. Hata Dsm itapitwa maana serikali inalijenga jiji la Dodoma KWA MAKUSUDI. Tutafutane kwenye huu uzi baada ya miaka mitano muone picha zake.
Tena ungekua muungwana hata ungepiga picha ya jengo la LAPF hapo Makole ukaweka kisha ndio uulize viswali vyako uchwara. Shwaaaiin
Sent using Jamii Forums mobile app
picha na maelezo, sizani kama Dodoma imeendelea kila njia ya kuingia Dodoma km 100 ni vichakaAcheni ufala nyie. Dodoma ndio jiji linalokua kwa haraka kuliko Mwanza, Arusha, Mbeya au Tanga. Hata Dsm itapitwa maana serikali inalijenga jiji la Dodoma KWA MAKUSUDI. Tutafutane kwenye huu uzi baada ya miaka mitano muone picha zake.
Tena ungekua muungwana hata ungepiga picha ya jengo la LAPF hapo Makole ukaweka kisha ndio uulize viswali vyako uchwara. Shwaaaiin
Sent using Jamii Forums mobile app
😃😃😃😃😃😃😃😃😃Picha Kali za dodoma. Makao makuu na jiji
DemissInamaana hakuna watu wa Dodoma humu au Dodoma hakuna sehemu nzuri
watag watu wadodoma maana sijaona hata kapicha wakijitetea
mimi niko kijijini huku, sasa nashindwa nipige picha mibuyu au njia za ng'ombe.watag watu wadodoma maana sijaona hata kapicha wakijitetea
🙌🙌🙌mimi niko kijijini huku, sasa nashindwa nipige picha mibuyu au njia za ng'ombe.
Mkuu mbona majengo yapo mengi tu kama pale azina au ata LAPF au ww iyo nyumba ndo umeona picha kali??Picha Kali za dodoma. Makao makuu na jiji
picha mbona hakuna tutaaminije au kumiliki simu Dodoma ni shidaMkuu mbona majengo yapo mengi tu kama pale azina au ata LAPF au ww iyo nyumba ndo umeona picha kali??
Sent using Jamii Forums mobile app
mbona maneno ya konyesha baadae nataka picha kuona kama Dodoma imeendelea au imeshapigwa bao na kigoma. Mbona dar, mwanza, arusha na moshi wanaweka picha kutamba tofauti na dodoma